raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hamna sehemu kunapo shindikana jambo watu wakiamuaAnadhani bank ni Halmashauri achana nae huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sehemu kunapo shindikana jambo watu wakiamuaAnadhani bank ni Halmashauri achana nae huyo
Angalia utapata laana kwa Mungu wako kwa kuzungumza mambo ya uongo,Huyo mama na chairman wake wa Bodi, mtu wa system, ni wezi wa kutupwa.
Kwani NMB sio ndio wenye riba chini kuliko mabank yote nchini?Wanavyotupiga riba, Mungu anawaona
😆😆 Watanzania wako na hangover wanadhani Kila kiongozi ni mwizi Kuna sehemu hata kama ni mwizi huna nafasi ya kuiba , kama huko bank,Hahaha , Jidu La Mabambasi nakuheshimu sana ila kwenye hili umebugi sanaMzee, Bank mpaka Senti moja iko kwenye control hahaha,
Huyu dada apewe maua yake
Yes ni NMB tu ndio wenye riba nafuuKwani NMB sio ndio wenye riba chini kuliko mabank yote nchini?
Waziri wa Fedha Bora kabisa kama atakubali kuingia kwenye siasa japo sidhani kama atakuwa tayariAngalia utapata laana kwa Mungu wako kwa kuzungumza mambo ya uongo,
Personal sijawahi ona Mtu mwadilifu na Mchamungu kama huyu Mama,
Mungu ampe Kila haja ya moyo wake
Acha uongo.au kwa lugha rahisi ni sawa na kusema NMB bank PLC imefika katika Kila Jimbo la Uchaguzi la kiserikali haba bara.
Jimbo gani kwa mfano?Acha uongo.
Yako majimbo mengi NMB hawapo. Au hujui tofauti ya jimbo la uchaguzi na wilaya?
Sawa sawa ila anayetafsiri kwa vitendo hayo maono ni ninani?Pongezi ziende Pia kwa Bodi ya Wakurugenzi hasa Mwenyekiti wa Bodi..
Hao ndio Wanabeba majukumu na Maono ya Kampuni..
😆😆 RhobethinyoTimu ikiboronga wakeanza kufukuzwa ni Bench la ufundi sio Timu Captain..
Swali linatakiwa liwe "majimbo gani?" Maana ni mengiJimbo gani kwa mfano?
Kama sijasoma vibaya mwandishi amesema majimbo ya bara sio na Zanzibar sijui kama yatakuwa mengi ambayo bado hawajafikiwa na NMB.Swali linatakiwa liwe "majimbo gani?" Maana ni mengi
Ukimtegemea Mungu kwakweli lazima upae tu, Nakupenda sana dada RuthAmeolewa ni mama wa watoto wanne
Mlokole huyo enzi za udsm ndio walikuwa wale wadada praise team.
Alipiga zake first class akaajiriwa Big 4 PwC straight from chuo.
Ameolewa mapema sana kabla hajavuka 27. Na akazaa zake fasta fasta watoto wanne wa kiume.
Amefanya kazi kama Auditor PWC kwa miaka 10.
Kisha akahamia Standard chartered bank kwa cheo cha Chief Financial Officer. Amehudumia hicho cheo cha CFO standard chartered kwa miaka 6. Ndipo akahamia NMB bank na kuwa CFO kwa mwaka mmoja kabla hajapandishwa cheo na kuwa CEO
Ni question ya muda tu. Yote yatakuwa peupe, subira yavuta heri.Hahaha , Jidu La Mabambasi nakuheshimu sana ila kwenye hili umebugi sanaMzee, Bank mpaka Senti moja iko kwenye control hahaha,
Huyu dada apewe maua yake
Wewe Jidu La Mabambasi Sio Kila sehemu ni Siasa tu kaka jaribu kuwa na adabu na watu serious kama hawa. Truest me ,In a Bank you can't temper even with a single coin.Ni question ya muda tu. Yote yatakuwa peupe, subira yavuta heri.
Yes. Na mimi namaanisha tanzania bara. Sio Tanzania visiwani.Kama sijasoma vibaya mwandishi amesema majimbo ya bara sio na Zanzibar sijui kama yatakuwa mengi ambayo bado hawajafikiwa na NMB.