Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Nondo azungumzia kutekwa kwake. Nina hofu sana na maisha yangu

Raisi Samia ni kama mateka kwa sasa, kati ya vita vya watu wengine.

Otherwise mtu mwenye kuendesha nchi huu ungekuwa ugomvi wake binafsi kwa kwa kuengua watu wanaomuharibia kazi.

Akili hizo hana yeye kazungukwa na watu anao amini watamlindia uraisi wake, matatizo mengine wamalizane nayo
wahusika.

Sasa kati ya watu aliowaamini kuna mapandekizi yanayompa ushauri mmbovu, lakini yeye mwenyewe akili hana.

Huo ndio ukweli
Tusidanganyane bana ,Rais kwenye hii nchi ana mamlaka kuliko hata katiba ,anaweza kusigina hata katiba ,

ile Sheria ya usalama wa Taifa kaipitisha yeye,

Polisi na vyombo vya usalama hawawezi kufanya kitu au kukurushia risasi bila order
 
Tusidanganyane bana ,Rais kwenye hii nchi ana mamlaka kuliko hata katiba ,anaweza kusigina hata katiba ,

ile Sheria ya usalama wa Taifa kaipitisha yeye,

Polisi na vyombo vya usalama hawawezi kufanya kitu au kukurushia risasi bila order
Soma posts zangu kwa makini
 
Matukio ya utekaji bado tishio nchini Tanzania kwa tukio la hivi karibuni, la kutekwa kwa Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ya chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT Wazalendo, Abdul Nondo ambapo kwa sasa akiwa amelazwa katika hospitali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa na kupatikana akiwa amejeruhiwa vibaya.

Nondo ameleza hali ilivyokuwa

Ilikuwa tarehe 30 novemba nilikuwa nimetokea Kigoma nikafika Dar es Salaam kwenye saa kumi alfajiri kwahiyo wakati na shughulikia usafiri ni kiwa tayari nimetoka kwenye geti la Magufuli Bus stendi, ndiyo wakatokea vijana kama sita wakanivamia wakaniambia tulia ambapo awali nilikuwa ninahisi ni vibaka.

Lakini nikaona jambo linakuwa siriazi zaidi, nikaona kuna gari limesongezwa Toyota hadtoku na milango ikiwa imefunguliwa ni nalazimishwa kungia kwenye gari. Kwahiyo mimi nilikuwa napiga kelele kupambana kuhakikisha kwamba siingii kwenye gari. Kwahiyo nikawa naomba msaada hata kwa watu wa pembeni pale nawaambia naombeni mnisaidie mimi naitwa Nondo njooni mnisaidie hakuna mtu aliyejitokeza, maana kulikuwa na bajaji pale kulikuwa na bodaboda lakini kulikuwa na watu walikuwa wanakwenye kupanda mabasi ili kusafiri kwahiyo walinizidi nguvu.

Hili tukio lilikuwa la ghafla sikuwa kabisa na fikra wala na wazo kwamba kuna mtu ananifuatilia. Watu walionikamata hawakujitambulisha wao ni wakina nani hata walipofanikiwa kuniingiza kwenye gari nilichofanikiwa kukisikia ni kwamba wakilaumia kwamba pingu zipo wapi? Baada ya kukosa pingu wakanifunga kamba kwa nguvu sana na mikono yangu walipeleka kwa nyuma ya mgongo na usoni wakanifunga kitambaa kwahiyo sikufanikiwa kuwatambua. Gari likaondoka kwa mwendo hadi likaingia sehemu likapaki wakanishusha wakanifungua kamba na wakanifunga pingu sasa na vilele wakiendelea kunifunga kitambaa machoni .

Wakanisogeza pembeni kidogo kama kuna kibalaza fulani hivi wakaanza kunipiga sana kwa kutumia magongo kwenye unyayo kwenye mabega, kwenye mapaja, kwenye magoti . Lakini pia baadae tena wakanifunga wakanininginza juu walinipitisha chuma mguu kwa mguu halafu pingu wakaiweka kwa chini huku wakiendelea kunipiga na neno kubwa waliokuwa wananiambia kwamba wewe si cha mdomo unaongea sana sasa hivi tutakuuwa mshezi wewe , yani walikuwa wananitukana matusi makubwa.

