Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Mnaishi kwenye ndoto zenu, haya nani anawateka sasa.

Wewe unaweza amini Samia huyu anaweza hamuru polisi apige risasi raia mbele ya mkewe na mtoto wake kisa uenyekiti wa mtaa wa kijiji.

Mną safari ndefu ya kupambana na mafisadi.
SSH hawezi amuru hayo ila wanufaika wa mfumo ndio wanafanya hayo.

Pili unakuta watu wanaokulinda ndio wanafanya na wewe wanakupa mrejeshi huwezi au ni ngumu sana kusema waache maana Kiongozi ni kama mateka wa wanaokuzunguka na vile unataka madaraka unajikuta unakuwa docile tuu vinginevyo hao hao wanaweza fanya yao hata kwako.
 
Tecnicaly yeye ndio ameasisi haya. Sisem directly alinyonga mtu hapana. Before JK, mkapa, haya mambo yaliouwa ni very rare. Hata ikitokea ilikwua ni serious issue kwa serikali.

Alipokuja bwana mkubwa, ikapitishwa sheria iliyo waruhusu wale jamaa kukuamata, lakini sheria hiyo hiyo hakiunyosha watapeleka wapi watuhumiwa, maana hata polisi hawapeleki.
Such kind of activities zilianza kupewa nguvu, at a time zilikuwa zina repotiwa, then next phase no reports kabisa.

And thats how chama tawala, wanatumia hiyo loophole, jpm aliwaonyesha they dont have ku depend on plain politics, kuna other means za kubakia madarakani

No offence jpm alilita maendeleo, it was good. But kuna otherside he was not good
Magufuli alikuwa katili na kwa kiasi kikubwa ukatili wake CCM wa sasa wameuona ni kama dili linalowalipa kuendelea nalo na ndicho wanachofanya.
 
Matukio ya utekaji bado tishio nchini Tanzania kwa tukio la hivi karibuni, la kutekwa kwa Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ya chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT Wazalendo, Abdul Nondo ambapo kwa sasa akiwa amelazwa katika hospitali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa vibaya.

Nondo ameleza hali ilivyokuwa

Ilikuwa tarehe 30 novemba nilikuwa nimetokea Kigoma nikafika Dar es Salaam kwenye saa kumi alfajiri kwahiyo wakati na shughulikia usafiri ni kiwa tayari nimetoka kwenye geti la Magufuli Bus stendi, ndiyo wakatokea vijana kama sita wakanivamia wakaniambia tulia ambapo awali nilikuwa ninahisi ni vibaka.

Lakini nikaona jambo linakuwa siriazi zaidi, nikaona kuna gari limesongezwa Toyota hadtoku na milango ikiwa imefunguliwa ni nalazimishwa kungia kwenye gari. Kwahiyo mimi nilikuwa napiga kelele kupambana kuhakikisha kwamba siingii kwenye gari. Kwahiyo nikawa naomba msaada hata kwa watu wa pembeni pale nawaambia naombeni mnisaidie mimi naitwa Nondo njooni mnisaidie hakuna mtu aliyejitokeza, maana kulikuwa na bajaji pale kulikuwa na bodaboda lakini kulikuwa na watu walikuwa wanakwenye kupanda mabasi ili kusafiri kwahiyo walinizidi nguvu.

Hili tukio lilikuwa la ghafla sikuwa kabisa na fikra wala na wazo kwamba kuna mtu ananifuatilia. Watu walionikamata hawakujitambulisha wao ni wakina nani hata walipofanikiwa kuniingiza kwenye gari nilichofanikiwa kukisikia ni kwamba wakilaumia kwamba pingu zipo wapi? Baada ya kukosa pingu wakanifunga kamba kwa nguvu sana na mikono yangu walipeleka kwa nyuma ya mgongo na usoni wakanifunga kitambaa kwahiyo sikufanikiwa kuwatambua. Gari likaondoka kwa mwendo hadi likaingia sehemu likapaki wakanishusha wakanifungua kamba na wakanifunga pingu sasa na vilele wakiendelea kunifunga kitambaa machoni .

