Wanaoa na wanaoachika/achana ngoma droo rudi ufanye utafiti.Jf kila MTU hataki kuoa but on ground things are so different. Vijana wanaoa vizuri tu, and Ofcoz wanaosema usoe wao wameoa.
Za kuambiwa...
Mb.oo zote mjini zinakujua wewe. Motherfanta kweli kahaba wewe..Na sisi hatuolewi na machokoooo 😹😹
Wahuni hatupangiwi na hao jamii uchwara.Kuna muda ukifika kutooa hueleweki na jamii. Kuzalisha tu nje ni uhuni
Na wake zenu tunawabong'oa na hamna kitu mnaweza fanya.Kabisa mkuu, kuna wasengerema wengine wanazalisha tuu afu huyo huyo anakuja kuwaponda singo maza.
Mwenyekiti aambiwe huko alipo movement inasonga mbaya mbovu.Kopi ifike kwa Mwenyekiti dronedrake
📌📌📌KWA HESHIMA NA UMUHIMU WAKO MKUU KIONGOZI KUTOKA MEZA KUU.NAPENDA KUSEMA UMEMALIZA NA IKIWEZEKANA POST YAKO IWEKEWE LAMINATION NA IKATUNDIKWE PALE HQ KATAA NDOA OFFICE MASAKI.Katika kizazi tulichopo ukiondoa sex mwanamke hana tija nyingine kwa mwanaume.
kama hawaamini wakamuulize Ki- Awadhi.Upo sahihi...na ulibahatika kuwa single usiichezee hiyo nafasi🤒
Ndoa ni muhimu mkuu,Tulia upate mtu sahihikama hawaamini wakamuulize Ki- Awadhi.
Watu sahihi walikufa vita vya pili vya kidunia.Ndoa ni muhimu mkuu,Tulia upate mtu sahihi
Kuzalisha tunazalisha na hakuna kitu mtafanya!!!Kifungo kibaya ni kuzaa maana unaleta watoto waje kuteseka kweny dunia iliyokushinda.
Kama maisha mazuri fanya kuishi mwenyewe..
Mtumwa huoKuzalisha tunazalisha na hakuna kitu mtafanya!!!
Wazee😀😀😀 msimbe huu hapa umejitokeza na kujitaja wenyewe.Hivi kuwa single maza ni dhambi??
Mimi sijaolewa na sina mpango wa kuolewa na kina kasongo km wewe… coz najua hamtaki ndoa mnataka kuolewa 😹😹😹
Unavyosema kumpa mimba unasound kama kichwa kimehamia matakoni na matako yamehamia nafasi ya kichwa.Hivi kwa akili yako unadhani K ipo mikononi au usoni kwamba ukimgusa tu mimba inanasa.Kama hutaki kuoa na kumpa mimba mtoto wa watu marufuku, ili waishi maisha yao bila kuwa na mizigo, sasa unataka uzalishe ili iweje, ikikataa kuoa, olewa kama unaona kuoa ni hasara jaribu kuolewa. ila sio kujifanya hutaki kuoa huku ukiwaponda wanawake na utamu wao unataka sio sawa hiyo, kazae na dada poa wanaojiuza