Noah inazingua sana (linamiss na kuwaka taa ya check engine) naombeni msaada

Noah inazingua sana (linamiss na kuwaka taa ya check engine) naombeni msaada

Mimi yangu ina ugonjwa huo na inanuka petrol kinyama naombeni msaada.
Nina gari aina ya Noah new shape injin ya 1az.. Sasa limekua likisumbua miss muda mrefu hatimaye limebadilishwa vitu kabao hadi Sasa bado halijaaa sawa..
 
Nina gari aina ya Noah new shape injin ya 1az.. Sasa limekua likisumbua miss muda mrefu hatimaye limebadilishwa vitu kabao hadi Sasa bado halijaaa sawa...

Shida ya sasa ni kwamba asubuhi ukiliwasha badala ya kuleta Ile kama resi hadi oil upande ndo litulie limekua likileta miss na some times had upige ress kidogo ndo litakaa sawa.

Na la pili ni kwamba wakali linatembea barabaran gafla linawaka taa ya check injin na linaendelea kwenda lakini muda mwingine linazima gafla ukitaka kuliwasha unakuta halionesh taa ya injin na betri so had zijitokeze ndio linawaka inaakua kama Kuna wire zinacheza sasa mafundi wamehangaika nalo limeshindikana

sent from HUAWEI
Asante sana na mimi nina gari hilo hilo noah voxy na lina tatizo kama hilo nimebadilisha plugs oxygen sensor vulve fuel pump ila bado tatizo lipo pale pale sijui inaweza kua tatizo liko wapi
 
Asante sana na mimi nina gari hilo hilo noah voxy na lina tatizo kama hilo nimebadilisha plugs oxygen sensor vulve fuel pump ila bado tatizo lipo pale pale sijui inaweza kua tatizo liko wapi

aisee hapo mlikuwa mnacheza kamari. Karibu Magomeni tufanye Diagnosis kama upo Dar.

Tuone kama kuna code, tuangalie na Live Data.
 
Point yako ya mwisho sikubaliani nayo. Nunua mashine ya kufanya diagnosis, halafu ikiwaka check engine, ichomeke na usome uone tatizo nini (haihitaji uwe fundi kufanya diagnosis). ukishajua, mpelekee fundi wa kitaa tu wa kawaida, halafu mwambie akutengezee jambo flani (kwa mujibu wa kodi uliopata). Atakutengenezea tu na itakuwa fresh.

Shida iliokuwepo ni kwamba, mafundi hawana diagnosis tool ndio maana unakuta wana bahatisha bahatisha. Ila kama unayo, huihitaji kuwa fundi kujua tatizo lipo wap kwenye gari.

Hakuna gari ilioko Analogy siku izi, even before 1997 magari yalikuwa na OBD1 port kwa ajili ya diagnosis. Mafundi wanatumia uzoefu kwa vile hawa diagnosis tool. Wakiwa nazo, huyo ulomuona sio fundi wa Bimmer basi utamwita wa fundi wa bimmer.
hahahahaha mashine ninazo zakutosha sio moja au mbili ww ukiwa na shida njoo nikupimie tena nitakufanyia bureee kabisa..
 
30,000/= kwa code za engine tu.

Pia kuna full system diagnosis ambayo gharama yake inaanzia 50,000/= mpaka 70,000/=.

Karibu
hahahaha kucheki fault code gari zakizamani labda vip unaweza fanya hivyo kuchek code kwenye nissan au gari zinazotumia CAN??
 
hahahaha kucheki fault code gari zakizamani labda vip unaweza fanya hivyo kuchek code kwenye nissan au gari zinazotumia CAN??

Mashine Ninayotumia ina OBD protocals 6 including hiyo CAN.

Nimeshafanya Diagnosis kwenye nissan kadhaa bila shida yoyote.

Kucheck code gari za kizamani zenye DLC 1 pia naweza kwa system zote za gari.
 