Wakanisogeza pembeni kidogo kama kuna kibalaza fulani hivi wakaanza kunipiga sana kwa kutumia magongo kwenye unyayo kwenye mabega, kwenye mapaja, kwenye magoti . Lakini pia baadae tena wakanifunga wakanininginza juu walinipitisha chuma mguu kwa mguu halafu pingu wakaiweka kwa chini huku wakiendelea kunipiga na neno kubwa waliokuwa wananiambia kwamba wewe si cha mdomo unaongea sana sasa hivi tutakuuwa mshezi wewe , yani walikuwa wananitukana matusi makubwa.

Baadae wakawasha gari na lilitemba umbali mrefu kidogo wakaenda sehemu wakalibadilisha gari na safari ikanza tena limetembea gari kwa umbali mrefu sana likafika sehemu likasimama nikatolewa jamaa akaniambia toka! Kutambea umbali kidogo kutoka usawa wa gari kwa mguu wakati natembea nikawa nahisi kama nakanya kokoto hivi na baada ya kutembea umbali kidogo hivi nikahisi mazingira kama ya bahari na mawimbi. Nikajuwa hawa watu wanaenda kunitupa baharini kwa sababu wamnifunga kamba na wamenifunga na macho wanaenda kunitupa baharini kwenye kina na kwahiyo nitakosa msaada na nitakufa.

Kwahiyo alivyonipeleka mpaka hapo akaniambia nikae chini nami nikaa akananiambia nisegeuke ukegeuka nakugonga risasi na mimi sikugeuka akachukua kama kisu akikata kamba aliokuwa amenifunga kwenye mikono na akanifungua kitambaa alichokuwa amenifunga kwenye macho kwahiyo akaniambia nikitokea hapa niende nyumbani moja kwa moja usipite sehemu yoyote na wala tusisike unahadhitia popote na wala tusisike sauti yako kwenye chombo cha Habari chochote kama tumeweza kukukamata na sasa hivi umekuwa mzima tunaweza hapahapa kukuuwa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Nilikuwa naweza kutembea mwenyewe lakini kwa kazi sana nikatembea hadi nikatokea barabani na ilikuwa ni ufukwe wa coco nikaomba msaada kwa baadhi ya watu wakasindwa kunisaidia lakini nikakutana na bodoboda na yeye akaenda kuwaita na wenzie wakaja wakanihoji pale kutengeneza uaminifu. Bodoboda mmoja akakubali kunibeba akaniuliza nakupeleka home nikamwambia hapana nikamwambia anipeleke kwenye ofisi yetu ya chama pale magomeni kwaajili ya msaaada zaidi kwa sababu sikuwa na simu maana simu walichukua kwahiyo nikapokelewa na mlizi kwahiyo mlinzi akafanya mawasiliano na viongozi wa chama.

Badp mimi naona maigizo tu wana balance hawaa ili waseme ACT nao wanatekwa......wale CDM wanawaua huyu nusu saa tu wamempata.....
 
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja

Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali

Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo cha kikatili
Lissu aliikosoa serikali katika Hali ya umaskini
 
Badp mimi naona maigizo tu wana balance hawaa ili waseme ACT nao wanatekwa......wale CDM wanawaua huyu nusu saa tu wamempata.....
Nani anayeigiza kiasi Cha kuichafua serikali na serikali kukaa kimya licha ya kutajwa na watu wake Moja kwamoja, ilihali viongozi baadhi yao wa chama wametamka wazi wazi kujihusisha na matendo ya maporini na chinja chinja! Tusaidie hapo
 
Mimi nadhani auawe tu kwani hana tija kutekwa kote huko hajaleta mabadiliko sasa wa nini
 
Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
 
Matukio ya utekaji bado tishio nchini Tanzania kwa tukio la hivi karibuni, la kutekwa kwa Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ya chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT Wazalendo, Abdul Nondo ambapo kwa sasa akiwa amelazwa katika hospitali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa vibaya.

Nondo ameleza hali ilivyokuwa

Ilikuwa tarehe 30 novemba nilikuwa nimetokea Kigoma nikafika Dar es Salaam kwenye saa kumi alfajiri kwahiyo wakati na shughulikia usafiri ni kiwa tayari nimetoka kwenye geti la Magufuli Bus stendi, ndiyo wakatokea vijana kama sita wakanivamia wakaniambia tulia ambapo awali nilikuwa ninahisi ni vibaka.

