Hana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.
Huyo mama tukubaliane hana uwezo wala akili ya kuendesha nchi.
Mengine ni michezo ya power struggles tu za watu wajinga. Yaani wewe na akili zako timamu Mangę akwambie huyo mama atawaua sana (hiyo si ni psychological) preparation ya hela za mafisadi.
Akili zenyewe hao mafisadi wanazo basi kwa nchi ya maafisa usalama imara.
Kinachokera hapa ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia kwa siasa za kurembuliana macho ndani ya CCM.
Siasa za wazungu wanakuvaa kwa katiba ya chama, hakuna kuficha nia; mbaya zaidi kwa kuchukua uhai wa raia wanyonge; why?
Mama hana uwezo kama kumvaa unda kambi yako mvae, mtu kabadili maafisa usalama wannę ndani ya miaka mitatu ina maana huko juu hawamkubali inabidi umvae kwa kutoa kafara maisha ya wetu kweli.
Samia ni weak na hizo akili za kuendesha nchi hana, lakini kuuwa raia hapana hiyo ni shughuli ya mafisadi (na yenyewe yasio na akili) yanayoitaka nafasi yake kwa kumchafua kwanza.
Mi ndio maana napenda siasa za uingereza, jamaa akina bwana huyu kiongozi wetu mizenguo anapanga kambi yake wanakuvaa tu hakuna kuoneana aibu,
Sio sisi uchawi mtupu wa kutekana kuuwa raia wasio na hatia ilimradi kuchafuana.