Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Mbeya.

Chadema ina walinzi waliopitia mafunzo ya ukomando na walikamatwa viongozi na mmoja hajatolewa hadi leo na wanadai muda anachukuliwa alikua anapigwa.

Na makomando wapo hapo
Kwa cheo chake ndani ya chama anastahili awe na mtu wa kumsindikiza popote anapokwenda..
 
Samia ni weak president kama anaitakia nchi mema atangaze mapema hatogombea.

Hii itasaidia wahuni na wazalendo kupanga kambi zao.

Vinginevyo ni mtu mżembu wa fikra tu anaweza amini Samia anaweza amuru kuumiza watu kwa sababu ya siasa.

Yaani aache kuwapachikia kesi wanaomsumbua huko CCM, akauwe raia wanyonge. Hizo ni akili za mafisadi tu ambao washazoea kutoa kafara maisha ya watu, lakini Samia hawezi amuru watu wafe kisa siasa za serikali wa mtaa.
wewe unaona imekaa sawa kukaa kimya watu wanatekwa wengine ni vijana kabisa km kina soka na yule chaula..Rais ni mzazi, ni mlezi wa watu wote..jambo lolote la kuleta maumivu kwa watu lazima aseme kuleta faraja kwa wahusika, asipofanya hivyo..anapoteza nafasi ya yeye kuwa mzazi na mlezi wa watu anaowaongoza!
 
Mjitahidi simu zenu wanasiasa muwe mnafuta meseji la sivyo mraponzana wengi.
 
wewe unaona imekaa sawa kukaa kimya watu wanatekwa wengine ni vijana kabisa km kina soka na yule chaula..Rais ni mzazi, ni mlezi wa watu wote..jambo lolote la kuleta maumivu kwa watu lazima aseme kuleta faraja kwa wahusika, asipofanya hivyo..anapoteza nafasi ya yeye kuwa mzazi na mlezi wa watu anaowaongoza!
Hana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.

Huyo mama tukubaliane hana uwezo wala akili ya kuendesha nchi.

Mengine ni michezo ya power struggles tu za watu wajinga. Yaani wewe na akili zako timamu Mangę akwambie huyo mama atawaua sana (hiyo si ni psychological) preparation ya hela za mafisadi.

Akili zenyewe hao mafisadi wanazo basi kwa nchi ya maafisa usalama imara.

Kinachokera hapa ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia kwa siasa za kurembuliana macho ndani ya CCM.

Siasa za wazungu wanakuvaa kwa katiba ya chama, hakuna kuficha nia; mbaya zaidi kwa kuchukua uhai wa raia wanyonge; why?

Mama hana uwezo kama kumvaa unda kambi yako mvae, mtu kabadili maafisa usalama wannę ndani ya miaka mitatu ina maana huko juu hawamkubali inabidi umvae kwa kutoa kafara maisha ya wetu kweli.

Samia ni weak na hizo akili za kuendesha nchi hana, lakini kuuwa raia hapana hiyo ni shughuli ya mafisadi (na yenyewe yasio na akili) yanayoitaka nafasi yake kwa kumchafua kwanza.

Mi ndio maana napenda siasa za uingereza, jamaa akina bwana huyu kiongozi wetu mizenguo anapanga kambi yake wanakuvaa tu hakuna kuoneana aibu,

Sio sisi uchawi mtupu wa kutekana kuuwa raia wasio na hatia ilimradi kuchafuana.
 
Mbeya.

Chadema ina walinzi waliopitia mafunzo ya ukomando na walikamatwa viongozi na mmoja hajatolewa hadi leo na wanadai muda anachukuliwa alikua anapigwa.

Na makomando wapo hapo
Tofautisha kutekwa na kukamatwa naamini wangekuja kwa dhumuni la kuteka story ingekua ni tofauti

Ulitaka hao Makomando wapambane na jeshi la polisi ambao wapo kwenye oparesheni?
 
If you live by the sword, you die by the sword.

Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.

Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.

Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.

Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Ungejikita kwenye Kukemea utekaji bila kujali nani au mwenye mlengo gani anatekwa, Maana kwenye kutekwa kwa sasa hakuchagui anatekwa yoyote na kuuawa

Hivi vitendo vikiendelea itafikia hatua una ugomvi na mtu mtaani wa kibiashara au wa mademu anakukodishia hao watekaji wanakumaliza
 
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja

Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali

Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo cha kikatili
Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Mitandao ya simu inalengesha victims, Tiss/ Polisi walijuaje location ya Nondo.?
 
