Nobel Prize inamnyemelea Rais Samia

Nobel Prize inamnyemelea Rais Samia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Rais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.

Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na Tanzania.

Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.

Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.

Aifikishe Tanzania mahali ambapo Watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.

Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.

Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla Watanzania wote kupatiwa maji safi.

Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
 
Hujui usemalo.
Very soon tutakuwa ni taifa la walarushwa wakubwa.
Samia hana sauti amewekwa na wazee wa mujini...itunze hiii post.
Kuna watu miaka 60 ya Uhuru hawana maji, umeme wala zahanati kwao na kodi wanalipa kama wengine.

Hao watu wakipata maji, umeme na zahani hawatajali nani anakula rushwa, wacha wale tu rushwa.

Speed ya mama ni kutimiza adhima ya kuwapatia watanzania wote maji, umeme, zahanati na shule, ndio maana wakora wanalalamika ujenzi wa miradi ya kihuni imepungua speed ya ujenzi.

Mahitaji makubwa ya msingi (basic needs) za binadamu ni hewa ya oxygen, maji na chakula, ukishapata vitu hivyo kinachofuata ni usalama, love (kupendwa), na kutosefu wa maumivu, ukishakamilisha hayo mtu atahitaji kuthaminiwa na baada ya kumaliza kuthaminiwa atahitaji kuwa bora kabisa (champion) ndani ya jamii anamoishi.

Kaka mtu hawezi kuipenda reli ya mwendo kasi kabla ya kumpatia oxygen, maji na chakula kwanza na kabla ya kumpatia upendo, usalama wake na afya bora.
 
Nobel? au Ulitaka kumaanisha Mo Ibrahim excellence in African leadership Award?
 
Rais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.

Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na tanzania.

Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.

Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.

Aifikishe Tanzania mahali ambapo watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.

Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.

Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla watanzania wote kupatiwa maji safi.

Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
Unafikiri Nobel prize inagawiwa kijinga tu kama tuzo za Basata au siyo
 
Rais Mama Samia akiendelea hivihivi na juhudi za kujali hali za wananchi wa kawaida na kukuza demokrasia nchini lazima atapata mojawapo ya zawadi za amani za Nobel au Mo Ibrahim, Inshallah.

Watu wanasema ukimsifu sana mgema anaweza kulitia maji tembo, lakini kwa mama Samia mimi ni miongoni mwa watu wa kawaida kabisa kwenye jamii wanaoiona nia yake njema kwa wananchi na tanzania.

Kama sisi tutashindwa kumuona na kuona anachokifanya huenda watu wa mataifa mengine wakamuona na kumpa kumpongeza.

Namuombea kwa Mungu asilitie tembo maji nchi ielekee kule waliko watu wastaarabu.

Aifikishe Tanzania mahali ambapo watanzania wanaweza kuongozwa na chama chochote kile, kukiondoa na kukirudisha tena madarakani bila tatizo wala shida yoyote.

Yaani aondoe janjajanja za kisiana ambazo huko mbele ya safari italiletea shida kubwa taifa.

Ahakikishe kuwa hakuna hata tone moja la maji ya mito, mvua na maziwa yanakwenda baharini kabla watanzania wote kupatiwa maji safi.

Lazima zawadi ya Nobel itakuja Tanzania, inshallah.
mimi namuombea uzima , afya njema na ulinzi imara ili azidi kutuletea neema.
 
Back
Top Bottom