Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Matukio yote aliyatabiri miaka hiyo ya 1500 yameandikwa kwenye kitabu chake. Alitabiri akaenda mbele mpaka miaka ya sasa tunayoishi sisi na mwaka 2023 ndio aliona mambo hayo. Na mwisho wa dunia alionesha itakuwa mwaka 5050.
Uongo khaaa 5050 hivi unamchukuliaje Mungu we hamna ajuaye saa Wala (siku,wiki,mwezi,mwaka) isipokuwa Mungu tu aaah asee mnashikisha watu masikio kweli
giphy.gif
 
Uongo khaaa 5050 hivi unamchukuliaje Mungu we hamna ajuaye saa Wala (siku,wiki,mwezi,mwaka) isipokuwa Mungu tu aaah asee mnashikisha watu masikio kweli
giphy.gif

Vip hayo aliyotabili na yametokea mkuu
 
Huyu jamaa alikuwa na undugu na malaika nini?🤔
 
Prince Harry atamrithi King Charles kwa utaratibu upi? acheni fix...
Mengi ameongeza
Niliposoma fix hiyo nikaacha kuendelea kusoma maana nikaona mwisho atasema alitabiri ujio wa magufuli

Yaani mwaka 1500 alikuwa anajua na Jina la Charles na Harry [emoji1] [emoji1787]
 
Kuna jamaa aliyetabiri kuhusu kifo cha malkia logan smith alikuwa anatabiri mengi sana yanatokea ila aligusa moto alipotabiri kifo cha malkia mpaka Tarehe washkaji wa UK governmebt walimfnya mbaya...
Sometimes watu tabiri wanazo ika wanaogopa kuzitoa na ametabiri pia king charles atakufa March 28,2026

IMG_20220911_155111_574.jpg

Hapa twitter yake ikawa under UK gov survailance hahaha utabiri lazma uwe undee cover sio ujionyeshe tu
IMG_20220911_155102_854.jpg
 
Mengi ameongeza
Niliposoma fix hiyo nikaacha kuendelea kusoma maana nikaona mwisho atasema alitabiri ujio wa magufuli

Yaani mwaka 1500 alikuwa anajua na Jina la Charles na Harry [emoji1] [emoji1787]
Mwaka 2026 march 26 king charles chalii
 
Nostradamus predictions 2023

Nostradamus predictions 2023

Huyu jamaa anaitwa Nostradamus alizaliwa mwaka 1503.

Kati ya mambo alyowahi kutabirina yaka tokea
  • Kujitokeza kwa Adolf Hitler, Vita Kuu ya II, World trade Centre na September 11 ya wale jamaa wa siasa kali
  • Alitabiri kujitokeza kwa CORONA, coronavirus pandemic
  • Sasa kuna utabiri kwa 2023

Nostradamus is believed to have accurately predicted landmark events, such as the rise of Adolf Hitler, World War II, the September 11 terrorist attack and the French Revolution, that have shaped our world.

Huyu Mfaransa na mnajimu altabiri matukio zaidi ya 6,338 na hata mwisho wa dunia kama tunavyoifahamu.
Utabiri mwingine,

94172155.jpg
Kwamba utawala wa Mfalme Charles utakuwa mfupi, na atarithiwa na Prince Harry


Tweet from 2021 predicted Queen Elizabeth IIs death internet in disbelief

Huyu Nostradamus vile vile alitabiri mwisho na kifo cha Malkia Elizabeth kutokea kati 2021 na 2022.



Unajimu wa Nostradamus kwa mwaka 2023
World War
Kwamba vita vinavyoendelea kati ya Ukraine na Urusi vinaweza kugeuka kuwa Vita Kuu ya III.
AU Msuguano kati ya China na Taiwan inaweza leta Vita Kuu ya Tatuitakayoingiza Marekani katika vita hiyo.

Binadamu kutua Mars
Nostradamus alitabiri kuwa binadamu mwaka 2023 atatua Mars.

Elon Musk tayari amechukua hilo kuwa azimio lake kuwa kuanzia 2023 hadi 2029, lazima atafadhili binadamu kutua Mars.