Point yako ya mwisho sikubaliani nayo. Nunua mashine ya kufanya diagnosis, halafu ikiwaka check engine, ichomeke na usome uone tatizo nini (haihitaji uwe fundi kufanya diagnosis). ukishajua, mpelekee fundi wa kitaa tu wa kawaida, halafu mwambie akutengezee jambo flani (kwa mujibu wa kodi uliopata). Atakutengenezea tu na itakuwa fresh.

Shida iliokuwepo ni kwamba, mafundi hawana diagnosis tool ndio maana unakuta wana bahatisha bahatisha. Ila kama unayo, huihitaji kuwa fundi kujua tatizo lipo wap kwenye gari.

Hakuna gari ilioko Analogy siku izi, even before 1997 magari yalikuwa na OBD1 port kwa ajili ya diagnosis. Mafundi wanatumia uzoefu kwa vile hawa diagnosis tool. Wakiwa nazo, huyo ulomuona sio fundi wa Bimmer basi utamwita wa fundi wa bimmer.
Mkuu hiyo diagnosis machine inauzwa bei gani?
 
Hoja yako naipinga,ni vizuri kupeleka gari kwa competent mechanics mwenye diagnos tools, though mwenye gari kua na OBD-2 yake mwenyewe ni kitu kizuri lkn nakuhakikisha wewe kama ni layman kwny hio field utaenda chaka sana tu na utanunua spare mpya kwa sana tu.

Kwa mfano OBD-2 reader yako ikisoma codes P0171 (Lean Exhaust Bank 1) na P0174 (Lean Exhaust Bank 2) utakimbilia kunua Oxygen Sensors wkt unaweza kukuta kuna vacuum leak na possibly haujabadilisha Fuelt filter kwa muda mrefu saana,unanunua zako fuel filter mpya mchezo umeisha wkt sababu ulisoma codes mwenyewe bila kua na utaalam husika ungenunua Oxygen Sensors.

Unaweza kusoma codes za P0401(insuficcient EGR) ukakimbilia fasta kununua EGR Valve mpya wkt inaweza kua ni EGR control solenoids au sababu ni exhaust hose imepasuka.

So ni vizuri kupeleka gari kwa wataalam husika.
Mkuu nukuulize swali moja.
Miaka ya nyuma kabla hizo diagnosis tools hazijasambaa Tanzania gari lako ulikuwa unapeleka wapi?japo sikatai kuwa mafundi wa mtaani huwa wanawanunulisha watu spares nyingi kwenye tatizo moja usipokuwa smart coz hata mimi ilishawahi kunikuta hiyo kitu.
 
hahahahaha mashine ninazo zakutosha sio moja au mbili ww ukiwa na shida njoo nikupimie tena nitakufanyia bureee kabisa..
nnayo ya kwangu sina wasiwasi, taa ikiwaka tu nachomeka, kama sina tools za kutatua namwambia fundi arekebishe kitu flani.
 
inategemea unataka kwa ajili ya shughuli gani, kwa binafsi tu ilimradi ujue nini inasumbua, hata za buku 50 zinapatikana. ila ukitaka kufanya kazi ki pro zaidi, zipo hata za mamilioni.
ooh sawa nitainunua kwa ajili ya gari yangu binafsi
 
ooh sawa nitainunua kwa ajili ya gari yangu binafsi

Mimi ushauri wangu kama mtu unaamua kununua Diagnostic Machine ni vema ukajua mapema OBD II protocal ya gari lako kwa maana hata hizi machine zinakuwa na protocal.

Sasa kama protocal ya machine na ya gari lako havimatch hiyo machine utakayonunua haitokuwa na msaada kwako.
 
Mimi ushauri wangu kama mtu unaamua kununua Diagnostic Machine ni vema ukajua mapema OBD II protocal ya gari lako kwa maana hata hizi machine zinakuwa na protocal.

Sasa kama protocal ya machine na ya gari lako havimatch hiyo machine utakayonunua haitokuwa na msaada kwako.
ooh sawa nmekupata
 
Mleta mada pole sana..
Huku Jf utapata ushauri mseto mpaka kichwa kitauma. Kuna jamaa huko juu kasema sijui itakuwa oil. Mwingine kasema charging system...

