Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Nostradamus alitabiri mwaka 2023 kutakuwa na Vita Kuu ya III

Michel de Nostredame (December 1503 – July 1566), usually Latinised as Nostradamus,[a] was a French astrologer, apothecary, physician, and reputed seer, who is best known for his book Les Prophéties (published in 1555), a collection of 942 poetic quatrainsNostradamus - Wikipedia allegedly predicting future events.

Nostradamus's father's family had originally been Jewish, but had converted to Catholic Christianity a generation before Nostradamus was born.
Ref: Nostradamus - Wikipedia
Mkuu usiamini hayo madude ya wikipedia, alafu wenzako walishapangilia artificial disaster miaka kibao huko nyuma so, wanachofanya kwa kizazi cha mbele ni kutekeleza tu.
 
Mtabiri alizaliwa miaka ya 1500,bado ana endelea kutabiri???
Matukio yote aliyatabiri miaka hiyo ya 1500 yameandikwa kwenye kitabu chake. Alitabiri akaenda mbele mpaka miaka ya sasa tunayoishi sisi na mwaka 2023 ndio aliona mambo hayo. Na mwisho wa dunia alionesha itakuwa mwaka 5050.
 
Kama sikosei, alitabiri 2012 ungekuwa mwisho wa dunia? Halafu ikawaje? Utabiri ni utabiri tu. Sawa na kucheza kamali
 
Huyu mama Mbulgaria kipofu (alipata upofu kutokana na tetemeko lililotokea huko Bulgaria akafunikwa na kifusi kuja kuokolewa macho yote yakawa hayaoni tena) nimekuwa nikimsoma siku zote na tabiri zake. Miaka zaidi ya 300 iliyopita alisema "Katika mwaka 2011, naona ndege wawili wa chuma wakigonga minara miwili katika nchi ya msituni" nchibya msituni ni nchi ya raisi "Bush"

Hapa anasema mwaka huu 2023 Alien watavamia dunia na ya pili watoto watazalishwa maabara. Tumeona hii ya maabara tayari.
Screenshot_20221230_192623_Chrome.jpg
 
Kama una ufahami wa Futurology basi huwezi kusema kwamba Nostradamus alikua mtabiri na alitabiri mambo mengi yajoyo. Ndio maana tabiri zake nyingi zimeiua zikipingwa na maguru wa Astrology na Utabiri. Kiufupi naweza kusema jamaa alikua Futurist na sio actual Seer
What's the difference? Enlighten me brother.
 
What's the difference? Enlighten me brother.
Futurology inafahamika kama Future studies (masomo yanayohusu mambo ya baadae), Ni masomo yanoyohusu ku-predict mambo mbalimbali yajayo kwa kufanya tafiti kuangalia mambo yaliyopo sasa hivi na kutabiri mambo yajayo.

Futurist wanapredict mambo yajayo kwa kuangalia siasa za dunia,teknolojia ya mwanadamu, intelligence ya mwandamu, Ustaarabu wa mwanadamu, uchumi,nk nk na kutabiri kua miaka kadhaa ijayo kutakua na hiki au kile.

Kwa mfano Futurist wanaelezea jinsi labda maisha ya ya mwanadamu dunia baada ya miaka 20, 30, 50 ijayo yatakua ni maisha yatakayokua yame Advance zaidi.

Hao ni Futurist..
Lakini Seer ni watu kama akina shehe yahaya.

So Nostradame was merely a Seer not a Futurist
 
Futurology inafahamika kama Future studies (masomo yanayohusu mambo ya baadae), Ni masomo yanoyohusu ku-predict mambo mbalimbali yajayo kwa kufanya tafiti kuangalia mambo yaliyopo sasa hivi na kutabiri mambo yajayo.

Futurist wanapredict mambo yajayo kwa kuangalia siasa za dunia,teknolojia ya mwanadamu, intelligence ya mwandamu, Ustaarabu wa mwanadamu, uchumi,nk nk na kutabiri kua miaka kadhaa ijayo kutakua na hiki au kile.

Kwa mfano Futurist wanaelezea jinsi labda maisha ya ya mwanadamu dunia baada ya miaka 20, 30, 50 ijayo yatakua ni maisha yatakayokua yame Advance zaidi.

Hao ni Futurist..
Lakini Seer ni watu kama akina shehe yahaya.

So Nostradame was merely a Seer not a Futurist
Hasante kwa Elimu
 
Hakuna na hajawahi kuwepo mtu aitwaye Nostradamus wala yule Shakespear.

Nostradamus ni White's Book of Events. Wenzetu wamepangilia matukio yote na wanayatimiliza kila muhula ulipofika.

Nina kitabu kinaitwa ATILENCIOGOCOOLICALISTS kimeelezea huu upuuzi wa wazungu
Na biblia imo?
 
Crypto haiwezi kutawala dunia... tena inaenda kufa soon... Marekani hawezi kuruhusu Crypto itawale maana hiyo itasababisha Dollar ianguke.. na Dollar ikianguka hatuna taifa la Marekani

Fuatilia issue ya FTX utaelewa ninachosema
Bankman huyo kawa fuckman
 
Back
Top Bottom