NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

yap uko sahihi, huyu mdau ameleta chenga, risiti inatoka yenyewe na hakuna mahala pa kukataa risiti.
inatakiwa ajieleze vizuri sana au tuombe MODS wampige BAN ya nguvu kwa kusababsisha taharuki na sintonfahamu.

Mi nashauri asiponyoosha maelezo apigwe BAN ili iwe fundisho kwa wengine.
Ipo sehemu ya kuomba upewe au usipewe risiti
, Ila kuna wakati pia Atm inaweza kuishiwa risiti na ikakupa option ya kama unataka kuendelea na transaction bila risiti,
 
Equity ni benk moja POA Sana challenge nayopata ni kupata huduma zao mikoani Kama Songea, Kuna siku ilinibidi nifunge safar toka Songea mpaka Mbeya kutoa milion tano tu

Uwongo!

Hawana MasterCard/Visa ambayo ungeweza kutoa PESA benki yoyote?

Mbona mnajivunia sana UJINGA!
 
Ipo sehemu ya kuomba upewe au usipewe risiti
, Ila kuna wakati pia Atm inaweza kuishiwa risiti na ikakupa option ya kama unataka kuendelea na transaction bila risiti,
Na kuna baadhi ya ATMs kama TPB ukiomba hata usipoomba inakupa kwa lazima
 
10000/= serious?

Aisee kama niivo nimepigwa sna[emoji28][emoji28]

Yaani mimi lazima niombe risiti nikienda ATM!

Mkuu unaweza kukuta 1000 umeangalia vbya!
Ngoja na Mimi nilifanyie kazi
sikuwahi jua hii ila mimi pia lazima niombe salio kumbe bora kutumia benki zina zotumia umoja maana kujua salio ni haki ya mteja hiyo kratasi inatumia winowangharama kias igani
 
Uwongo!

Hawana MasterCard/Visa ambayo ungeweza kutoa PESA benki yoyote?

Mbona mnajivunia sana UJINGA!
Mkuu usipokuwa makini humu kuna watu kazi yao siyo kuchangia ila ni kutengeneza burudani 😀 🤣


Equity ni benk moja POA Sana challenge nayopata ni kupata huduma zao mikoani Kama Songea, Kuna siku ilinibidi nifunge safar toka Songea mpaka Mbeya kutoa milion tano tu
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

leo nimekwenda kuchukua fedha kwenye ATM zao na nikaomba risiti, kiwango kilichokatwa nikikubwa mno (sh 10,000). Hii gharama ya huduma ya kibenki ni kubwa mno, sikuamini macho yangu, ilibidi niangalie mara mbili kama ni sh 10,000 au 1,000.

Nawashauri NMB waangalie upya makato hayo. Labda kama hawa "encourage" huduma hiyo kutumiwa na wateja wengi.

Nilikuwa naomba kujua makato yakoje kwenye benki zingine kwa huduma kama hiyo wakuu.

Hakuna makato kama hayo, jaribu kufuatilia miamala yako vizuri
 

Attachments

Hiyo ni ada ya risiti au stetement, sijakuelewa vizuri, unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka!

Kwenye ATM machine huwa kuna option ya withdraw with or without transaction receipt...
 
Lakini huenda ni kweli mbona NMB wenyewe wamo humu na wala hawajakanusha
 
Ujakutana na balaa la kutumia aps zao za sm bankin yan wameshatufanya shamba la comision zao
 
Acha uongo, tangu lini bank wanatoa taarifa kuwa umekatwa pesa baada ya kuomba risiti? Utakuwa umevurugwa tu..
 
Kwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.

Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Ata DTB wako poa sana
 
Ila tuweni serious Risiti ni haki ya mteja hawawezi kutukata ndio naelewa bank znajiendesha kwa fedha zetu izo izo ila la risiti hapana kwa kweli
 
Kwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.

Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Hata KCB Kenya commercial Bank lkn hizo nyingine ni Sheeda
 
Hakuna makato kama hayo, jaribu kufuatilia miamala yako vizuri
Nilichojifunza kwenye huu mkeka
  • Kuna tuvipengele tudogodogo twingi usipokuwa makini unaliwa kichwa
  • Mabenki washindani wa NMB watautumia kuwapiga kibuti
  • Kuna mambo wateja hawaambiwi wanapofungua akaunti ila wanakutana na vibweka wakishakuwa wateja
 
Hata KCB Kenya commercial Bank lkn hizo nyingine ni Sheeda
Tuliopo kwenye hii bank tunakiona cha moto, ukienda kwa mawakala wanakwambia hatuna float mara mtandao unasumbua mara heeee!!! hivi kuna watu bado wanatumia hii bank, wee Maimuna bandua hilo tangazo hapo nje linawachanganya wateja
 
Siamini!! Nadhani una matatizo ya macho! Vile vikaratasi, kama charge yake ni Sh.100, itaandikwa 100.00, sasa hiyo nukta inakuwaga ngumu sana kuiona!
😁😁😁inawezekana kabisa. Mimi mara 2 imeshanitokea ya kwaza ile TZS7000 mi nkajua elfu57 nkawambia wenzangu hii hela sijui imetoka wapi mimi nmemaliza nashangaa kuona imebaki57k ndiyo nao kusoma risiti walicheka sana,wakasema soma vzr ni "S" siyo "5".

Ya pili ni hizo senti ilibaki sh2340.00, mimi hata sijui nisomaje nkajua imebaki laki2+ . Siku naenda kudraw inagoma dah kusoma vzr ndo nastuka nilichoka...
 
Mkuu usipokuwa makini humu kuna watu kazi yao siyo kuchangia ila ni kutengeneza burudani 😀 [emoji1787]

Yaani watu wengine ni wacheshi mno mkuu, basi tuishi nao tu.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom