November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

Karma is a bitch.

Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.
Ni sawa na ile show ya jide!
 
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!

Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.

Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.

Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!
DAB at work.... Siku hizi amahamia Efm
 
Hivi mmesahau Clouds walichomfanyia Ladyjdee kwa kumuandalia mwana FA tamasha Siku Moja na la Jde ili kumkomoa? Leo Efm wanafanya the same thing mnasema ni utoto? Tuwaache wapambane wote wanajua uhuni wanaofanyiana
What goes around, comes around. Karma is the "beach"
 
Hawana cha kupoteza, watafanikiwa sana kama lengo lao ni nyomi.

Tv za wapemba tu mitaani wabongo wanajaa nje ya maduka kuangalia movie za bure ndio sembuse show za bure?
Hahahah mkuu umenivunja mbavu yaani dah
 
Usijitoe ufahamu kujisahaulisha hao clouds walipopanga show ya Mwana Fa wakati siku hiyo Ladyjaydee alikuwa na uzinduzi wa albamu yake na wasanii aliowaalika Jide hawakwenda wakaenda show ya clouds

Mkuu watu walijaa sana kwa Jide, naomba utambue hilo,show waliyoandaa Mawingu kwa kisingizio cha the Finest of FA,Ndo ilidoda.... Mawingu acha na wao wapate changamoto,huko nyuma walijiona wao ndo wenye trade mark ya nyimbo za bongo flava
 
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!

Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.

Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.

Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!
Fiesta USIKU
TvE/Efm mchana
Nazungumzia uzoefu unaonesha hivyo.
Pili VENUE NI TOFAUT,shida iko wapi?
Tatu,Dar ina wilaya 5 si wagawane wilaya tu
 
Yani niende kwenye tamasha la bure nirudi na ngeu???? kwa sisi wapenda burudani na starehe tunapendelea matamasha yenye viingilio tena ikiwezekana bei ikiwa kubwa mana ustaarabu unakuwepo, tunahangaika kutafuta pesa haipaswi kupata mateso wakati wa kuitumia.....wahenga wanasema "bure gharama"
Usisahau na shows za fiesta watu huvuliwaga nguo pale kino makaburini kila linapofanyika mabint hudhalilishwa sana na wahuni
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Mfumo ni wa biashara huria,kuna wakat JD na Mwana FA walifanya show siku 1,
Mambo ya kusema mpishe flan afanye sio zama hizi,
Efm watakua na venue yao na wasanii wao,clouds pia.
So wala hakuna KUOGOPANA,hizo ni biashara mkuu usiumize kichwa hata kidogo,itakua ajabu nao clouds kama watamhofia EFM[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani niende kwenye tamasha la bure nirudi na ngeu???? kwa sisi wapenda burudani na starehe tunapendelea matamasha yenye viingilio tena ikiwezekana bei ikiwa kubwa mana ustaarabu unakuwepo, tunahangaika kutafuta pesa haipaswi kupata mateso wakati wa kuitumia.....wahenga wanasema "bure gharama"
Mpo wangap, wenye hela kumbuka hilo tamasha la bure wanataka umati si pesa? EFM mleteni Diamond name msanii mmoja was nje mmalize kazi
 
Mpo wangap, wenye hela kumbuka hilo tamasha la bure wanataka umati si pesa? EFM mleteni Diamond name msanii mmoja was nje mmalize kazi
Efm wanainvest katika mabif ya kijinga...

WCB crew tayari wana mgogoro nao .

Watafeli vibaya sana. Wabaki tu na singeli zao.
 
We jamaa umejudge vibaya.

Katika kuelekea uchumi wa viwanda, hivi ndivyo sisi tunataka.
Muuzaji "A" lete product yako, muuzaji ''B" leta product yako pia, msiogope tangazeni sifa za products zenu

Haina haja ya mzalishaji asitishe kutoa huduma yake sababu sokoni tayari Kuna product hio.

Kama wataona kuna conflict of interest wao watakaa chini watapanga,Ila wewe Kama mshabiki una wasi wasi gani?!
Ila moja ina bei nyingine ni bure......
 
Back
Top Bottom