Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Mo alitekwaje?
Yaani wewe hoja yako sio kutekwa ,hoja yako kutekwa hadharani?
Huko sasa ndio ‘kujitekenya na kucheka mwenyewe’ inaandika vitu ambavyo majibu yako unayo.

Wakati unajua swala ni kutekwa hadharani na kupatikana mauti au umeumizwa.

Hata huyo Mdude zama za Magufuli alionywa sana kwenye page yake ya na JF aache matusi, dogo alikuwa aelewi somo mpaka yalipo mkuta ya kumkuta.
 
If you live by the sword, you die by the sword.

Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.

Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.

Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.

Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Hata wewe pia ni useless
 
Raisi Samia ni kama mateka kwa sasa, kati ya vita vya watu wengine.

Otherwise mtu mwenye kuendesha nchi huu ungekuwa ugomvi wake binafsi kwa kwa kuengua watu wanaomuharibia kazi.

Akili hizo hana yeye kazungukwa na watu anao amini watamlindia uraisi wake, matatizo mengine wamalizane nayo
wahusika.

Sasa kati ya watu aliowaamini kuna mapandekizi yanayompa ushauri mmbovu, lakini yeye mwenyewe akili hana.

Huo ndio ukweli
duuh! mkuu kwa nondo zako hizi utakuwa unafahamu mengi yaliyojificha huko juu ongeza nyama zaidi fungua code....hata mm napata mashaka sana kwa ukubwa wa rais na madaraka yake ya kutisha..ni nani hao wanaojaribu kumzunguka bosi mkubwa mbona ni ishu ndogo sana kwake kuwashughulikia wanaomuharibia hata kwa magu yalikuwa haya haya ya watu kukutwa kwenye viroba hadi ikamjengea visasi na kuchukiwa na watz wengi....ama kweli siasa mchezo mchafu
 
Wakikukamata Nayo hayo madude jua kabisa umeisha wanakupa kesi ambayo itakuweka gerezani mpaka unakufa kwa kisingizio cha uchunguzi haujakamilika au wanakupa kesi ya Mauaji
Tuwe wapole, tuishi tu, siku ikifika TUISHIE
 
Kikubwa amepatikana anapumua,ila inatisha sana..Kila mtu ajilinde Kadri awezavyo.Uko nje pamoto kweli.
 
Hana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.

Huyo mama tukubaliane hana uwezo wala akili ya kuendesha nchi.

Mengine ni michezo ya power struggles tu za watu wajinga. Yaani wewe na akili zako timamu Mangę akwambie huyo mama atawaua sana (hiyo si ni psychological) preparation ya hela za mafisadi.

Akili zenyewe hao mafisadi wanazo basi kwa nchi ya maafisa usalama imara.

Kinachokera hapa ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia kwa siasa za kurembuliana macho ndani ya CCM.

Siasa za wazungu wanakuvaa kwa katiba ya chama, hakuna kuficha nia; mbaya zaidi kwa kuchukua uhai wa raia wanyonge; why?

Mama hana uwezo kama kumvaa unda kambi yako mvae, mtu kabadili maafisa usalama wannę ndani ya miaka mitatu ina maana huko juu hawamkubali inabidi umvae kwa kutoa kafara maisha ya wetu kweli.

Samia ni weak na hizo akili za kuendesha nchi hana, lakini kuuwa raia hapana hiyo ni shughuli ya mafisadi (na yenyewe yasio na akili) yanayoitaka nafasi yake kwa kumchafua kwanza.

Mi ndio maana napenda siasa za uingereza, jamaa akina bwana huyu kiongozi wetu mizenguo anapanga kambi yake wanakuvaa tu hakuna kuoneana aibu,

Sio sisi uchawi mtupu wa kutekana kuuwa raia wasio na hatia ilimradi kuchafuana.
Ni kweli..lkn sidhani mafisadi unaosema wana nguvu hiyo ya kuelekeza utekaji..kwa kutizama tu kuna tatizo kubwa ndani ya tiss hakuna mahali popote taasisi km tiss inajiamulia wanavyotaka na kuingilia kila eneo vile wanataka wao.. tiss ya hapa ni dhoofu sana kimaono, hawawezi hata kujireview waone relevancy ya uwepo wao kwenye usimamizi wa nchi una mahitaji gani kwao..they have no idea! wanachofahamu sasa ni ccm kubaki kutawala..mfano nini sababu ya kuleta sheria itoe amnesty kwao..kwa kitu gani hasa ili wafanikishe nini kwa nchi?
Mambo za kutaja mafisadi ni nadharia tu..root cause ya haya yote ni tiss mbovu! na imetokeaje..ni kwa sababu wastaafu isipokuwa Mkapa wanataka kuendelea kutawala kwa kupitia wao tiss! angalia watu wanaowaleta kwenye uongozi..weak people! baraza lote la mawaziri linaundwa na weak people..individuals who cannot ask why this! why now..na wame-abuse sana duty ya kufanyia vetting wateuliwa!
 
Back
Top Bottom