Kwa cheo chake ndani ya chama anastahili awe na mtu wa kumsindikiza popote anapokwenda..Mbeya.
Chadema ina walinzi waliopitia mafunzo ya ukomando na walikamatwa viongozi na mmoja hajatolewa hadi leo na wanadai muda anachukuliwa alikua anapigwa.
Na makomando wapo hapo
wewe unaona imekaa sawa kukaa kimya watu wanatekwa wengine ni vijana kabisa km kina soka na yule chaula..Rais ni mzazi, ni mlezi wa watu wote..jambo lolote la kuleta maumivu kwa watu lazima aseme kuleta faraja kwa wahusika, asipofanya hivyo..anapoteza nafasi ya yeye kuwa mzazi na mlezi wa watu anaowaongoza!Samia ni weak president kama anaitakia nchi mema atangaze mapema hatogombea.
Hii itasaidia wahuni na wazalendo kupanga kambi zao.
Vinginevyo ni mtu mżembu wa fikra tu anaweza amini Samia anaweza amuru kuumiza watu kwa sababu ya siasa.
Yaani aache kuwapachikia kesi wanaomsumbua huko CCM, akauwe raia wanyonge. Hizo ni akili za mafisadi tu ambao washazoea kutoa kafara maisha ya watu, lakini Samia hawezi amuru watu wafe kisa siasa za serikali wa mtaa.
🎯CCM imebadilika kutoka kuwa chama Cha siasa na kujiimarisha kuwa chama Dola chini ya mwamvuli wa siasa.
Kuna vidali vipo kwenye gym nyingi malipo chips kuku nusu na bia mbili vinakulinda kila sikuYaani hata Abdul Nondo nae awe anatembea na bodyguard!
Duh
P
Hana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.wewe unaona imekaa sawa kukaa kimya watu wanatekwa wengine ni vijana kabisa km kina soka na yule chaula..Rais ni mzazi, ni mlezi wa watu wote..jambo lolote la kuleta maumivu kwa watu lazima aseme kuleta faraja kwa wahusika, asipofanya hivyo..anapoteza nafasi ya yeye kuwa mzazi na mlezi wa watu anaowaongoza!
Tofautisha kutekwa na kukamatwa naamini wangekuja kwa dhumuni la kuteka story ingekua ni tofautiMbeya.
Chadema ina walinzi waliopitia mafunzo ya ukomando na walikamatwa viongozi na mmoja hajatolewa hadi leo na wanadai muda anachukuliwa alikua anapigwa.
Na makomando wapo hapo
Ungejikita kwenye Kukemea utekaji bila kujali nani au mwenye mlengo gani anatekwa, Maana kwenye kutekwa kwa sasa hakuchagui anatekwa yoyote na kuuawaIf you live by the sword, you die by the sword.
Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.
Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.
Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.
Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Kwa hizi siasa za bongo, anajiamini vipi kupanda gari kutoka kigoma hadi Dsm? halafu hana hata mlinzi mmoja
Wakati huo huo yeye ni mkosoaji wa serikali
Kama anakosoa serikali katika hali ya umaskini wa hivyo bora aache siasa na uanaharakati, atakufa mapema sana tena kifo cha kikatili
Mitandao ya simu inalengesha victims, Tiss/ Polisi walijuaje location ya Nondo.?Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Kwamba kuruhusu mpaka amwambie askari kwa mdomo kwamba piga huyo risasiMnaishi kwenye ndoto zenu, haya nani anawateka sasa.
Wewe unaweza amini Samia huyu anaweza hamuru polisi apige risasi raia mbele ya mkewe na mtoto wake kisa uenyekiti wa mtaa wa kijiji.
Mną safari ndefu ya kupambana na mafisadi.
Umeongea kitu muhimu sana, yaani unapanda gari la kigoma had dsm ,bila hata kubadili route , na unajijua ni mpinzani wa serikali ,Hizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Yule deo wale polisi walitumwa kwenda kumtemesha helaIf you live by the sword, you die by the sword.
Mie wala siwasikiti wanasiasa waliokuwa wana-promote ujinga wa Magufuli eti alikuwa mtekaji.
