Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kikojozi tumeusikia Utopolo wakosimba hawezi wafunga waarabu wale, mwarabu akiwa kwenye ardhi yake achana nae kabisa mkuu, simba amezoea kuonga na kuifanyia ujma yanga ila kule wameisha.
Mtani naifanyia kazi ndoto yako,mkeka ukitoka ntahakikisha mechi zenu za VPL mnashinda zote[emoji23]Nimeota simba kafunga goli moja na ana point 9. Badae mkuje mtoe reference hii komenti [emoji16], wale wa betting wekeni 0-1
Huyo hawezi kujua wakati huo alikuwa kwao mbwinde anachunga mbuziSimba hajawahi kupoteza. Mechi dhidi ya timu hizo kubwa za Sudan...
Mechi ni saa 10:00 jioni.Hapa na mimi nasubiri majibu
Mtoa mada alikuwa bado kwenye via vya uzazi hawez kumbuka hiliMkumbushe tushawapiga haohao melekh kwao 2 bila kabla ya half time wakatupiga mawe mechi iakavunjika wakakataa kutupa ushindi wakasema mechi irudiwe Simba wakajitoa ilikuwa robo fainal ya afrika mashariki na kati
Pamoja brotherMechi ni saa 10:00 jioni.
Naona mamluki bado hamkomisimba hawezi wafunga waarabu wale, mwarabu akiwa kwenye ardhi yake achana nae kabisa mkuu, simba amezoea kuonga na kuifanyia ujma yanga ila kule wameisha.
Tuliza munkali mkuu sisi utopolo tunatafutia paku jisahaulisha ya juziSimba hajawahi kupoteza. Mechi dhidi ya timu hizo kubwa za Sudan.
Nafikri timu pekee iliyowahi kuwafunga Simba ni Al Ahly Shandy hao wengine wote ni vibonde tu kwa Simba.
Hivi unakumbuka Al Hilal aliwahi kupigwa goli 6-0 na Simba pale uwanja wa Uhuru huku Abed Mulenga na Said Swedy wakipiga goli mbili kila mmoja.
Baada ya game atakuja na majibuKama kwel wee ni mbashiri, toa ubashiri
Acha kua kama Muhindi
Uto hawajawahi kua na akili[emoji23][emoji23]Baada ya game atakuja na majibu
Haya kama Vita alishinda pale
Au utawasikia wale ni Under dog.
Au utwasikia umesahau mapinduzi nlikunya nn?
Wana kauli nyingi wanaweza kujaza hata beseni
Usije ukakimbia bandiko lako tuWengi wanaamini al merekh ni mbovu kiasi kwamba watapigwa nyingi na vijana wa kariakoo...
Me nikajua unanihakikishia kunipa mkwanja, mtani hivi lin utaacha ubahiri??😁😁😁Mtani naifanyia kazi ndoto yako,mkeka ukitoka ntahakikisha mechi zenu za VPL mnashinda zote[emoji23]
Huyo hawezi kujua wakati huo alikuwa kwao mbwinde anachunga mbuzi