Noah inazingua sana (linamiss na kuwaka taa ya check engine) naombeni msaada

Noah inazingua sana (linamiss na kuwaka taa ya check engine) naombeni msaada

Halafu mbona kwenye maelezo yangu mimi hamna sehemu nimetaja thermostat wala mambo ya overhitting? Nimetaja intake arr temperature sensor ambayo badala ya kuiweka separate kwenye magari mengine huwa wanaamua kuiweka ndani ya MAF ambapo ndio wanaongeza hizo pin...
SI tunazungumzia katika suala zima la kucheki gari ku overheat na nikatolea mfano wa vitu wa kuvicheki? Sasa nashangaa ulipozungumzia MAF sensor, nilijua labda bado unazungumzia suala la engine overheating.

Na hilo la MAF kuwa na pini 50 huo ni utani tu, where i meant haijaalishi ina pini ngapi, lakini kazi yake ni kazi fulani.

Thermostat inaregulate mzunguko wa maji/coolant kwenda kwenye engine. Inapokuwa faulty, inasababisha engine ku overheat, kwa sababu inablock mzunguko huo.
 
Sasa tunazungumzia mambo ya overhitting kwenye gari transmission ingeingiaje?
Nimekuuliza kama ECT unayozungumzia ndio hio nliyokutajia ama la. Tunaweza kuzungumzia overheating kwenye engine mwengine akaja akakwambia Brake pads zinachangia engine overheat.

Kwaio lazima ni make sure, nini unazungumza kwanza kabla sijaweka mchango wangu. Si unaona umenambia ni sensor? sasa umeclarify kuliko ningeanza kukupinga huku nikifikiria kuwa umemaanisha transmission.
 
Chomoa MAF sensor kwenye gari, halafu niletee mrejesho kama unapata tatizo la overheating kwenye engine. Halafu chomoa Thermostat kwenye gari, Toka magomeni mpaka kariakoo

Hapa ulisema ukichomoa thermostat utapata overheating.


Thermostat inaregulate mzunguko wa maji/coolant kwenda kwenye engine. Inapokuwa faulty, inasababisha engine ku overheat, kwa sababu inablock mzunguko huo.

Hapa saiv unazungumzia thermostat kuwa fault. Hivi vitu viwili ni sawa?

Anyway kuna cases mbili za thermostat kufa. Inaweza kufa in a closed position au kufa in an open position. Hiyo ya engine kuoverheat ni kama thermostat imefia in a closed position. Kama ikifia kwenye open position huwezi kuona overheating.

The same kwa ect sensor inaweza kufa ikawa inatoa cold signal au hot signal. Kufa kwa aina hizo mbili kuna dalili mbili tofauti ambazo hazifanani kabisa.
 
Hapa ulisema ukichomoa thermostat utapata overheating.

Hapa saiv unazungumzia thermostat kuwa fault. Hivi vitu viwili ni sawa?...
Ukichomoa Thermostat na ukaendesha gari bila ya hio kitu, engine itapata moto. Kwa sababu hakutakuwa na regulator ya maji yaliokuwa cooled na maji yaliokuwa hot.

Ni kama;

Wakati una start engine, engine itaendelea kuwa cold na haitofikia operating temperature haraka kama inavotakiwa kwa sababu itakuwa inapata mzunguko wa maji/coolant wakati ilitakiwa ifikie operating temparature kwanza kabla ya hio regulation itokee.

Na itakapoanza kupata moto sasa, wakati thermostat ilitakiwa iblock maji kwenda kwenye engine ili yapate kupozwa kabla ya kupelekwa tena kwenye engine, ukiiondoa maana yake yale maji sasa hayapati mda kupozwa, kwaio yanarudi kwenye engine yakiwa na moto ule ule na hpa ndio shida itakapoanza.

ECT sensor. Ikifika, huwa inatuma signal kwa ECU kuwa Engine ni baridi, na ECU inapotambua kuwa engine ni baridi, inapeleka mafuta mengi kusudi ili engine ipate moto haraka. Sensor hii pia inatumika kuwasha fan za radiator pale inapopima maji kuwa na joto kubwa na kuhitaji kupozwa.

