NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

ila kusema ukweli Singida kuna vichwa vyenye akili na hawana arogance na kujitangaza km Hayas na chagas, hawa hasa Chagas wametuchosha na sifa za kijinga humu mtandaoni wakati they are just below normal.
 
Anafaa sana huyu Rais amwangalie kama atakubali kutoka NMB
 
Spika kijana Tulia na huyu Ruth ni hatari. Halafu ulivyoandika Ms ina maana hajaolewa? Ni mzuri hatari anaweza kwenda sawa hata na kina Jokate.
 
Sasa ,tunatamani kusikia ndoa yake ya Lini,umri huo anaitwa Ms ,JAMANI !

Ameolewa ni mama wa watoto wanne

Mlokole huyo enzi za udsm ndio walikuwa wale wadada praise team.

Alipiga zake first class akaajiriwa Big 4 PwC straight from chuo.

Ameolewa mapema sana kabla hajavuka 27. Na akazaa zake fasta fasta watoto wanne wa kiume.

Amefanya kazi kama Auditor PWC kwa miaka 10.

Kisha akahamia Standard chartered bank kwa cheo cha Chief Financial Officer. Amehudumia hicho cheo cha CFO standard chartered kwa miaka 6. Ndipo akahamia NMB bank na kuwa CFO kwa mwaka mmoja kabla hajapandishwa cheo na kuwa CEO
 
Please ukubwa in terms of what? Kama ni total assets CRDB ina Trillion 11.64 ila NMB ina Trillion 10.4!! Umetumia parameters zipi. Utusaidie kwa faida ya wote.
Ukabwa wa assets wakati mwenye asset ndogo zaidi yako anaweza zalisha faida kuliko mwenye asset zako ?CRDB mjitafakari saaana
 
Jamaa wanataka kuoa MD hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…