Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Habari jf.
Naomba uzoefu wenu watu wazima mlio na watoto au watoto ambao umezaliwa kwenye familia hii.
Ni zile familia ambazo Baba yako kazaa na wanawake hata 2 au zaidi ya 2 na wanawake aliozaa nao wapo hai pamoja na watoto pia. Hivi swala kama ilo kwako kama mtoto unaonaje kwenye familia hio au unamchuliaje Baba, funguka kutoka moyoni.
Au mama yako kazaa na wanaume 2 au pengine hata zaidi ya hao 2 na mwanaume aliyezaa nae yupo hai na mnamjua. Hivi kwenye familia ya namna hio kama mtoto mzazi wako unawaonaje moyoni mwako.
Pia kama wewe ni Baba au mama upo utu uzima sasa na watoto wako washakuwa wakubwa wanajitambua.
Hivi unajisikiaje maana watoto watajua tuu kuwa mama alizaa na mbaba flani na mtoto ndo huyu. Mama alizaa na wanaume zaidi ya 2 au 3.
Wewe kama mwanamke unalichukuliaje hilo swala.
Naombeni ushirikiano wa kutosho.
Naomba uzoefu wenu watu wazima mlio na watoto au watoto ambao umezaliwa kwenye familia hii.
Ni zile familia ambazo Baba yako kazaa na wanawake hata 2 au zaidi ya 2 na wanawake aliozaa nao wapo hai pamoja na watoto pia. Hivi swala kama ilo kwako kama mtoto unaonaje kwenye familia hio au unamchuliaje Baba, funguka kutoka moyoni.
Au mama yako kazaa na wanaume 2 au pengine hata zaidi ya hao 2 na mwanaume aliyezaa nae yupo hai na mnamjua. Hivi kwenye familia ya namna hio kama mtoto mzazi wako unawaonaje moyoni mwako.
Pia kama wewe ni Baba au mama upo utu uzima sasa na watoto wako washakuwa wakubwa wanajitambua.
Hivi unajisikiaje maana watoto watajua tuu kuwa mama alizaa na mbaba flani na mtoto ndo huyu. Mama alizaa na wanaume zaidi ya 2 au 3.
Wewe kama mwanamke unalichukuliaje hilo swala.
Naombeni ushirikiano wa kutosho.