Sijui kuhusu Sensor hii kufa ikiwa inapeleka signals ya hot, nijuavyo sensor ikifa kuwa ina transmit default signal with no change after a very long time of measurements. Kwa ECT sensor default yake ni Cold, since it starts with cold and ends with hot.

Hii ina cause overheating kwa sababu, kwa vile inadetect kuwa engine ikobaridi na coolant yake, maana yake hakuna haja ya kuwasha feni kupoza maji, hivo maji yanapata moto, na hayapozwi na kurudi kwenye engine yakiwa moto.

Hapa utaona kuwa logic ile ile is applied to thermostat ikiwa imeondolewa. Maji hayawi blocked kwa ajili ya cooling instead, yanachanganyikana na yalopata moto, na kuendelea kuzunguka ndani ya engine yakiwa moto vile vile na engine kukosa kupozwa.
 
Ukichomoa Thermostat na ukaendesha gari bila ya hio kitu, engine itapata moto. Kwa sababu hakutakuwa na regulator ya maji yaliokuwa cooled na maji yaliokuwa hot.

Ni kama;...


Ukiondoa Thermostat kuna case mbili. kama radiator fan ni mbovu basi engine lazima itaoverhit. Ila kama radiator fan inazunguka basi engine itakuwa inaoperate katika temperature ambayo iko below ile inayotakiwa na hapa huwa zinakuwepo athari kwenye utumiaji wa mafuta na pia kwenye Lubricant.

Halafu kwenye case ya ECT sensor kufa mafuta yanapoenda mengi siyo ili kupasha engine moto. Ila kwa sababu ECU inafikiria kwamba engine ni ya baridi hivyo mafuta yakiwa ya baridi yanapata shida kuwaka ndio maana mafuta yanaenda mengi. Ni sawa tu na situation ya cold start.

Mwisho ECT sensor ikifa kwa kupeleka signal ya hot bas radiator fan haitazimika... itakuwa tu inazunguka ukiwasha gari. Kwa sababu hiyo ndio controler ya relay ya radiator fan.
 
Tatizo la gari kumiss;

Check coil kama zinafanya kazi, njia moja ya kucheki coil yenye tatizo, washa gari yako, anza kuchomoa moja moja na utizame gari itabadilika mlio, ukiona umechomoa coil na kuona mlio wa gari haubadiliki ujue hapo ndio kwenye tatizo, sasa kumake sure kama ni coil ibadilishe weka kwenye cylinder nyengine halafu urudie process, ukiona kwenye coil hio hio mlio haubadiliki, basi tatizo ni hio coil, na kama mlio unabadilika basi pale ulipoitoa kuna tatizo la plug...

Wapi Dar wanafanya Computer diagnosis ambao pia sio wababaishaji?
 
Ukiondoa Thermostat kuna case mbili. kama radiator fan ni mbovu basi engine lazima itaoverhit. Ila kama radiator fan inazunguka basi engine itakuwa inaoperate katika temperature ambayo iko below ile inayotakiwa na hapa huwa zinakuwepo athari kwenye utumiaji wa mafuta na pia kwenye Lubricant.
Kuna gari zinategemea Thermostat kupeleka signal kwenda kwenye ECU na kuwasha fan. Ukiiondoa Thermostat completely kwa gari yenye mfumo huo, basi ita overheat tu. Nilikuwa kwenye foleni nikaona temperature inapanda, nikahisi labda maji yamepungua feni itawaka since tayari ime sense kuwa temperature ni too high, nikaona kimya, nikaweka gari pembeni, nikahisi feni mbovu, nikawasha AC feni zote zinazunguka, nikajua sio feni. Nikazima gari, na kuchezea chezea kama kushindilia pale inapokaa switch ya thermostat, nikawasha gari, ikapata moto, mara naona feni inazunguka.

That is to say, for a car ambayo inategemea switch ya thermostat kuwasha feni, engine ita overheat, kwa sababu feni haitofanya kazi, na yale maji hayatopoozwa na kurudishwa kwenye engine yakiwa moto.


Kila Engine ina operating temperature yake na ili iwe inafanya kazi inavotakiwa basi ifikie joto linalotakiwa.

