Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Huyu jamaa muongo tu. Utafikiri hiyo benki mteja yeye tu! Pumbavu!!10000/= serious?
Aisee kama niivo nimepigwa sna[emoji28][emoji28]
Yaani mimi lazima niombe risiti nikienda ATM!
Mkuu unaweza kukuta 1000 umeangalia vbya!
Ngoja na Mimi nilifanyie kazi
Ndio kwa CRDB wanauliza unataka risiti? Ndio au Hapana? Unachagua.hebu fafanua vizuri,hivi kuna huduma ya kuomba risiti kwenye ATM au ukitoa pesa risiti inatoka automatic na kama hutaki kuchukua kuna option ya kudeny?
Vyama vya wafanyakazi haviathiriki wewe kunyonywa. Msingi wao uko kwenye basic salary ni hazina inawasaidia kukata juu kwa juu. Pato lao lipo wanafyonza kilaini tu. Ole wako mtumishi huna mtetezi !!Bado nalia hivi vyama vya wafanyakazi, hili limo ndani ya uwezo wao lakini wameuchuna kama hawaoni kinacho endelea
Kwenye equity bank hapo upo sahihi kabisaKwa mtu ulie mji mkubwa wenye bank nyingi.
Kutumia crdb na nmb ni ujinga, maana wana makato ya ajabu mengi sana, benki sahihi ni equity bank ama bank zingine za kigeni
Siyo muda tunahamia huku siyo mudaView attachment 1855057
Tumia hii
...Seriously, Mkuu? Alfu 10 kwa risiti tu ya Muamala wangu?Niende moja kwa moja kwenye mada,
leo nimekwenda kuchukua fedha kwenye ATM zao na nikaomba risiti, kiwango kilichokatwa nikikubwa mno (sh 10,000). Hii gharama ya huduma ya kibenki ni kubwa mno, sikuamini macho yangu, ilibidi niangalie mara mbili kama ni sh 10,000 au 1,000.
Nawashauri NMB waangalie upya makato hayo. Labda kama hawa "encourage" huduma hiyo kutumiwa na wateja wengi.
Nilikuwa naomba kujua makato yakoje kwenye benki zingine kwa huduma kama hiyo wakuu.
Si ndiyo umeisikia au ulitaka usikie wapiHivi nani aliletaga huu uongo kwamba ukiomba risiti kuna gharama?
Gharama ni moja tu ya kutumia ATM basi unakatwa kila unapotumia na haizidi sh 2000 labda kama utumie huduma zile za MasterCard/Visa
Hii ya elfu kumi sijawahi kuisikia na siamini mpaka nitakapothibitishiwa
Juzi nimetuma elfu 5 kutoka bank ya NMB kwenda bank ya CRDB nimekuja kuangalia makato yake ni elfu 8,500/= niliishiwa nguvu.
Hadi ukubaliHiyo ni ada ya risiti au stetement, sijakuelewa vizuri, unaombaje risiti kwenye ATM wakati ukitoa hela risiti huwa inatoka automatic hela zikisha toka!
na ukitoa 1m kwa atm unakatwa sh ngapi?Mimi mwenyewe nimegoma kuamini kabisa mkuu
Labda kama katumia wakala. Ambapo ndo huwa sh 7000 kwa million moja. Sio ATM AISEE
naomba itume tena boss hiiNimekuwekea hapa tariff guide ya mwaka 2021 ya hao NMB,ukiangalia Kipengele cha ATM withdrawal charges utaona kwa kiwango ulichotoa wewe unapaswa kukatwa sh 1,400.
Sasa hio 10,000 inatoka wapi?vinginevyo omba statement uangalie tatizo ni nini?au una mkopo?
Kama kweli umekatwa basi naamini kuna tatizo lingine na sio makato ya ATM.View attachment 1829424
Manaake utatoa mara 3 kwa mafungu ya laki4 halafu laki4 tena halafu laki2. Assume kama atm charge ni maximum 1500 x 3=4500na ukitoa 1m kwa atm unakatwa sh ngapi?
Mkuu sinayo tena labda jaribu Kugoogle maana nilishaifutanaomba itume tena boss hii
Mkuu I wish ningeiona hii comment yako mapema.Juzi nimetuma elfu 5 kutoka bank ya NMB kwenda bank ya CRDB nimekuja kuangalia makato yake ni elfu 8,500/= niliishiwa nguvu.
Hakuna bank inayokata zaidi ya 1800 kwa Kila muamala wa ATM..na hata ukitumia ATM za bank nyingine hawakati zaidi ya 3500....aache upotoshajiHuu ni uzushi tu, au ugeni wa huduma za kibenki, wewe ni wa kupuuzwa tu.
NMB hawana huduma ya bure. Ni njaa kwa kwenda mbeleeeHivi nani aliletaga huu uongo kwamba ukiomba risiti kuna gharama?
Gharama ni moja tu ya kutumia ATM basi unakatwa kila unapotumia na haizidi sh 2000 labda kama utumie huduma zile za MasterCard/Visa
Hii ya elfu kumi sijawahi kuisikia na siamini mpaka nitakapothibitishiwa