Mnaishi kwenye ndoto zenu, haya nani anawateka sasa.

Wewe unaweza amini Samia huyu anaweza hamuru polisi apige risasi raia mbele ya mkewe na mtoto wake kisa uenyekiti wa mtaa wa kijiji.

Mną safari ndefu ya kupambana na mafisadi.
Kwamba kuruhusu mpaka amwambie askari kwa mdomo kwamba piga huyo risasi

Ukimya wake kama mkuu wa nchi kwa haya matukio yanaoendelea watu watatafsiri vipi? Na alitoka mbele ya Umma akasema ni vi drama drama, kwa nini asingewaamuru kua wakomeshe hayo mauaji na utekaji?

Ripoti ya Uchunguzi wa mzee Kibao vipi, na Akina soka uchinguzi unasemaje?
 
Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Umeongea kitu muhimu sana, yaani unapanda gari la kigoma had dsm ,bila hata kubadili route , na unajijua ni mpinzani wa serikali ,
 
If you live by the sword, you die by the sword.

Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.

Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.

Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.

Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Yule deo wale polisi walitumwa kwenda kumtemesha hela

Ova
 
kama hajafanyiwa oparesheni ndogo kwenye jicho basi ashukuriwe mungu
 
Hana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.

Huyo mama tukubaliane hana uwezo wala akili ya kuendesha nchi.

Mengine ni michezo ya power struggles tu za watu wajinga. Yaani wewe na akili zako timamu Mangę akwambie huyo mama atawaua sana (hiyo si ni psychological) preparation ya hela za mafisadi.

Akili zenyewe hao mafisadi wanazo basi kwa nchi ya maafisa usalama imara.

Kinachokera hapa ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia kwa siasa za kurembuliana macho ndani ya CCM.

Siasa za wazungu wanakuvaa kwa katiba ya chama, hakuna kuficha nia; mbaya zaidi kwa kuchukua uhai wa raia wanyonge; why?

Mama hana uwezo kama kumvaa unda kambi yako mvae, mtu kabadili maafisa usalama wannę ndani ya miaka mitatu ina maana huko juu hawamkubali inabidi umvae kwa kutoa kafara maisha ya wetu kweli.

Samia ni weak na hizo akili za kuendesha nchi hana, lakini kuuwa raia hapana hiyo ni shughuli ya mafisadi (na yenyewe yasio na akili) yanayoitaka nafasi yake kwa kumchafua kwanza.

Mi ndio maana napenda siasa za uingereza, jamaa akina bwana huyu kiongozi wetu mizenguo anapanga kambi yake wanakuvaa tu hakuna kuoneana aibu,

Sio sisi uchawi mtupu wa kutekana kuuwa raia wasio na hatia ilimradi kuchafuana.
Unasema wanamchafua mbona hakemei ? Yaani wewe uchafuliwe kwa matukio makubwa hivo ukae kimya ? Inaingia akilini
 
Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Wakikukamata Nayo hayo madude jua kabisa umeisha wanakupa kesi ambayo itakuweka gerezani mpaka unakufa kwa kisingizio cha uchunguzi haujakamilika au wanakupa kesi ya Mauaji
 
Kwamba kuruhusu mpaka amwambie askari kwa mdomo kwamba piga huyo risasi

Ukimya wake kama mkuu wa nchi kwa haya matukio yanaoendelea watu watatafsiri vipi? Na alitoka mbele ya Umma akasema ni vi drama drama, kwa nini asingewaamuru kua wakomeshe hayo mauaji na utekaji?

Ripoti ya Uchunguzi wa mzee Kibao vipi, na Akina soka uchinguzi unasemaje?
Raisi Samia ni kama mateka kwa sasa, kati ya vita vya watu wengine.

Otherwise mtu mwenye kuendesha nchi huu ungekuwa ugomvi wake binafsi kwa kwa kuengua watu wanaomuharibia kazi.

Akili hizo hana yeye kazungukwa na watu anao amini watamlindia uraisi wake, matatizo mengine wamalizane nayo
wahusika.

Sasa kati ya watu aliowaamini kuna mapandekizi yanayompa ushauri mmbovu, lakini yeye mwenyewe akili hana.

Huo ndio ukweli
 
Back
Top Bottom