Kwenye Cold start, ECU inajua kama engine ipo baridi au moto kupiti Temperature sensor. So when it is cold, the engine needs to be n normal operating temperature, to get there, higher explosions is needed, and to get higher explosion is to add more fuel.

Cold start process, ni simply to get the engine to its normal running temp. Na sio kwa sababu mafuta yapo baridi, Petrol inapata ubaridi gani hapa TZ hata iwe baridi? Ile yote hutokea kwa sababu ECU inapata cold readings na inataka ipate warm readings ili ifanye kazi vyema.

Kuthibitisha hilo sasa, ETC sensor ikiwa imefeli na default ni cold, maanake ECU inajua engine iko baridi, itatia more fuel ili ipate moto, lakini kwa sababu sensor imefeli, hata baada ya engine kupata moto (na tujaalie hayo mafuta yamepata moto) bado cycle iko pale pale, more fuel into the engine. And by the way, ETC sensor haipimi Fuel temperature, vipi utasema kuwa Inapeleka more fuel kwa sababuthe fuel is cold?
 
Kuna gari zinategemea Thermostat kupeleka signal kwenda kwenye ECU na kuwasha fan.

Gari yoyote inayotumia mechanical spring thermostat ukiondoa thermostat haitaoverheat. Hizo gari unazozungumzia wewe zinatumia MAP controlled thermostat na thermostat yake ina connector kabisa umeme. Kwa hizo hizo thermostat ambazo ni MAP controlled kweli ukiondoa thermostat lazima engine itaoverhit tu..@chilubi,

Kasome vzr concept ya cold start. Fuel ya aina yyt inapokuwa ya baridi ikiburn inatoa low amount of energy hivyo mafuta yanaenda mengi ili kuproduce enough energy kupower engine.

Eti unasema hapa tanzania mafuta yatakuwaje ya baridi? You are not serious. Ukipata gari ambayo ECT sensor imekufa halafu inapeleka signal ya hot, Huwa yanasumbua sana kwenye cold start up kwa sababu ECU inapeleka mafuta kidogo ikidhani engine ni ya moto. Ukiwasha linazima au ukiwasha lazima upige sana accelerator ili engine ipate joto.
 
Gari yoyote inayotumia mechanical spring thermostat ukiondoa thermostat haitaoverheat. Hizo gari unazozungumzia wewe zinatumia MAP controlled thermostat na thermostat yake ina connector kabisa umeme. Kwa hizo hizo thermostat ambazo ni MAP controlled kweli ukiondoa thermostat lazima engine itaoverhit tu...
ETC sensor ikifa na kuwa inapeleka signal ya hot, ECU inajua engine ipo hot na kuepeleka mafuta kidogo kama vile inavotakiwa katika operating temperature ya engine.

Hii lazima italtea shida kwa sababu kiuhalisia engine iko baridi wakati inatakiwa ipate moto. Kumbuka kwenye hio process kuna oil, ambayo inatakiwa ipate moto, hivyo during a cold start the engine was design to operate in a way to reach hio normal operating temperature and one way to reach its temperature ni kupump more fuel.

Ndio maana baadhi ya gari, ukiwasha during cold start, ina rev higher ili ifike kuwa moto haraka na engine ina remain stable. Yangu nlokuwa nayo hai rev higher, instead ina rev low mpaka itakapopata moto, na during hio warm up engine inakuwa rough kidooooogo.

Any wrong readings from engine sensors, zitaleta usumbufu tu.

Check hii link hapa, utaona kuwa it is all about warming up the engine na sio case ya cold fuel.
Should You Warm Up Your Car When It's Cold?
 
Nina gari aina ya Noah new shape injin ya 1az.. Sasa limekua likisumbua miss muda mrefu hatimaye limebadilishwa vitu kabao hadi Sasa bado halijaaa sawa...

Shida ya sasa ni kwamba asubuhi ukiliwasha badala ya kuleta Ile kama resi hadi oil upande ndo litulie limekua likileta miss na some times had upige ress kidogo ndo litakaa sawa...

Mkuu tatizo lako lilitatuliwa?
 
Back
Top Bottom