kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Timu bovu hiloAliyekuambia Al Mireikh ni mbovu ni nani?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu bovu hiloAliyekuambia Al Mireikh ni mbovu ni nani?
Tupinge,Simba ikishinda niku dokufungwa kwa wanachi hakumfanyi simba atoboe gem ya leo
Vyote havijatokea .Simba kazidi kujiimarisha kileleniWengi wanaamini Al Merekh ni mbovu kiasi kwamba watapigwa nyingi na vijana wa kariakoo lakini amini usiamni hii gemu ngumu sana kwa pande zote hasa hasa kwa wekundu wa msimbazi.
Tarajia yafuatayo;
• Red card/penalty
• Sare ya magoli
• Simba kupoteza kabisa
Wako;
Magema Jr
SportsFire
simba hawezi wafunga waarabu wale, mwarabu akiwa kwenye ardhi yake achana nae kabisa mkuu, simba amezoea kuonga na kuifanyia ujma yanga ila kule wameisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba mechi tatu klabu bingwa ajaruhusu goli na cleensht
Anachukua point 4 ugenini
Hii kwa tz atujawaigi Fanya simba ndio anafanya for the first time watanzania wote narudia wooooooote semeni simba baba lao ukiumia kunya boga uchanike
Yanga a.k.a mijitu ya kubwekabweka. HAIJUI FOOTBALLWengi wanaamini Al Merekh ni mbovu kiasi kwamba watapigwa nyingi na vijana wa kariakoo lakini amini usiamni hii gemu ngumu sana kwa pande zote hasa hasa kwa wekundu wa msimbazi.
Tarajia yafuatayo;
• Red card/penalty
• Sare ya magoli
• Simba kupoteza kabisa
Wako;
Magema Jr
SportsFire
Red card/Penalty - HAKUNAWengi wanaamini Al Merekh ni mbovu kiasi kwamba watapigwa nyingi na vijana wa kariakoo lakini amini usiamni hii gemu ngumu sana kwa pande zote hasa hasa kwa wekundu wa msimbazi.
Tarajia yafuatayo;
• Red card/penalty
• Sare ya magoli
• Simba kupoteza kabisa
Wako;
Magema Jr
SportsFire
Ninashaka ya uwezo wako juu ya ufikiriaji... soma upya huo uzi