NMB tuoneeni huruma, kiwango mnachokata baada ya kuomba risiti ni sh10,000 -- ni kubwa mno

10000/= serious?

Aisee kama niivo nimepigwa sna[emoji28][emoji28]

Yaani mimi lazima niombe risiti nikienda ATM!

Mkuu unaweza kukuta 1000 umeangalia vbya!
Ngoja na Mimi nilifanyie kazi
Huyu jamaa muongo tu. Utafikiri hiyo benki mteja yeye tu! Pumbavu!!
 
Ninavyojua ukiomba risit kwa ATM za nmb hakuna makato yyte..

Sasa sijui Ni mm ndo sielewi
 
hebu fafanua vizuri,hivi kuna huduma ya kuomba risiti kwenye ATM au ukitoa pesa risiti inatoka automatic na kama hutaki kuchukua kuna option ya kudeny?
Ndio kwa CRDB wanauliza unataka risiti? Ndio au Hapana? Unachagua.
 
Nimekutana nayo Leo
Nilikuwa na 29000 Nikatoa 20000 nashangaa risit inasema nimebakiwa na 1500 tu.
Ikabidi niingie ndani kuwauliza, wakaniambia nimekatwa vutu vingine vingi
quarterly card fee 4000, makato ya VAT kama aina nne

Sijawaelewa vizuri ila sikuwana chakuwafanya
 
Bado nalia hivi vyama vya wafanyakazi, hili limo ndani ya uwezo wao lakini wameuchuna kama hawaoni kinacho endelea
Vyama vya wafanyakazi haviathiriki wewe kunyonywa. Msingi wao uko kwenye basic salary ni hazina inawasaidia kukata juu kwa juu. Pato lao lipo wanafyonza kilaini tu. Ole wako mtumishi huna mtetezi !!
 
Kwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.

Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Kwenye equity bank hapo upo sahihi kabisa
 
...Seriously, Mkuu? Alfu 10 kwa risiti tu ya Muamala wangu?
Hii si Huduma inayopaswa kuwa Bure baada ya Mteja kutoa Hela Yake??
 
Si ndiyo umeisikia au ulitaka usikie wapi
 
naomba itume tena boss hii
 
Juzi nimetuma elfu 5 kutoka bank ya NMB kwenda bank ya CRDB nimekuja kuangalia makato yake ni elfu 8,500/= niliishiwa nguvu.
Mkuu I wish ningeiona hii comment yako mapema.
Juzi Nlikuwa najisikia vibaya nikashindwa kwenda ATM na nlitakiwa nimtumie mtu hela. Nikasema for the first time ngoja nijaribu kutumia App yao NMB mkononi, Nlituma 70k kutoka NMB kwenda CRDB. Walikata 15K nlisikia kuzimia.

Nikajuta Bora hata ningechukua boda inisubirie [emoji24][emoji24]

Benki Equity tu, sema shida hawana ATM nyingi.
 
Huu ni uzushi tu, au ugeni wa huduma za kibenki, wewe ni wa kupuuzwa tu.
Hakuna bank inayokata zaidi ya 1800 kwa Kila muamala wa ATM..na hata ukitumia ATM za bank nyingine hawakati zaidi ya 3500....aache upotoshaji
 
NMB hawana huduma ya bure. Ni njaa kwa kwenda mbeleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…