Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
unapoteza uhuru wako kwasababu unaogopa unasomwa na nani?Wee mtoto, hii tabia na desturi mbaya namna hii nani kakufundisha. Kumbuka mheshimiwa raisi amesema huwa anapita humu Jf. Pia na mwenyekiti wako Mh. Mbowe naye huwa anapita humu kila siku.
Usirudie tena kuita wapiga dili na vilaza watu ambao wamedhurumiwa stahiki zao. Jifunze kuheshimu struggles za watuUsihitaji kujua saana! Ila waweza endelea tu kutoa matusi vile utakavyo mkuu
Na 2025 wataipata tena fresh kwani mama anaupiga mwingi kuendeleza aliyoyaanzisha mtangulizi wake. Salama yao itakuwa ni kususa uchaguzi mkuu kwa kisingizio cha katiba mpya.Magufuli aliwakomeshs na hawatamsahau.
Walimchukia na kumdharau yeye akapiga kazi kutumikia wanyonge na kulinda maslahi ya nchi. Kila kona 2020 wenye kwenda na hali halisi walijua kwa ule muzuki wa utendaji wa jpm chadema hawapati kitu. Wao wakachagua kumwamini ajenti wa mabeberu armsterdam eti kawaambia watamshinda magufuli tena kwa kura nyingi.
Hawakuamini kilichotokea. Uchaguzi magufuli akawatoa kapa. Badala ya kukubali ukweli wanaamini mzungu armsterdam yule shoga hawezi kua amekosea. Watu wenyewe wenye akili za aina ya kina lissu lema na mbowe🤣
Hadi leo wako kwenye lepe la usingizi wanadhani wao ndio chama kikuu cha upinzani. Time will tell
Katiba mpya ilishazungumzwa sana. Maamuzi yanasubiriwa. Kuendelea kuimba wimbo huo ni kukosa hekima na unaweza kuharibu maridhiano. Kinachotakiwa ni kutoa mapendekezo ya mambo unayoyaona yaingizwe kwenye katiba, be it a new or old katiba. Siyo kuimba tu kama kasuku kwamba unataka katiba mpya. It doesn't make sense my dear.Yaani watu wanasonga mbele wanazungumzia katiba wewe bado unaongelea watu ambao hatunao🤔 mbumbumbu
Dr lalama subiri. Yaani wewe ni Dr ambaye kazi ni kulaumu tu wewe unafanya nini kama kweli ni Dr na usomi wako badala ya kulalama. Ulitaka wapinzani wafanye nini? Wewe ungeenda kuandamana au tu ni kujificha mitandaoni. Hawa ni watanzania ambao wanajitolea pesa, muda, na maisha yao kwasababu ya taifa hili halafu tuna Madaktari fake wanabaki kulalama kila siku.Katiba mpya ilishazungumzwa sana. Maamuzi yanasubiriwa. Kuendelea kuimba wimbo huo ni kukosa hekima na unaweza kuharibu maridhiano. Kinachotakiwa ni kutoa mapendekezo ya mambo unayoyaona yaingizwe kwenye katiba, be it a new or old katiba. Siyo kuimba tu kama kasuku kwamba unataka katiba mpya. It doesn't make sense my dear.
Sawa ila kwa sasa nani MJANJA?yaani hadi familia yake yote wanajua kumbe ndugu yetu alikuwa IDI AMINI!! MUNGU FUNDIJamaa aliwafanya kitu Mbaya sana mkuu
Mwisho wetu au mwisho wake...JPM atabakia kuwa ndiye kiongozi aliyewahi kupendwa saana na watu wa kati na daraja la mwisho!
Mafisadi na vilaza nyie endeleeni kutoa nyongo zenu tuone mwisho wenu!
Mhhh ndiyo uelewa wako unapoishia? Your argument is too shallow and you've no point at all. Endelea tu kuimba kama kasuku, ' tunataka katiba mpya .... watanzania wanataka katiba mpya ...... as if your a spokesman ya hao watanzania, halafu weye ulishakimbilia ughaibuni kutafuta green pasture. Usitake kutuingilia mambo yetu ya kujenga nchi yetu. Usitake kuingilia maridhiano yetu wewe uliyekimbia nchi kwa kukosa uzalendo. You know very little about our country currently. Wala usitake kujua mimi ni nani.Dr lalama subiri. Yaani wewe ni Dr ambaye kazi ni kulaumu tu wewe unafanya nini kama kweli ni Dr na usomi wako badala ya kulalama. Ulitaka wapinzani wafanye nini? Wewe ungeenda kuandamana au tu ni kujificha mitandaoni. Hawa ni watanzania ambao wanajitolea pesa, muda, na maisha yao kwasababu ya taifa hili halafu tuna Madaktari fake wanabaki kulalama kila siku.
Wewe umeshasema eti wenyeviti wanasoma 😂Hakuna uhuru usio na mipaka. Uhuru wako unaishia pale pua yangu inapoanzia.
Kukosoa ni tofauti na hateHata mheshimiwa rais ameipa big up hiyo slogan ya hawa jamaa zetu wapendwa. Lakini tunawaona jamaa zetu hawa hawaitekelizi hiyo slogan. Kila siku tunawaona na kuwasikia wakiendelea kuonesha hate kali dhidi ya JPM ambaye sasa ni marehemu. Ni vyema sasa wakaacha kufanya hivyo. Yaliyopita wasiyachukulie ni ndwele bali sasa kwa pamoja tugange tu ya sasa na yajayo.
Pia jamaa zetu wana slogan nyingine inayosema, ' Never, never, never again': wakiimanisha bila kuwepo katiba mpya, jamaa hawatashiriki kwenye uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2025, yaani jamaa watasusa chaguzi hizo. Hii ni slogan nzuri sana na chama kijani kinasubiri kwa hamu kunufaika na slogan hiyo kama jamaa wataitekeleza kikamilifu bila ya hate wala fear.
Labda dalaja la mwisho la kigoma[emoji3061]JPM atabakia kuwa ndiye kiongozi aliyewahi kupendwa saana na watu wa kati na daraja la mwisho!
Mafisadi na vilaza nyie endeleeni kutoa nyongo zenu tuone mwisho wenu!
Ni kweli hawakuamini kilichotokea kama Teeth wangeingilia uchaguzi na kuweka kura bandia.Magufuli aliwakomeshs na hawatamsahau.
Walimchukia na kumdharau yeye akapiga kazi kutumikia wanyonge na kulinda maslahi ya nchi. Kila kona 2020 wenye kwenda na hali halisi walijua kwa ule muzuki wa utendaji wa jpm chadema hawapati kitu. Wao wakachagua kumwamini ajenti wa mabeberu armsterdam eti kawaambia watamshinda magufuli tena kwa kura nyingi.
Hawakuamini kilichotokea. Uchaguzi magufuli akawatoa kapa. Badala ya kukubali ukweli wanaamini mzungu armsterdam yule shoga hawezi kua amekosea. Watu wenyewe wenye akili za aina ya kina lissu lema na mbowe[emoji1787]
Hadi leo wako kwenye lepe la usingizi wanadhani wao ndio chama kikuu cha upinzani. Time will tell
Kajaribu kufanya hvoIle kambale inatakiwa ifukuliwe kila mwezi ipigwe viboko 40
Sifa kubwa ya kuwa Chadema ni kuwa na chuki kali dhidi ya mtu yeyote anayetia urambaji asali wao.Hata mheshimiwa rais ameipa big up hiyo slogan ya hawa jamaa zetu wapendwa. Lakini tunawaona jamaa zetu hawa hawaitekelizi hiyo slogan. Kila siku tunawaona na kuwasikia wakiendelea kuonesha hate kali dhidi ya JPM ambaye sasa ni marehemu. Ni vyema sasa wakaacha kufanya hivyo. Yaliyopita wasiyachukulie ni ndwele bali sasa kwa pamoja tugange tu ya sasa na yajayo.
Pia jamaa zetu wana slogan nyingine inayosema, ' Never, never, never again': wakiimanisha bila kuwepo katiba mpya, jamaa hawatashiriki kwenye uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2025, yaani jamaa watasusa chaguzi hizo. Hii ni slogan nzuri sana na chama kijani kinasubiri kwa hamu kunufaika na slogan hiyo kama jamaa wataitekeleza kikamilifu bila ya hate wala fear.