UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Hata wangetaka hakuna wanachadema wa kuingia msituni. Nachosema kama wamesamehe ule uchafuzi mkuu na kukubali kuchukua ruzuku zenye kutokana na uchaguzi haramu ikiwa ni matunda ya maridhiano basi haina haja ya kuendelea kuonyesha chuki kwa Magufuli.Ulitaka waingie msituni mkuu?