NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Naomba kujulishwa taratibu za kampuni inavyoweza kufungua A/C katika NMB BANK PLC. Pia nitaomba mnitajie nyaraka zinazohitajika kuwasilishwa wakati wa ufunguzi wa akaunti.
 
Habari zenu wakuu.

Natumaini wote mko salama hapa. Leo nimekuja na malalamiko juu ya wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Mafinga mjini.

Wafanyakazi wa benki hii wanadharau sana wateja, hasa wale waliopo katika dawati la customer care.

Jana tarehe 22/1/2020 nimeenda kuchukua ATM card yangu, nikamkuta mama mmoja yupo pale, nikamwambia shida yangu. Akaniambia nisubiri. Basi nilisimama saa tatu nikisubiri achezee kompyuta yake ili anipatie kadi yangu ambayo ilikuwa kando tu na alipokuwa.

Nilisimama saa hizo na kadi sikuipata. Mwishowe nikaondoka kwa hasira.

Jamani, mpo hapo kwa ajiri yetu. Sisi ndio tunaowafanya mulipwe mishahara hapo. Kama mimi ni mteja mkubwa wa benki yenu. Basi tupeni thamani yetu kama wateja.

Msitunyanyase.

Nawasilisha.

Naitwa Six Man.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Natumaini wote mko salama hapa. Leo nimekuja na malalamiko juu ya wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Mafinga mjini.

Wafanyakazi wa benki hii wanadharau sana wateja, hasa wale waliopo katika dawati la customer care.

Jana tarehe 22/1/2020 nimeenda kuchukua ATM card yangu, nikamkuta mama mmoja yupo pale, nikamwambia shida yangu. Akaniambia nisubiri. Basi nilisimama saa tatu nikisubiri achezee kompyuta yake ili anipatie kadi yangu ambayo ilikuwa kando tu na alipokuwa.

Nilisimama saa hizo na kadi sikuipata. Mwishowe nikaondoka kwa hasira.

Jamani, mpo hapo kwa ajiri yetu. Sisi ndio tunaowafanya mulipwe mishahara hapo. Kama mimi ni mteja mkubwa wa benki yenu. Basi tupeni thamani yetu kama wateja.

Msitunyanyase.

Nawasilisha.

Naitwa Six Man.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ukutendewa haki je ulimfata meneja wake umueleze
 
Natumia app ya nmb mkononi. Inaniapa notification kuwa USE ORIGINAL SIM CARD.
sijui hili ni tatizo langu au ni kwa woote.
Simu kadi nayotumia ndo niliosajilia nmb mobile na data nimewasha natumia ya sim card iliyokuwepo kwenye usajili wa nmb mobile.
Kulikoni wajuvi wa mambo
 
Uninstal kisha Install Upya App Yako
Natumia app ya nmb mkononi. Inaniapa notification kuwa USE ORIGINAL SIM CARD.
sijui hili ni tatizo langu au ni kwa woote.
Simu kadi nayotumia ndo niliosajilia nmb mobile na data nimewasha natumia ya sim card iliyokuwepo kwenye usajili wa nmb mobile.
Kulikoni wajuvi wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uninstal kisha Install Upya App Yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ipo vile vile licha ya ku unstall na kuinstall upya
Screenshot_20200124-151652_NMB Mkononi.jpg
 
hivi ule mkopo wa jenga nyumba ya ndoto ya ndoto yako mnaotoa kwa watumishi na unalipwa kwa miaka 20, kama mtu hataki nyumba ya kukaa anataka kujenga sehemu ya kufanyia biashara kwa makubaliano hayohayo inawezekana?
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Nimesahau namba yangu Siri ya nmb mobile nafanyaje jamani.
 
Nashauri card za ATM ziwe na no za simu za mteja
Nimepoteza card yangu ya ATM ya Nmb...naamini kama kadi zingekuwa zinaandikwa no zete za simu ingekuwa rahisi kuzipata pindi zinapopotea...kwani kwa MTU anaeokota akiona no ya simu kwenye kadi ni rahisi kupiga simu kwa mlengwa kuliko kuichukua na kuipeleka ofisi za Nmb


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri card za ATM ziwe na no za simu za mteja
Nimepoteza card yangu ya ATM ya Nmb...naamini kama kadi zingekuwa zinaandikwa no zetu za simu ingekuwa rahisi kuzipata pindi zinapopotea...kwani kwa MTU anaeokota akiona no ya simu kwenye kadi ni rahisi kupiga simu kwa mlengwa kuliko kuichukua na kuipeleka ofisi za Nmb


Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom