pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 596
- 184
Nendeni TPB Bank siku moja tu unafungua mkuu
Nmb kwanini Kufungua account ya kikundi ni mzunguko sana? yaani hadi unawezakukata tamaa, nikipiga hesabu nauli tu inakaribia hela ya kufungulia, nenda rudi ni nyingi hadi tunachoka.