Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Nostradamus predictions 2023

Nostradamus predictions 2023

Huyu jamaa anaitwa Nostradamus alizaliwa mwaka 1503.

Kati ya mambo alyowahi kutabirina yaka tokea
  • Kujitokeza kwa Adolf Hitler, Vita Kuu ya II, World trade Centre na September 11 ya wale jamaa wa siasa kali
  • Alitabiri kujitokeza kwa CORONA, coronavirus pandemic
  • Sasa kuna utabiri kwa 2023

Nostradamus is believed to have accurately predicted landmark events, such as the rise of Adolf Hitler, World War II, the September 11 terrorist attack and the French Revolution, that have shaped our world.

Huyu Mfaransa na mnajimu altabiri matukio zaidi ya 6,338 na hata mwisho wa dunia kama tunavyoifahamu.
Utabiri mwingine,

94172155.jpg
Kwamba utawala wa Mfalme Charles utakuwa mfupi, na atarithiwa na Prince Harry


Tweet from 2021 predicted Queen Elizabeth IIs death internet in disbelief

Huyu Nostradamus vile vile alitabiri mwisho na kifo cha Malkia Elizabeth kutokea kati 2021 na 2022.



Unajimu wa Nostradamus kwa mwaka 2023
World War
Kwamba vita vinavyoendelea kati ya Ukraine na Urusi vinaweza kugeuka kuwa Vita Kuu ya III.
AU Msuguano kati ya China na Taiwan inaweza leta Vita Kuu ya Tatuitakayoingiza Marekani katika vita hiyo.

Binadamu kutua Mars
Nostradamus alitabiri kuwa binadamu mwaka 2023 atatua Mars.

Elon Musk tayari amechukua hilo kuwa azimio lake kuwa kuanzia 2023 hadi 2029, lazima atafadhili binadamu kutua Mars.

Papa Mpya
Nostradamus' ametabiri kuwa Pope Francis wa sasa ndiye Pope wa ukweli na atapatikana Papa ambaye ni fiksi na atakuwa na maskandali mengi

Kutokea a New World Order
Nostradamus alitabiri kuwa kutatokea muundo mpya wa kimaisha na uchumi duniani.
Hii ina maana inawezekana Dollar ikaisha matumizi yake na ikaibuka Yuan ya China kama hela ya kuendesha uchumi wa dunia.

Tusipanic wandugu, huu ni utabiri tu!
Ref: King Charles III's reign would be short, he will be replaced by Prince Harry: Fortune teller Nostradamus's writings
Yule mtabiri wetu wa hapa jf alotabiri ile ndege kuzama ziwani ye pia tumshirikishe.
 
Nostradamus predictions 2023

Nostradamus predictions 2023

Huyu jamaa anaitwa Nostradamus alizaliwa mwaka 1503.

Kati ya mambo alyowahi kutabirina yaka tokea
  • Kujitokeza kwa Adolf Hitler, Vita Kuu ya II, World trade Centre na September 11 ya wale jamaa wa siasa kali
  • Alitabiri kujitokeza kwa CORONA, coronavirus pandemic
  • Sasa kuna utabiri kwa 2023

Nostradamus is believed to have accurately predicted landmark events, such as the rise of Adolf Hitler, World War II, the September 11 terrorist attack and the French Revolution, that have shaped our world.

Huyu Mfaransa na mnajimu altabiri matukio zaidi ya 6,338 na hata mwisho wa dunia kama tunavyoifahamu.
Utabiri mwingine,

94172155.jpg
Kwamba utawala wa Mfalme Charles utakuwa mfupi, na atarithiwa na Prince Harry


Tweet from 2021 predicted Queen Elizabeth IIs death internet in disbelief

Huyu Nostradamus vile vile alitabiri mwisho na kifo cha Malkia Elizabeth kutokea kati 2021 na 2022.



Unajimu wa Nostradamus kwa mwaka 2023
World War
Kwamba vita vinavyoendelea kati ya Ukraine na Urusi vinaweza kugeuka kuwa Vita Kuu ya III.
AU Msuguano kati ya China na Taiwan inaweza leta Vita Kuu ya Tatuitakayoingiza Marekani katika vita hiyo.

Binadamu kutua Mars
Nostradamus alitabiri kuwa binadamu mwaka 2023 atatua Mars.

Elon Musk tayari amechukua hilo kuwa azimio lake kuwa kuanzia 2023 hadi 2029, lazima atafadhili binadamu kutua Mars.