Matatizo ya gari kuleta miss husababishwa na mambo kadhaa. Tukianza na yale marahisi kwenda magumu..

1.Spark plugs...huenda moja wapo imekufa.

2. Vacuum hoses...Kuna vipipe vidogo vidogo vinavyohusiana na hewa, kakiwa kametoboka au kamechomoka unaweza kupata miss na check engine light. Mfano kuna vacuum hose moja huwa inatoka pale kwenye cylinder head cover inaingia kwenye hose kubwa kati ya throttle body na MAF sensor...hii ikiwa na tobo au ikilegea kwa magari mengi utaona miss na check engine..

3. Ignition coil....Hapa huenda zile rubber boots za coil zinazoshuka kwenye spark plugs zimemetoboka...hizi hukakamaa kutokana na joto kubwa la engine na kutoboka au kupasuka....sehemu iliyotoboka itakuwa inavujisha umeme unaotakiwa uende kuchoma spark plug na umeme huo hupotelea kwenye block engine.....hapo utapata miss isiyoisha ila ukipiga resi rmp iwe kweny 4 mpaka 5 miss inapotea..

4. Fuel filter, air filter au throttle body huenda vimechafuka sana.

5..MAF au O2 sensors...huenda moja wapo ina loose connection au imechafua sana au ndiyo inaenda kufa kabisaaa.

6.Fuel injectors huenda zimekuwa clogged zinahitaji kusafishwa...

Kama maeneo yote hayo yamekaguliwa na hayana shida., fanya vipimo vya mashine....huenda control box imepata COVID 19.

Ukifuatilia haya, utapata suluhisho. Kwa fundi mjuvi, hako katatizo wala hatahitaji diagnosis machine..


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina noah voxy engine 1az fse. Inakula mafuta sana na haina nguvu. Kwa kuwa mi ni mgeni wa magari mafundi wamekuwa wakipiga ramli na kuninunulisha vitu vingi vya gharama na shida imeendelea kuwepo.

Fundi wa kwanza aliniambia ni cylinderhead tukafungua engine nzima ikafanyiwa overhaul, kusaga valve na kuosha carbon. Shida ikaendelea kuwa vile vile ulaji wa mafuta, gari haina nguvu, na check engine light inawaka.

Fundi wa pili Nikabadilisha oxygen sensor pia, pump ya mafuta, fuel pressure pump(D4). Tatizo likaendelea vile vile.

Fundi wa tatu tukabadilisha fuel pump ya kwenye tank, fuel pressure pump(D4), Driver injector, Nozzles zote na bomba lake, MAF sensors lakini bado gari haina nguvu na ina misfiring na check engine light inawaka.
Jana nikaita fundi akaifanyia diagnosis na computer ikaleta code P0172 na Code P1349. Naomba msaada wa utatuzi wa tatizo langu. Nianzie wapi ?

JituMirabaMinne LEGE




kwani diagnosis ndio inatengeneza gari mkuu??. mashine zipo na unaweza ukapima na mashine na bado gari ikakuchapa vile vile?? na hizi gari za TOYOTA ndio hamna kitu kabisaa..na wengi mafundi na wenye magari wamelemaa na kulemazwa na mashine..na kuna aina ya shida lazima upige manually kwanza kama gari inakubali kupimwa na mashine ni basi mm naweza nikaipima yenyewe manually ikanipa jibu sahihi zaidi kuliko hata ukitumia mashine..
 
inategemea unataka kwa ajili ya shughuli gani, kwa binafsi tu ilimradi ujue nini inasumbua, hata za buku 50 zinapatikana. ila ukitaka kufanya kazi ki pro zaidi, zipo hata za mamilioni.
Napataje hiyo diagnosis tool ya 50 nitakayaconnect na simu yangu?
 
Back
Top Bottom