Baadae wakawasha gari na lilitemba umbali mrefu kidogo wakaenda sehemu wakalibadilisha gari na safari ikanza tena limetembea gari kwa umbali mrefu sana likafika sehemu likasimama nikatolewa jamaa akaniambia toka! Kutambea umbali kidogo kutoka usawa wa gari kwa mguu wakati natembea nikawa nahisi kama nakanya kokoto hivi na baada ya kutembea umbali kidogo hivi nikahisi mazingira kama ya bahari na mawimbi. Nikajuwa hawa watu wanaenda kunitupa baharini kwa sababu wamnifunga kamba na wamenifunga na macho wanaenda kunitupa baharini kwenye kina na kwahiyo nitakosa msaada na nitakufa.

Kwahiyo alivyonipeleka mpaka hapo akaniambia nikae chini nami nikaa akananiambia nisegeuke ukegeuka nakugonga risasi na mimi sikugeuka akachukua kama kisu akikata kamba aliokuwa amenifunga kwenye mikono na akanifungua kitambaa alichokuwa amenifunga kwenye macho kwahiyo akaniambia nikitokea hapa niende nyumbani moja kwa moja usipite sehemu yoyote na wala tusisike unahadhitia popote na wala tusisike sauti yako kwenye chombo cha Habari chochote kama tumeweza kukukamata na sasa hivi umekuwa mzima tunaweza hapahapa kukuuwa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Nilikuwa naweza kutembea mwenyewe lakini kwa kazi sana nikatembea hadi nikatokea barabani na ilikuwa ni ufukwe wa coco nikaomba msaada kwa baadhi ya watu wakasindwa kunisaidia lakini nikakutana na bodoboda na yeye akaenda kuwaita na wenzie wakaja wakanihoji pale kutengeneza uaminifu. Bodoboda mmoja akakubali kunibeba akaniuliza nakupeleka home nikamwambia hapana nikamwambia anipeleke kwenye ofisi yetu ya chama pale magomeni kwaajili ya msaaada zaidi kwa sababu sikuwa na simu maana simu walichukua kwahiyo nikapokelewa na mlizi kwahiyo mlinzi akafanya mawasiliano na viongozi wa chama.

CC Pascal Mayalla na Kadhi Mkuu 1
 
Unaweza kuwa sahihi kabisa.
Pia Zitto ana access ya Rais ,rejea issue ya Sativa , So Zitto nilijua atapambana sana kijana wake arudi,

Mtu akitekwa ,pale mwanzo kwenye taarifa ndio Huwa pa muhimu sana ili arudi,pakiwa hakuna taarifa ya kueleweka kurudi ni asilimia ndogo sana .

Tukio la nondo, kwanza namba ya gari ilivuja , pale Pana CCTV camera, Gari imekutwa Gogoni,

Mwenye ile namba ya IST ,ile gari yake nimeona Gerrard hando anasema ni imepakiwa pale polisi, pingu na simu ya muhusika vilidondoka pale Bus stand

So kwa mazingira hayo picha ilishaharibika , solution ni kumrudisha tu
 
Pia Zitto ana access ya Rais ,rejea issue ya Sativa , So Zitto nilijua atapambana sana kijana wake arudi,

Mtu akitekwa ,pale mwanzo kwenye taarifa ndio Huwa pa muhimu sana ili arudi,pakiwa hakuna taarifa ya kueleweka kurudi ni asilimia ndogo sana .

Tukio la nondo, kwanza namba ya gari ilivuja , pale Pana CCTV camera, Gari imekutwa Gogoni,

Mwenye ile namba ya IST ,ile gari yake nimeona Gerrard hando anasema ni imepakiwa pale polisi, pingu na simu ya muhusika vilidondoka pale Bus stand

So kwa mazingira hayo picha ilishaharibika , solution ni kumrudisha tu
Na utashangaa hakuna anaekamatwa.
 
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja

Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali

Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo cha kikatili
Kwamba akiwa na gari binafsi ndio hawezi kutekwa ama kufa mapema?
 
If you live by the sword, you die by the sword.

Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.

Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.

Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.

Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Jiwe na mrithi wake wote wale wale wote wanaenda 🔥 kuteseka kwa dhambi za mauaji na utekaji
 
Hawa wachunguzwe wakijulikana tu wanachomwa moto
 
Pia Zitto ana access ya Rais ,rejea issue ya Sativa , So Zitto nilijua atapambana sana kijana wake arudi,

Mtu akitekwa ,pale mwanzo kwenye taarifa ndio Huwa pa muhimu sana ili arudi,pakiwa hakuna taarifa ya kueleweka kurudi ni asilimia ndogo sana .

Tukio la nondo, kwanza namba ya gari ilivuja , pale Pana CCTV camera, Gari imekutwa Gogoni,

Mwenye ile namba ya IST ,ile gari yake nimeona Gerrard hando anasema ni imepakiwa pale polisi, pingu na simu ya muhusika vilidondoka pale Bus stand

So kwa mazingira hayo picha ilishaharibika , solution ni kumrudisha tu
Ulishwahi kuona mambo ya utekaji kama huu kabla ya raisi Samia.

Hizi ni tabia ambazo hao-hao hakina Zitto walizi promote.

Ni hivi watu ambao washazoea kutoa kafara za watu kwa sababu ya mafanikio yao ndio wanaweza fanya.

Washafikia hatua kwa nafasi zao maisha ya watu hayana thamani tena, mbaya zaidi wanauwezo wa kuunda vikundi vya wahuni ndani ya vyombo vya usalama na kuviamuru.

Lakini Samia hawezi uwa mtu, kwa madaraka ana mbinu za kupambana na wanaomtishia nafasi yake.

Haya ni mambo ya kuchafuana tu yaani polisi wampige risasi mtu mbele ya mkewe na mtoto wake.

Aargh
 
Ulishwahi kuona mambo ya utekaji kama huu kabla ya raisi Samia.

Hizi ni tabia ambazo hao-hao hakina Zitto walizi promote.

Ni hivi watu ambao washazoea kutoa kafara za watu kwa sababu ya mafanikio yao ndio wanaweza fanya.

Washafikia hatua kwa nafasi zao maisha ya watu hayana thamani tena, mbaya zaidi wanauwezo wa kuunda vikundi vya wahuni ndani ya vyombo vya usalama na kuviamuru.

Lakini Samia hawezi uwa mtu, kwa madaraka ana mbinu za kupambana na wanaomtishia nafasi yake.

Haya ni mambo ya kuchafuana tu yaani polisi wampige risasi mtu mbele ya mkewe na mtoto wake.

Aargh
Yapo toka kipindi cha Nyerere,Kwa JPM sababu ya media yalionekana sana ,Mo ,Roma , n.k
 
Kuna
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja

Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali

Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo cha kikatili
Una hoja mkuu hawa jamaa too local siasa gani za kujirisk kudwanzi hivi?Siasa za kibongo usenge tu bora kijana ufuge nguruwe tu kuliko kuyataftia majitu ugali
 
Yapo toka kipindi cha Nyerere,Kwa JPM sababu ya media yalionekana sana ,Mo ,Roma , n.k
Hadharani mbele ya kadamnasi?

Embu taja tukio moja la mtu kutekwa mbele ya watu kipindi cha JK na Magufuli;; hapo si tayari kulikuwa na social media.
 
BINAFSI SIPENDI MATUKIO YA AINA HII, NI WAKATI SASA VYAMA VYA UPINZANI VIWEKE MITEGO YAO HAWA WATEKAJI WAKAMATWE, NA WAWASULUBU VIKALI,MFANO KIONGOZI WAO AKISAFIRI KWENYE POINT OF DESTINATION PAWEPO NA WALINZI, YAFANYWE HAYA KWA WALE WALIOPO KATIKA HATARI. (EASY TRAP)
 
Hadharani mbele ya kadamnasi?

Embu taja tukio moja la mtu kutekwa mbele ya watu kipindi cha JK na Magufuli;; hapo si tayari kulikuwa na social media.
Mo alitekwaje?
Yaani wewe hoja yako sio kutekwa ,hoja yako kutekwa hadharani?
 
Back
Top Bottom