Papa Mpya

Nostradamus' ametabiri kuwa Pope Francis wa sasa ndiye Pope wa ukweli na atapatikana Papa ambaye ni fiksi na atakuwa na maskandali mengi

Kutokea a New World Order
Nostradamus alitabiri kuwa kutatokea muundo mpya wa kimaisha na uchumi duniani.
Hii ina maana inawezekana Dollar ikaisha matumizi yake na ikaibuka Yuan ya China kama hela ya kuendesha uchumi wa dunia.

Tusipanic wandugu, huu ni utabiri tu!
Ref: King Charles III's reign would be short, he will be replaced by Prince Harry: Fortune teller Nostradamus's writings
MIMI NAMUAMINI SANA BABA VANGA. HUYU MAMA KIPOFU ALITABIRI MAMBO MENGI YALIYOTOKEA NA YANAYOTOKEA SASA. JARIBU KUMSOMA PIA HUYU.
 
Nostradamus predictions 2023

Nostradamus predictions 2023

Huyu jamaa anaitwa Nostradamus alizaliwa mwaka 1503.

Kati ya mambo alyowahi kutabirina yaka tokea
  • Kujitokeza kwa Adolf Hitler, Vita Kuu ya II, World trade Centre na September 11 ya wale jamaa wa siasa kali
  • Alitabiri kujitokeza kwa CORONA, coronavirus pandemic
  • Sasa kuna utabiri kwa 2023

Nostradamus is believed to have accurately predicted landmark events, such as the rise of Adolf Hitler, World War II, the September 11 terrorist attack and the French Revolution, that have shaped our world.

Huyu Mfaransa na mnajimu altabiri matukio zaidi ya 6,338 na hata mwisho wa dunia kama tunavyoifahamu.
Utabiri mwingine,

94172155.jpg
Kwamba utawala wa Mfalme Charles utakuwa mfupi, na atarithiwa na Prince Harry


Tweet from 2021 predicted Queen Elizabeth IIs death internet in disbelief

Huyu Nostradamus vile vile alitabiri mwisho na kifo cha Malkia Elizabeth kutokea kati 2021 na 2022.



Unajimu wa Nostradamus kwa mwaka 2023
World War
Kwamba vita vinavyoendelea kati ya Ukraine na Urusi vinaweza kugeuka kuwa Vita Kuu ya III.
AU Msuguano kati ya China na Taiwan inaweza leta Vita Kuu ya Tatuitakayoingiza Marekani katika vita hiyo.

Binadamu kutua Mars
Nostradamus alitabiri kuwa binadamu mwaka 2023 atatua Mars.

Elon Musk tayari amechukua hilo kuwa azimio lake kuwa kuanzia 2023 hadi 2029, lazima atafadhili binadamu kutua Mars.

Papa Mpya

Nostradamus' ametabiri kuwa Pope Francis wa sasa ndiye Pope wa ukweli na atapatikana Papa ambaye ni fiksi na atakuwa na maskandali mengi

Kutokea a New World Order
Nostradamus alitabiri kuwa kutatokea muundo mpya wa kimaisha na uchumi duniani.
Hii ina maana inawezekana Dollar ikaisha matumizi yake na ikaibuka Yuan ya China kama hela ya kuendesha uchumi wa dunia.

Tusipanic wandugu, huu ni utabiri tu!
Ref: King Charles III's reign would be short, he will be replaced by Prince Harry: Fortune teller Nostradamus's writings
Sijui huyu Nostradsmus alitabiri vipi juu ya waafrika?
 
Chinese YUAN will never ever lead the WORLD as a VEHICLE CURRENCY.....

That is their fate...... According to another FORTUNE TELLER....
Never say never

Uchumi wa China ndo utaamua hicho kitu kitokee.. ila inaweza kuchukua muda sana kwa Yuan kuipindua Dollar
 
Uongo mtupu wanamkuza tu huyo sheikh yahaya uchwara..
 
Kama una ufahami wa Futurology basi huwezi kusema kwamba Nostradamus alikua mtabiri na alitabiri mambo mengi yajoyo. Ndio maana tabiri zake nyingi zimeiua zikipingwa na maguru wa Astrology na Utabiri. Kiufupi naweza kusema jamaa alikua Futurist na sio actual Seer
 
Sio kama anatabiri hivyo vitu vinapangwa na wao wenyewe alaf yeye ndio baadae anajifanya kama anatabiri lakini wanakuwa wameshaunda jins mipangilio yao wanavyotaka iwe
 
Hakuna na hajawahi kuwepo mtu aitwaye Nostradamus wala yule Shakespear.

Nostradamus ni White's Book of Events. Wenzetu wamepangilia matukio yote na wanayatimiliza kila muhula ulipofika.

Nina kitabu kinaitwa ATILENCIOGOCOOLICALISTS kimeelezea huu upuuzi wa wazungu
Hakuna kitabu kinaitwa hilo jina
 
Back
Top Bottom