NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Hahaha , Jidu La Mabambasi nakuheshimu sana ila kwenye hili umebugi sanaMzee, Bank mpaka Senti moja iko kwenye control hahaha,

Huyu dada apewe maua yake
😆😆 Watanzania wako na hangover wanadhani Kila kiongozi ni mwizi Kuna sehemu hata kama ni mwizi huna nafasi ya kuiba , kama huko bank,

Ninajamaa yangu alikuwa na tabia ya udokozi huko bank hakumaliza hata miezi sita.
 
Angalia utapata laana kwa Mungu wako kwa kuzungumza mambo ya uongo,

Personal sijawahi ona Mtu mwadilifu na Mchamungu kama huyu Mama,

Mungu ampe Kila haja ya moyo wake
Waziri wa Fedha Bora kabisa kama atakubali kuingia kwenye siasa japo sidhani kama atakuwa tayari
 
Pongezi ziende Pia kwa Bodi ya Wakurugenzi hasa Mwenyekiti wa Bodi..
Hao ndio Wanabeba majukumu na Maono ya Kampuni..
 
Ameolewa ni mama wa watoto wanne

Mlokole huyo enzi za udsm ndio walikuwa wale wadada praise team.

Alipiga zake first class akaajiriwa Big 4 PwC straight from chuo.

Ameolewa mapema sana kabla hajavuka 27. Na akazaa zake fasta fasta watoto wanne wa kiume.

Amefanya kazi kama Auditor PWC kwa miaka 10.

Kisha akahamia Standard chartered bank kwa cheo cha Chief Financial Officer. Amehudumia hicho cheo cha CFO standard chartered kwa miaka 6. Ndipo akahamia NMB bank na kuwa CFO kwa mwaka mmoja kabla hajapandishwa cheo na kuwa CEO
Ukimtegemea Mungu kwakweli lazima upae tu, Nakupenda sana dada Ruth
 
Kama sijasoma vibaya mwandishi amesema majimbo ya bara sio na Zanzibar sijui kama yatakuwa mengi ambayo bado hawajafikiwa na NMB.
Yes. Na mimi namaanisha tanzania bara. Sio Tanzania visiwani.

Ingekuwa vyema kusema NMB imefika kila wilaya ingekuwa shihi. Kuna wilaya nyingi zina majimbo hadi matatu ya uchguzi, lakini bank ziko katika jimbo moja, ambalo ni makao makuu ya wilaya. So ukifuatilia kwa mtindo huo utakuta kuna majimbo mengi bado hayana huduma za kibenki.
 
Back
Top Bottom