Naomba unielekeze jinsi ya kufungua account ambayo nitakuwa naweka pesa kwa mtindo wa Standard order unipe charge zake na interest kwa mwaka maana mshahara wangu unapitia kwenuNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Jeuri ndo ilokuponza kwa nini hukufungua akaunti ya chap chap... gharama yake 5500 kila kitu unapewa apo apo, na cheque ya bank ambayo ndiyo unaakaunti haichukui ata nusu saa kuingia. Lkn kama ni bank tofauti tayar hapo inasimama clearing house katkat sasa you can imagine itachukua muda gani saana huaga 72hrs lkn ikibounce ndo shughuli kama hizi. Haieleweki ni GEPF, ni NMB, ni clearing house, ni CRDB au ni wewe mwenyewe?Nimepewa cheque na GEPF ambapo inatakiwa nilipwe hela yangu nikaenda NMB Kenyatta road Mwanza nikaambiwa lazima niwe na account ili malipo yafanyike kwa kuwa Nina account CRDB nikawaeleza basi wakanambia nipeleke cheque CRDB itafanyiwa kazi.
nkapeleka cheque tarehe 6/9/2017 nikaambiwa nisubir had alhamis ya tarehe8/9/2017 hela itakuw tayar lakin mpaka sasa hela haijaingizwa na Nimeishiwa pesa kabisa naomba msaada wenu
NMB mobile unakatwa pesa kama m pesa au tigo pesa! Ukitoa laki 6 unakatwa 7500 muhamala mojaMjiunge na nmb mobile. Nmb ina uduma kibao. Binadamu ni kua na altenative kila wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa jibu lako, nifungue acc nyingine wakati sina pesa za kuweka huko itakuwa na maana gan na hela ninayotakiwa kulipwa ni ndogo tu huoni kama itaishia kwenye shughuli hzo za kufungua acc. pia Mimi sina uelewa na shughuli za kibenkiJeuri ndo ilokuponza kwa nini hukufungua akaunti ya chap chap... gharama yake 5500 kila kitu unapewa apo apo, na cheque ya bank ambayo ndiyo unaakaunti haichukui ata nusu saa kuingia. Lkn kama ni bank tofauti tayar hapo inasimama clearing house katkat sasa you can imagine itachukua muda gani saana huaga 72hrs lkn ikibounce ndo shughuli kama hizi. Haieleweki ni GEPF, ni NMB, ni clearing house, ni CRDB au ni wewe mwenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokelea tu ndg ilimradi uwe chini ya 5mil. Kama upo dar mcheki kwa namba 0717667790 anakufungulia chap popote.Hivi akaunti ya ChapChap inaweza kufanywa kuwa ya kupokelea mshahara au mpaka ifunguliwe ya Personal A/c?
kwa hiyo unaruhusiwa ila muamala usizidi 5mill sio? ina maana akiba inaweza kuwa ya kiwango chochote mfano 10mill na kuendelea?Unapokelea tu ndg ilimradi uwe chini ya 5mil. Kama upo dar mcheki kwa namba 0717667790 anakufungulia chap popote.