Kwa cheo chake ndani ya chama anastahili awe na mtu wa kumsindikiza popote anapokwenda..Mbeya.
Chadema ina walinzi waliopitia mafunzo ya ukomando na walikamatwa viongozi na mmoja hajatolewa hadi leo na wanadai muda anachukuliwa alikua anapigwa.
Na makomando wapo hapo