mbona tunabembelezana? kwani bank iko moja tuu? mimi nashauri wote tuhame kwenye bank zinazotumia umoja switch, kwa sababu hawa wamelala na wanafikiri kama hatuna options nyingine.
wawaulize NBC sasa hivi wanapumulia machine yaani chalii. kama wanashindwa declaring disaster kwenye huo mfumo na wanakaa kimya au labda hawajelewi? hiii ni (recovery time objective) what is tolerance time, kama wanachukua zaidi ya siku 5 basi wanatakiwa waadhibiwe na BOT na wapigwe penalt, halafu wa stop hii they said mastercard na waturudishie card za njano.
kama mbwai mbwai. Mimi wananidai kama m3, nikimaliza nahamia Maldiva, to-ko-li yao.