SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Dua la nyani halimpati Simba. Lisilo na ubishi ni kuwa juzi mlikeketwa na kubikiriwa kwa mpigo pale MkwakwaniSimba leo hawataamini.Atapigwa si chini ya goli 4, baada ya mechi mtakumbuka hii post