Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Hiyo ni ada ya risiti au stetement,sijakuelewa vizuri,unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka...!
Ni kweli NMB kuna option ikiwa unataka risiti au la, lakini hiyo 10,000/- sio kweli…. hata statement sidhani kama inafika huko.