NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

Too much, haya mabank yanawaibia sana wananchi, risiti ni haki ya mteja, sasa napata majibu kwanini juzijuzi wamejivunia kutoa gawio kubwa kwa serikali kumbe ni za wizi wa namna hii!!!!
Gawio kubwa NMB limetokana na biashara kubwa iliofanya kipindi cha corona na kanga la mvua kubwa na ndefu vilivyo sambaratisha biashara za watu. Wakopaji wote walio shindwa kulipa madeni, NMB walifanya marekebisho ya marejesho na kurefusha muda wa kulipa pakiwa na riba. Matokeo ni maumivu kwa wakopaji na neema kwao. Nchini Kenya Banks hazikuongeza riba kwa wateja walio kwama marejesho kipindi hicho.
 
Gawio kubwa NMB limetokana na biashara kubwa iliofanya kipindi cha corona na kanga la mvua kubwa na ndefu vilivyo sambaratisha biashara za watu. Wakopaji wote walio shindwa kulipa madeni, NMB walifanya marekebisho ya marejesho na kurefusha muda wa kulipa pakiwa na riba. Matokeo ni maumivu kwa wakopaji na neema kwao. Nchini Kenya Banks hazikuongeza riba kwa wateja walio kwama marejesho kipindi hicho.
Sad, labda tu kwakuwa walikuwa kwenye era mbaya ya uporaji
 
Acha ubish risit unaweza kuomba au kukataa na mashine zingine Kuna muda huwa hazina risit kabisa ukiomba wanakwambia ATM haina risit kote NMB Na CRDB
Kama ni wewe jieleze vizu
Acha ubish risit unaweza kuomba au kukataa na mashine zingine Kuna muda huwa hazina risit kabisa ukiomba wanakwambia ATM haina risit kote NMB Na CRDB
Toeni maelezo ya kueleweka kuhusu hiyo elfu 10. Kieleweke
 
Basi mpaka sasa inaonekana mwenzeti elimu ni ndogo. Tumsamehe. Haingii akilini hii kitu aliyoleta
 
Nimekuwekea hapa tariff guide ya mwaka 2021 ya hao NMB,ukiangalia Kipengele cha ATM withdrawal charges utaona kwa kiwango ulichotoa wewe unapaswa kukatwa sh 1,400.

Sasa hio 10,000 inatoka wapi?vinginevyo omba statement uangalie tatizo ni nini?au una mkopo?

Kama kweli umekatwa basi naamini kuna tatizo lingine na sio makato ya ATM.View attachment NMB Tariff Guide 2021.pdf
 
Kwa upande mmoja nakubaliana na mtoa mada na upande mwingine namkatalia

Mfano CRDB niliwahi kuwa kila nikitoa pesa ATM wanakata elfu 10, nikawafata kule ndani, badala wanisaidie wakaanza kunisema kuwa natumia pesa vibaya na hiyo ni baada ya kuangalia salio langu wakakuta hakuna pesa, na wakati huo nilikua chuo hivyo wakaona nalalamika sababu matumizi yangu ni mabaya

Pili suala la kila ukiomba Risiti wanakata elfu 10 labda ni scenario kama yangu iliyowahi kunitokea hivyo msimkatalie mtoa mada labda kwa upande wake ni kweli wamemkata hivyo

Lakini mimi nimetumia hiyo huduma ya kuomba Risiti leo katika bank hiyo hiyo ya NMB na sijakatwa hicho kiwango
 
Mimi natumia Crdb bank wanachofanya hawa jamaa gharama z a bank wanaongeza double zero lakn hazina dhamani mfano ukiangalia salio weather umechukua risit au la 18000 hapo wana maanisha T sh 180.00, mimi ndo ninacho jua withdraw wanacharge 120000 ambayo ni sawa na Tsh 1200, sasa sijui kwa nini zile zero 2 hawatenganish
Hawatenganishi sababu kwenye mfumo anaye tengeneza huwa anaweka kitu kimoja kinaitwa validation,kwahiyo ili atenganishe lazima atengue hiyo validation.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

leo nimekwenda kuchukua fedha kwenye ATM zao na nikaomba risiti, kiwango kilichokatwa nikikubwa mno (sh 10,000). Hii gharama ya huduma ya kibenki ni kubwa mno, sikuamini macho yangu, ilibidi niangalie mara mbili kama ni sh 10,000 au 1,000.

Nawashauri NMB waangalie upya makato hayo. Labda kama hawa "encourage" huduma hiyo kutumiwa na wateja wengi.

Nilikuwa naomba kujua makato yakoje kwenye benki zingine kwa huduma kama hiyo wakuu.
uongo ni dhambi. nakukumbusha tu
 
Hii taarifa nna mashaka nayo. Makato ya kutoa pesa ATM za NMB hayazidi 1,500. Taarifa za makato ya huduma zinapatikana kwenye tovuti yao kupitia link hii;
StackPath
 
Ada yake kwa mujibu wa hela aliyotoa ni 1400.

nmb risit haitoki automatic unaulizwa kama unataka risiti au hutaki.
ina maaana pale wanavokuuliza kunb ukikublaie wanalamba la ten???duh sihitajjee risit tena
 
Hawa NMB si wana uzi wao wa kudumu humu mbona hawajitokezi kujibu hoja au wanataka tuache kufanya nao biashara
 
Kwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.

Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Equity ni benk moja POA Sana challenge nayopata ni kupata huduma zao mikoani Kama Songea, Kuna siku ilinibidi nifunge safar toka Songea mpaka Mbeya kutoa milion tano tu
 
Kwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.

Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Bank za kigeni ziliwahi kuwaliza watanzania miaka fulani

Labda Post Bank
 
Back
Top Bottom