North Korea yaonesha 'MONSTER' ICBM, Kombora kubwa mnoo la kinyuklia, katika military parade

North Korea yaonesha 'MONSTER' ICBM, Kombora kubwa mnoo la kinyuklia, katika military parade

Wapi nimezungumzia masuala ya korea K.kuwepo au kutokuwepo au kufutwa?Kipindi cha Bush walidhibitiwa,hawakuwa na hizi mbwembwe za kutengeneza mabomu ya kutisha namna hii
Kati ya raisi anaye takiwa kulaumiwa kutoidhibiti Nk ni bushi kwa sababu NK imeanza mchakato wa kutengeneza silaa za nyukilia mwaka 2002 na kutangaza kumiliki silaa hizo 2006 ,ina maana NK imeanza mchakato wa kutengeneza na kumiliki hizo silaa chini ya utawala wa Bush kama kuivamia Nk ni kuivamia bushi ndio angetakiwa kuidhibiti kwa sababu kusingekuwa na madhara makubwa ikilinganishwa na sasa.
Sasa hivi kuidhibiti NK hakiwezekani kabisa na haya yote yameshababishwa na uzembe wa utawala wa Bush.
 
Kila siku huwa nasema hapa kuwa Trump ni Rais mbumbumbu na muoga sana kuwahi kutokea marekani.Imagine hili bomu limetengenezwa ndani ya utawala wake.Hakuna Rais yoyote wa Marekani aliepita ambae atakubali huu upupu wa korea.
Mkuu mbona North Korea anaetengeneza silaha hizi hatari tangu miaka mingi iliyopita ya Clinton, Bush wawili, Obama na wengine waliopita?
 
Kati ya raisi anaye takiwa kulaumiwa kutoidhibiti Nk ni bushi kwa sababu NK imeanza mchakato wa kutengeneza silaa za nyukilia mwaka 2002 na kutangaza kumiliki silaa hizo 2006 ,ina maana NK imeanza mchakato wa kutengeneza na kumiliki hizo silaa chini ya utawala wa Bush kama kuivamia Nk ni kuivamia bushi ndio angetakiwa kuidhibiti kwa sababu kusingekuwa na madhara makubwa ikilinganishwa na sasa.
Sasa hivi kuidhibiti NK hakiwezekani kabisa na haya yote yameshababishwa na uzembe wa utawala wa Bush.

Unaweza kuthibitisha kuwa NK ilianza kutengeneza slaa za nyuklia wakati wa kipindi cha Bush mwaka 2002 na kuanza kumiliki slaa hizo mwaka 2006 kama unavyodai?Au ni porojo tu?
 
Unaweza kuthibitisha kuwa NK ilianza kutengeneza slaa za nyuklia wakati wa kipindi cha Bush mwaka 2002 na kuanza kumiliki slaa hizo mwaka 2006 kama unavyodai?Au ni porojo tu?
Ndio. NI wakati wa bush 2001 Korea ilianzisha mpango wa makombora ya nyuklia.. siku moja nilikua nikifuatilia stori za Putin kuhusu Korea na makombora..
Putin anasema mwaka 2001 alishaambiwa na babake Kim kwamba wako na nyuklia plan ya makombora.. mwaka 2006 nuclear plan ya Korea ilikua wazo zaidi
 
Mkuu mbona North Korea anaetengeneza silaha hizi hatari tangu miaka mingi iliyopita ya Clinton, Bush wawili, Obama na wengine waliopita?
Haufuatilii historia pamoja na mikataba iliyokuwepo.Enzi hizo alidhibitiwa sana
 
US hawana mobile ICBM wanazo silo based ICBM,,zamani walikuwa nazo wakazidemote..
We tu ndo hujui Ila hizo missile ziko wazi kabisa .. Minuteman 3 nk.. kisichojulikana ni idadi yake tu..
Plan za Siri zipo lakini ni Mara chache Sana Siri za silaha za Russia ama US kutojulikana kwa each other..
 
Hebu ww tuambie Sasa wameanza kutengeneza lini.
Sasa mkuu wewe ndiye umetoa data za historia ya NK kuanza kutengeneza bomu la Nyuklia mpaka kumiliki silaha hiyo,wewe ndiye mwenye jukumu la kuthibitisha ulichoandika na wala siyo mimi.Na lengo la kutaka uthibitishe data ulizotoa siyo baya kwa sababu tutajuaje kuwa ni data official na za ukweli au umetoa tu kichwani kwako kama porojo za hapa na pale?
 
Ndio. NI wakati wa bush 2001 Korea ilianzisha mpango wa makombora ya nyuklia.. siku moja nilikua nikifuatilia stori za Putin kuhusu Korea na makombora..
Putin anasema mwaka 2001 alishaambiwa na babake Kim kwamba wako na nyuklia plan ya makombora.. mwaka 2006 nuclear plan ya Korea ilikua wazo zaidi
Hii ndiyo jinsi ya kuthibitisha data?
 
Sawa mkuu
Hii hapa roadmobile ya US ila baadae waliziacha,
bb58a273afe9373697f7be322e9c8ebb.png
 
Unaweza kuthibitisha kuwa NK ilianza kutengeneza slaa za nyuklia wakati wa kipindi cha Bush mwaka 2002 na kuanza kumiliki slaa hizo mwaka 2006 kama unavyodai?Au ni porojo tu?
Mkuu, taarifa zaonesha kuwa NK walianza mpango wao wa silaha za nyuklia sio tu 2002 bali ni toka miaka ya 1950s ila ilianza kushtukiwa na jumuia ya kimataifa mwaka 1992. Kwa hiyo hata hao unaowataja kina Bush walishindwa kumdhibiti, na NK iliamua kujiondoa kwenye mikataba hiyo ya kudhibiti silaha hizo mwaka 1994. Na pia ilijiondoa pia ktk makubaliano mengine mwaka 2003.
=====

North Korea’s nuclear ambitions date to the Korean War in the 1950s but came to the attention of the international community in 1992, when the International Atomic Energy Agency (IAEA) discovered that its nuclear activities were more extensive than declared. [6] The revelations led North Korea to withdraw from the IAEA in 1994. In an effort to prevent North Korean withdrawal from the NPT, the United States and North Korea negotiated the Agreed Framework, in which Pyongyang agreed to freeze its nuclear activities and give access to IAEA inspectors in exchange for U.S.-supplied light water reactors and energy assistance. [7] The Agreed Framework broke down in 2002. [8] North Korea unilaterally withdrew from the NPT in January 2003, prompting China, Japan, Russia, South Korea, and the United States to engage North Korea in the Six-Party Talks in a further attempt at a diplomatic solution to the country’s nuclear program. The talks fell apart in 2009, and no serious diplomatic initiatives to denuclearize North Korea occurred until 2018. [9]

North Korea unilaterally withdrew from the Treaty on the Non-Proliferation of Nuclear Weapons (NPT) in January 2003, is not a party to the Comprehensive Nuclear-Test-Ban Treaty (CTBT), and has conducted six increasingly sophisticated nuclear tests since 2006. The DPRK is not a party to the Chemical Weapons Convention (CWC), and is believed to possess a large chemical weapons program. Despite being a state party to the Biological and Toxin Weapons Convention (BTWC) and Geneva Protocol, evidence suggests North Korea may maintain an offensive biological weapons program.
 
uzuri US Army wametulia hawatangazi
... wajinga wanadhani US hana midude kama hiyo na countermeasures za takataka kama za NK tayari zipo. Changamoto moja inakuja how to minimize casualties (civilians) in case they opt for military resolution. Maana hao hao wanaorusha vibendera mitaani kumtia ujinga "live long Kim" ndio hao hao wa kwanza kulalamika watakapopukutishwa kama dagaa in case of war.

Wakati Kim akili yake ni "how to maximize casualties" (terrorist approach); US yeye ni tofauti "how to minimize them". Hapo ndipo mtihani ulipo.
 
... wajinga wanadhani US hana midude kama hiyo na countermeasures za takataka kama za NK tayari zipo. Changamoto moja inakuja how to minimize casualties (civilians) in case they opt for military resolution. Maana hao hao wanaorusha vibendera mitaani kumtia ujinga "live long Kim" ndio hao hao wa kwanza kulalamika watakapopukutishwa kama dagaa in case of war.

Wakati Kim akili yake ni "how to maximize casualties" (terrorist approach); US yeye ni tofauti "how to minimize them". Hapo ndipo mtihani ulipo.
Rudi usome korea war,,North korea imeshapigana na marekani pamoja na washirika karibu 30,walichakazwa mpaka wakakubali suluhu,,technically bado wako vitani kwani kulikuwepo na cease fire tu,vita havikuisha
 
Back
Top Bottom