Papa Mpya
Nostradamus' ametabiri kuwa Pope Francis wa sasa ndiye Pope wa ukweli na atapatikana Papa ambaye ni fiksi na atakuwa na maskandali mengi

Kutokea a New World Order
Nostradamus alitabiri kuwa kutatokea muundo mpya wa kimaisha na uchumi duniani.
Hii ina maana inawezekana Dollar ikaisha matumizi yake na ikaibuka Yuan ya China kama hela ya kuendesha uchumi wa dunia.

Tusipanic wandugu, huu ni utabiri tu!
Ref: King Charles III's reign would be short, he will be replaced by Prince Harry: Fortune teller Nostradamus's writings

Sidhani kama yote hayo ni kweli alitabiri. Ni upuuzi tu uliozoeleka mitandaoni ambapo watu maarufu wanasingiziwa mambo kwa kuwapachikia. Hakuna mtu anayeweza kutabiri vitu exact namna hiyo. Hata upuuzi unaoitwaga utabiri wa kwenye vitabu kama Biblia na Quran hauko exact. Ni maneno ya jumla jumla tu ambayo mtu anaweza kuyapa maana ile anayotaka ili kutetea imani yake.

Kama una ushahidi wa vitabu vya Nostradamus basi vitaje kwamba ni kitabu gani, cha mwaka gani, ukurasa wa ngapi ameandika kila utabiri unaousema.
 
Sidhani kama yote hayo ni kweli alitabiri. Ni upuuzi tu uliozoeleka mitandaoni ambapo watu maarufu wanasingiziwa mambo kwa kuwapachikia. Hakuna mtu anayeweza kutabiri vitu exact namna hiyo. Hata upuuzi unaoitwaga utabiri wa kwenye vitabu kama Biblia na Quran hauko exact. Ni maneno ya jumla jumla tu ambayo mtu anaweza kuyapa maana ile anayotaka ili kutetea imani yake.

Kama una ushahidi wa vitabu vya Nostradamus basi vitaje kwamba ni kitabu gani, cha mwaka gani, ukurasa wa ngapi ameandika kila utabiri unaousema.
Mkuu nenepesha uelewa wako kwa kusoma.
Nostradamus aliandika vitabu si chini ya 32.
Unaweza kuvinunua mtandaoni.
51u2LTWNHOL._SL200_.jpg
a1496ed5fae5433bffd1240a28141cec4865cf52.jpg
a1496ed5fae5433bffd1240a28141cec4865cf52.jpg
 

Attachments

  • 2624dbe64459e6f7b065ca4bfb6d197c61281f7e.jpg
    2624dbe64459e6f7b065ca4bfb6d197c61281f7e.jpg
    6.2 KB · Views: 7
Sio kama anatabiri hivyo vitu vinapangwawas na wao wenyewe alaf yeye ndio baadae anajifanya kama anatabiri lakini wanakuwa wameshaunda jins mipangilio yao wanavyotaka iwe
Facts! Matukio yote yalishapangwa na TPTB sijui ndo illuminati..
Inawezekana world war 3 ikawepo au;
Alien invasion
Baa la njaa duniani
Cashless countries
Giant invasion( yale majitu ya zamani kwenye biblia wazungu bado wanayafuga)
Climatic problems
Corona nyingine and lockdown
Na hamna kitu tutafanya maana walishaviandaa siku nyingi... hadi kufika 2030 tutaona mengi.
 
Mkuu nenepesha uelewa wako kwa kusoma.
Nostradamus aliandika vitabu si chini ya 32.
Unaweza kuvinunua mtandaoni.
View attachment 2465685View attachment 2465686View attachment 2465686
Kujua idadi na majina ya vitabu alivyoandika mtu yeyote sio shida. Hiyo ni kazi ndogo kwa gugo.

Nilichoomba ni hayo uliyoyasema. Yaani ili uweze kusema hayo uliyoyasema inatakiwa uwe umesoma vitabu vya Nostradamus. Na kama umesoma vitabu vyake, maana yake unavyo. Hivyo hakutakuwa na ugumu kupiga picha na kuonesha exactly ni wapi alipoandika yote hayo.

Sio kusema "Nostradamus aliandika vitabu 32" na kuturuhia makava ya vitabu hivyo.
 
Back
Top Bottom