Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
- Thread starter
- #21
Mmmh kaka naomba namba yako nataka tuongee kitu..Umerogwa tu hapo watoto hao huwa na majini wanaitwa mahenje huku paje majini hayo hupatikana kwenye miti iliyofungana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh kaka naomba namba yako nataka tuongee kitu..Umerogwa tu hapo watoto hao huwa na majini wanaitwa mahenje huku paje majini hayo hupatikana kwenye miti iliyofungana.
Miaka ya nyuma kuna jamaa yangu alikuwa na tatizo la aina hii, japo siyo la chakula. Yeye alikuwa amenunua shamba sehemu huku anaishi na wazazi wake. Shamba na makazi ya wazazi vilikuwa siyo mbali sana. Sasa ikatokea jamaa akasema kila anapoenda kuangalia shmba lake, kuna sehemu akifika, (kwenye njia panda) anaona kizunguzungu na kujisikia kama anataka kupoteza fahamu. Tatizo lilikuwa kubwa kiasi ambacho alikuwa ameacha kabisa kwenda kwenye lile shamba kwa imani kuwa kuna mtu alikuwa amemloga. Baadae kabisa kaka yake akaja kwa likizo nyumbani, (alikuwa anasomea udaktari nje ya nchi) akakutana na tatizo hili. Alichofanya kaka yake ni kumlazimisha kwenda shambani kila siku, kwa kupitia ile sehemu aliyokuwa anaiogopa mpaka zile hisia zikafutika. Ikaja kugundulika kuwa lilikuwa ni tatizo la kisaikolojia na hakukuwa na jambo lolote.njoo paje sheikh wangu hilo tatizo dogo, twalimaliza kwa usiku tu
Acha zako mimi nakutania🤣🤣🤣Mmmh kaka naomba namba yako nataka tuongee kitu..
Mmmh Lakini kaka kuna mambo yameniibua anyway sawa ila kama una utaalamu wa hayo mambo sawaAcha zako mimi nakutania🤣🤣🤣
Embu huko yaani wewe kidogo tu ushawaza uchawi
Unajua mkuu mimi nilikuwa natania, ila bongo kupata pesa ni rahisi sana sababu wajinga ni wengi😂😂 yaani hata Leo ukiamua kwenda zako kisarawe huko miezi sita tu ukirud mjini anhaa donMiaka ya nyuma kuna jamaa yangu alikuwa na tatizo la aina hii, japo siyo la chakula. Yeye alikuwa amenunua shamba sehemu huku anaishi na wazazi wake. Shamba na makazi ya wazazi vilikuwa siyo mbali sana. Sasa ikatokea jamaa akasema kila anapoenda kuangalia shmba lake, kuna sehemu akifika, (kwenye njia panda) anaona kizunguzungu na kujisikia kama anataka kupoteza fahamu. Tatizo lilikuwa kubwa kiasi ambacho alikuwa ameacha kabisa kwenda kwenye lile shamba kwa imani kuwa kuna mtu alikuwa amemloga. Baadae kabisa kaka yake akaja kwa likizo nyumbani, (alikuwa anasomea udaktari nje ya nchi) akakutana na tatizo hili. Alichofanya kaka yake ni kumlazimisha kwenda shambani kila siku, kwa kupitia ile sehemu aliyokuwa anaiogopa mpaka zile hisia zikafutika. Ikaja kugundulika kuwa lilikuwa ni tatizo la kisaikolojia na hakukuwa na jambo lolote.
Zongo ni kitu ganiSio zongo hilo?
Uko sahihi mno. Ukitaka kupiga fedha Bongo jifanye una uwezo wa kutatua matatizo ya watu kwa njia ya mkato. Uwe Mtume, uwe Mganga wa jadi....Unajua mkuu mimi nilikuwa natania, ila bongo kupata pesa ni rahisi sana sababu wajinga ni wengi😂😂 yaani hata Leo ukiamua kwenda zako kisarawe huko miezi sita tu ukirud mjini anhaa don
Mkuu hapo hakuna shida yoyote labda useme ilianzaje anzaje yaani tu siku ya kwanza ulipomuona mtoto au ilikuwaje yaani? Kuna vitu sometimes huwa vinatokea ni mambo ya saikolojia tu.Mmmh Lakini kaka kuna mambo yameniibua anyway sawa ila kama una utaalamu wa hayo mambo sawa
Unakatwaa mazafakazMkuu kulingana na maelezo yako kweli una mimba haijalishi wewe dume. Ndo zake popo bawa akikutatuamarinda lazima utangaze hadharani ukikaidi anakutengenezea womb na uterus mgongoni na kukutia mimba. Jitahidi usiitoe mkuu mtoto ni baraka.
Hapa nilpo nina tatizo la uchawi ndio maana ulivyoongelea hivyo nikaibuka na jamboMkuu hapo hakuna shida yoyote labda useme ilianzaje anzaje yaani tu siku ya kwanza ulipomuona mtoto au ilikuwaje yaani? Kuna vitu sometimes huwa vinatokea ni mambo ya saikolojia tu.
Mm kuna kipind jiko la gesi lilikuwa nililwasha Linafanya puuh ikaenda kama mwezi kwahyo nikiwa naliwasha nakaa mbali kidogo halafu nashtuka. Akaja fund kunitengenezea lilikuwa halijafunga vzuri. Ile hali ya kushtuka ikawa inaendelea lakini jiko lipo vzuri kabisa. Halina shida baadae nikaanza kuzoea taratibu hali ikapotea
Tayari nimeshakuwin kisaikolojiaUnakatwaa mazafakaz
Shukrani jazakhaAllahu KhairanPolee sana
Jamii forums imeharibiwa na mafala na wendawazim kama weweMkuu kulingana na maelezo yako kweli una mimba haijalishi wewe dume. Ndo zake popo bawa akikutatuamarinda lazima utangaze hadharani ukikaidi anakutengenezea womb na uterus mgongoni na kukutia mimba. Jitahidi usiitoe mkuu mtoto ni baraka.
Sio umeniwin kisaikolojia unaznguaTayari nimeshakuwin kisaikolojia
Unamuwin nani wewe kwa akili hizo za kishenzi za kuwaza ushoga , umeona wap mwanaume ana mimba..btchassnikkah!Tayari nimeshakuwin kisaikolojia
Sema kweli hayo mambo yapo mkuu.Hapa nilpo nina tatizo la uchawi ndio maana ulivyoongelea hivyo nikaibuka na jambo