Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
Makato uliangaliaje mkuuJuzi nimetuma elfu 5 kutoka bank ya NMB kwenda bank ya CRDB nimekuja kuangalia makato yake ni elfu 8,500/= niliishiwa nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makato uliangaliaje mkuuJuzi nimetuma elfu 5 kutoka bank ya NMB kwenda bank ya CRDB nimekuja kuangalia makato yake ni elfu 8,500/= niliishiwa nguvu.
Makato kutoa pesa dirishani ni makubwa kwa sababu wana discourage foleni, na watanzania hatuna desturi ya kujiongeza .Hata dirishani, unamchajije mtu kwa kutoa hela yake? Kama makato yapo yalitakiwa kuwa ya kuhifadhi hela tu ingawa nayo hayana maana sababu hela hiyo wenye mabenki wanazalishia faida kwa mikopo. Sasa unamkataje mtu hela eti sababu anachukua hela yake??
Kama unafatilia bank statements unaona kila transactionMakato uliangaliaje mkuu
Possibly ametumia atm tofauti na ya benki yake kupitia Visa card au MasterCard yake ndio maana makato ni makubwa, Mimi walinikata 12,000/=Hivi nani aliletaga huu uongo kwamba ukiomba risiti kuna gharama?
Gharama ni moja tu ya kutumia ATM basi unakatwa kila unapotumia na haizidi sh 2000 labda kama utumie huduma zile za MasterCard/Visa
Hii ya elfu kumi sijawahi kuisikia na siamini mpaka nitakapothibitishiwa
Benki gani hiyo inatoa risiti automatically bila kuiomba na ukubali au ukatae?Hiyo ni ada ya risiti au stetement, sijakuelewa vizuri, unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka!
Duh mkuu umenifungua macho sikuwa nayajua haya, wameweka vikolokolo vingi kutulevya maboyaKWA MUJIBU WA "NMB TARIFF GUIDE" YA MWAKA 2021.
1. Ukienda NMB kutoa pesa, ila ukaomba wakupe CHENJI CHENJI ZA COIN.
-Utakatwa sh. 1180 kwenye account yako kwa kila LAKI MOJA ya COIN utakazopewa.
Mf: ukiomba chenji za 500 za million 1, utakatwa 11,800 kwenye account yako.
Note: Hiyo elfu 11,800 ni nje ya ile 6500 unayokatwa kwa kutolea dirishani.
Kwaiyo usipokua makini,
unaweza jikuta karibu elfu 18 imekatwa kwa kutoa muamala mmoja dirishani.
2. Ukienda NMB kuweka kwenye account yako PESA ZA COIN,
utakatwa 10% ya pesa zote ulizopeleka kwenye account yako.
Mf: ukipeleka coin za 100,000 , kitakachoingia kwenye account ni 90,000[emoji2][emoji116]View attachment 1830524View attachment 1830525
🤣Yeye ndo mtoa burudani, kwamba ati una Mastercard ya nmb ndo uingie crdb bank ndani ukatoe pesa kutoka nmb? Umeona wapi hiyo?
Wanafanya hivyo mkuuTpb wanatumia umoja , sijawai kutumia atm za umoja.
Haitoki automatic unaulizwa unahitaji receipt unaponyeza yes au NoHiyo ni ada ya risiti au stetement, sijakuelewa vizuri, unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka!
Anayetoa kwenye ATM gharama ni nafuu kuliko hizo njia nyingine mkuu!!Hivi gharama zipoje kwa
Anayetoa ndani kwa Bank teller?
Anayetoa kwenye ATM
anayetoa kwa wakala
Anayeivuta kwenye simu kutoka Bank
Anayetoa kwenye ATM gharama ni nafuu kuliko hizo sawaboss
Kuomba risiti huwa ni bure gharama huwa ni Ile withdrawal fee ambayo ni Kama buku tu...nenda bank kaombe statement watakuelewesha hyo elfu imekatwa ya niniNiende moja kwa moja kwenye mada,
leo nimekwenda kuchukua fedha kwenye ATM zao na nikaomba risiti, kiwango kilichokatwa nikikubwa mno (sh 10,000). Hii gharama ya huduma ya kibenki ni kubwa mno, sikuamini macho yangu, ilibidi niangalie mara mbili kama ni sh 10,000 au 1,000.
Nawashauri NMB waangalie upya makato hayo. Labda kama hawa "encourage" huduma hiyo kutumiwa na wateja wengi.
Nilikuwa naomba kujua makato yakoje kwenye benki zingine kwa huduma kama hiyo wakuu.
First year huyo ashajua kutumia ATM bas shida tupu,makato huwa ni 1,000 tu,acha uongo!!Niende moja kwa moja kwenye mada,
leo nimekwenda kuchukua fedha kwenye ATM zao na nikaomba risiti, kiwango kilichokatwa nikikubwa mno (sh 10,000). Hii gharama ya huduma ya kibenki ni kubwa mno, sikuamini macho yangu, ilibidi niangalie mara mbili kama ni sh 10,000 au 1,000.
Nawashauri NMB waangalie upya makato hayo. Labda kama hawa "encourage" huduma hiyo kutumiwa na wateja wengi.
Nilikuwa naomba kujua makato yakoje kwenye benki zingine kwa huduma kama hiyo wakuu.