Lakini nikaona jambo linakuwa siriazi zaidi, nikaona kuna gari limesongezwa Toyota hadtoku na milango ikiwa imefunguliwa ni nalazimishwa kungia kwenye gari. Kwahiyo mimi nilikuwa napiga kelele kupambana kuhakikisha kwamba siingii kwenye gari. Kwahiyo nikawa naomba msaada hata kwa watu wa pembeni pale nawaambia naombeni mnisaidie mimi naitwa Nondo njooni mnisaidie hakuna mtu aliyejitokeza, maana kulikuwa na bajaji pale kulikuwa na bodaboda lakini kulikuwa na watu walikuwa wanakwenye kupanda mabasi ili kusafiri kwahiyo walinizidi nguvu.

Hili tukio lilikuwa la ghafla sikuwa kabisa na fikra wala na wazo kwamba kuna mtu ananifuatilia. Watu walionikamata hawakujitambulisha wao ni wakina nani hata walipofanikiwa kuniingiza kwenye gari nilichofanikiwa kukisikia ni kwamba wakilaumia kwamba pingu zipo wapi? Baada ya kukosa pingu wakanifunga kamba kwa nguvu sana na mikono yangu walipeleka kwa nyuma ya mgongo na usoni wakanifunga kitambaa kwahiyo sikufanikiwa kuwatambua. Gari likaondoka kwa mwendo hadi likaingia sehemu likapaki wakanishusha wakanifungua kamba na wakanifunga pingu sasa na vilele wakiendelea kunifunga kitambaa machoni .

Wakanisogeza pembeni kidogo kama kuna kibalaza fulani hivi wakaanza kunipiga sana kwa kutumia magongo kwenye unyayo kwenye mabega, kwenye mapaja, kwenye magoti . Lakini pia baadae tena wakanifunga wakanininginza juu walinipitisha chuma mguu kwa mguu halafu pingu wakaiweka kwa chini huku wakiendelea kunipiga na neno kubwa waliokuwa wananiambia kwamba wewe si cha mdomo unaongea sana sasa hivi tutakuuwa mshezi wewe , yani walikuwa wananitukana matusi makubwa.

Baadae wakawasha gari na lilitemba umbali mrefu kidogo wakaenda sehemu wakalibadilisha gari na safari ikanza tena limetembea gari kwa umbali mrefu sana likafika sehemu likasimama nikatolewa jamaa akaniambia toka! Kutambea umbali kidogo kutoka usawa wa gari kwa mguu wakati natembea nikawa nahisi kama nakanya kokoto hivi na baada ya kutembea umbali kidogo hivi nikahisi mazingira kama ya bahari na mawimbi. Nikajuwa hawa watu wanaenda kunitupa baharini kwa sababu wamnifunga kamba na wamenifunga na macho wanaenda kunitupa baharini kwenye kina na kwahiyo nitakosa msaada na nitakufa.

Kwahiyo alivyonipeleka mpaka hapo akaniambia nikae chini nami nikaa akananiambia nisegeuke ukegeuka nakugonga risasi na mimi sikugeuka akachukua kama kisu akikata kamba aliokuwa amenifunga kwenye mikono na akanifungua kitambaa alichokuwa amenifunga kwenye macho kwahiyo akaniambia nikitokea hapa niende nyumbani moja kwa moja usipite sehemu yoyote na wala tusisike unahadhitia popote na wala tusisike sauti yako kwenye chombo cha Habari chochote kama tumeweza kukukamata na sasa hivi umekuwa mzima tunaweza hapahapa kukuuwa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Nilikuwa naweza kutembea mwenyewe lakini kwa kazi sana nikatembea hadi nikatokea barabani na ilikuwa ni ufukwe wa coco nikaomba msaada kwa baadhi ya watu wakasindwa kunisaidia lakini nikakutana na bodoboda na yeye akaenda kuwaita na wenzie wakaja wakanihoji pale kutengeneza uaminifu. Bodoboda mmoja akakubali kunibeba akaniuliza nakupeleka home nikamwambia hapana nikamwambia anipeleke kwenye ofisi yetu ya chama pale magomeni kwaajili ya msaaada zaidi kwa sababu sikuwa na simu maana simu walichukua kwahiyo nikapokelewa na mlizi kwahiyo mlinzi akafanya mawasiliano na viongozi wa chama.