Uongo sikuzote una madhara, huyu poyoyo kwangu hata angekutwa kakatwa vipande kwangu sawa.
Shida ni watu kama bonge wa pwani ambae ana maisha yake mengine kwanini atekwe au hata mzee Kibao ambae alikuwa low life.
Lakini mtu kama Nondo aliekuwa anashadadia Magufuli muuaji, atekwe tu na kundi lolote; he is useless anyway.
Unasema wanamchafua mbona hakemei ? Yaani wewe uchafuliwe kwa matukio makubwa hivo ukae kimya ? Inaingia akiliniHana uwezo wa kuendesha wa nchi, hajui majukumu yake.
Huyo mama tukubaliane hana uwezo wala akili ya kuendesha nchi.
Mengine ni michezo ya power struggles tu za watu wajinga. Yaani wewe na akili zako timamu Mangę akwambie huyo mama atawaua sana (hiyo si ni psychological) preparation ya hela za mafisadi.
Akili zenyewe hao mafisadi wanazo basi kwa nchi ya maafisa usalama imara.
Kinachokera hapa ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia kwa siasa za kurembuliana macho ndani ya CCM.
Siasa za wazungu wanakuvaa kwa katiba ya chama, hakuna kuficha nia; mbaya zaidi kwa kuchukua uhai wa raia wanyonge; why?
Mama hana uwezo kama kumvaa unda kambi yako mvae, mtu kabadili maafisa usalama wannę ndani ya miaka mitatu ina maana huko juu hawamkubali inabidi umvae kwa kutoa kafara maisha ya wetu kweli.
Samia ni weak na hizo akili za kuendesha nchi hana, lakini kuuwa raia hapana hiyo ni shughuli ya mafisadi (na yenyewe yasio na akili) yanayoitaka nafasi yake kwa kumchafua kwanza.
Mi ndio maana napenda siasa za uingereza, jamaa akina bwana huyu kiongozi wetu mizenguo anapanga kambi yake wanakuvaa tu hakuna kuoneana aibu,
Sio sisi uchawi mtupu wa kutekana kuuwa raia wasio na hatia ilimradi kuchafuana.
Wakikukamata Nayo hayo madude jua kabisa umeisha wanakupa kesi ambayo itakuweka gerezani mpaka unakufa kwa kisingizio cha uchunguzi haujakamilika au wanakupa kesi ya MauajiHizi siasa za bongo kama umeamua kuwa mpinga serikali waziwazi unapaswa uwe makini, uishi kijasusi, unakata tiketi ya kigoma dar, ukifika dom usiku pale wanaposhusha mizigo, unashuka kinyamsisi.. Unapanda gari jingine, unajifunza make up mtandaoni, unakuwa unajipodoa kubadili muonekano, ikiwezekana yale masura bandia ya silicon unakuwa nayo, yaani wao wenyewe wanaona sasa tunamsaka james bond kudadeki.. Mitandaoni nako hivyo hivyo, unaishi kimafia na haya yote yanahitaji CHAPAA..
Huyu ni wazi hawakutaka kumpiga sana.kama hajafanyiwa oparesheni ndogo kwenye jicho basi ashukuriwe mungu
Raisi Samia ni kama mateka kwa sasa, kati ya vita vya watu wengine.Kwamba kuruhusu mpaka amwambie askari kwa mdomo kwamba piga huyo risasi
Ukimya wake kama mkuu wa nchi kwa haya matukio yanaoendelea watu watatafsiri vipi? Na alitoka mbele ya Umma akasema ni vi drama drama, kwa nini asingewaamuru kua wakomeshe hayo mauaji na utekaji?
Ripoti ya Uchunguzi wa mzee Kibao vipi, na Akina soka uchinguzi unasemaje?
Huyu ilibidi iwe hivo maana tayari picha ilishaungua,ila land cruiser waliikuta pale nje na picha za ushahidi ,Huyu ni wazi hawakutaka kumpiga sana.
Game theory (be it at the cost of innocent people).Unasema wanamchafua mbona hakemei ? Yaani wewe uchafuliwe kwa matukio makubwa hivo ukae kimya ? Inaingia akilini