Wanaharakati lazima uwe na mafunzo, sio unakurupuka tu, unasafiri kama kiroba, mazoezi hauna, unachoweza ni kutukana jukwaani, ukiminywa kidogo unalialia, jifunze kwa wakina Che Guavara, Fidel Castro,
 
Matukio ya utekaji bado tishio nchini Tanzania kwa tukio la hivi karibuni, la kutekwa kwa Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ya chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT Wazalendo, Abdul Nondo ambapo kwa sasa akiwa amelazwa katika hospitali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa vibaya.

Asante kwa mchango huu
P
 
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja

Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali

Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo ch

Lissu aliikosoa serikali katika Hali ya umaskini
Labda Watekaji watafika 2050
 
Labda Watekaji watafika 2050
Hata 2050 hawtaaisha na nakuhakikishia umma usipoamka mambo yatazidi kuwa mabaya huko mbeleni sababu:
CCM imebadilika kutoka kuwa chama Cha siasa na kujiimarisha kuwa chama Dola chini ya mwamvuli wa siasa. Limejikita mizizi kwenye vyombo vya Dola ambayo msingi wake mkuu ni kutumia mabavu badala ya diplomasia mashauriano na majadiliano kwenye framework ya tolerance!
Chunguza kwa makini utagundua Hilo kwamba watumishi wa vyombo vya Dola ni wanyenyekevu kwa makada wa Ccm kwa dhana ya nilinde nikulinde!
 
SSH hawezi amuru ila wanufaika wa siasa za hivyo ndio wanafanya hayo.

Pili unakuta watu wanaokulinda ndio wanafanya na wewe wanakupa mrejeshi huwezi au ni ngumu sana kusema waache maana Kiongozi ni kama mateka wa wanaokuzunguka na vile unataka madaraka unajikuta unakuwa docile tuu vinginevyo hao hao wanaweza fanya yao hata kwako.
Ndio inavyokuwa unadhani miaka ya mwisho ya Mugabe kabla ya jeshi kumtoa nchi alikuwa akiendesha yeye.

Mugabe alikuwa pambo tu ya wanufaika wa mfumo ambao walikuwa wakipigana abaki raisi kwa manufaa yao.

Ndio kinachoendelea Tanzania sasa hivi, Samia mwenyewe hajitambui kwanini agombee 2025.
 
Mnaishi kwenye ndoto zenu, haya nani anawateka sasa.

Wewe unaweza amini Samia huyu anaweza hamuru polisi apige risasi raia mbele ya mkewe na mtoto wake kisa uenyekiti wa mtaa wa kijiji.

Mną safari ndefu ya kupambana na mafisadi.
samia hawezi kuamuru hayo ya teka yule, au muue yule kamwe hawezi amuru hayo..labda tuseme ataagiza tu kwa wasaidizi kuhakikisha ccm inashinda..sasa kinachotokea wale waliopewa jukumu la kuhakikisha chama kinashinda kwa kupata kura nyingi nao wanajiongeza kivyao kwa njia wajuazo wenyewe na mbaya zaidi hawako smart kwenye mipango ila miovu tu mwisho wanaishia kuharibu..mkuu nae anakaa kimya bila kuchukua hatua hata kukemea tu hamna hapo atakosaje kunyooshewa kidole
 
samia hawezi kuamuru hayo ya teka yule, au muue yule kamwe hawezi amuru hayo..labda tuseme ataagiza tu kwa wasaidizi kuhakikisha ccm inashinda..sasa kinachotokea wale waliopewa jukumu la kuhakikisha chama kinashinda kwa kupata kura nyingi nao wanajiongeza kivyao kwa njia wajuazo wenyewe na mbaya zaidi hawako smart kwenye mipango ila miovu tu mwisho wanaishia kuharibu..mkuu nae anakaa kimya bila kuchukua hatua hata kukemea tu hamna hapo atakosaje kunyooshewa kidole
Samia ni weak president kama anaitakia nchi mema atangaze mapema hatogombea.

Hii itasaidia wahuni na wazalendo kupanga kambi zao.

Vinginevyo ni mtu mżembu wa fikra tu anaweza amini Samia anaweza amuru kuumiza watu kwa sababu ya siasa.

Yaani aache kuwapachikia kesi wanaomsumbua huko CCM, akauwe raia wanyonge. Hizo ni akili za mafisadi tu ambao washazoea kutoa kafara maisha ya watu, lakini Samia hawezi amuru watu wafe kisa siasa za serikali wa mtaa.
 
Back
Top Bottom