November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

hapa le mutuz yuko upande gani? make alishawahi kuniblock kule FB kipindi cha clouds vs jide, yeye alikuwa teamclouds wazee wa fursa mie nilikuwa [HASHTAG]#teamanaconder[/HASHTAG] lady jay dee binti machozi
 
Labda hizi entertainment media wewe huzifatilii,
Clouds wameshakuwa na mabifu na WASANII WANGAPI HAPA BONGO?JIBU ni wengi sana na wanaendelea kushain,maana bifu ni kwammmba hata mziki wa msanii husika haupigwi.
Then magic fm n diamond,nadhan wameyamaliza,sugu na clouds na wengine weeengi (hope u kno them),times fm na diamond sijui walishayamalizaga.
Hayo mabifu ni masuala ya biashara tu.
Pia EATV walishakuwa na mabifu na wasanii (kwa kutopiga nyimbo zao),clouds hadi walikuwa wakimbeza sugu kuwania ubunge mbeya 2010
Huyo jamaa ni muongo mnooo...

Kwenye matamasha ya EFM ya Muziki Mnene wasanii wa WCB Richie Mavoko na Rayvanny walitumbuiza..Sasa hilo bifu sijui limetoka wapi eti...
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Walioanza kufanya uhuni ni clouds labda km wewe mgeni mwaka Jana nadhani wenzao walikuwa na tamasha chuo cha posta na wao wakaweka lao la chips yai Tmk.
 
Huyo jamaa ni muongo mnooo...

Kwenye matamasha ya EFM ya Muziki Mnene wasanii wa WCB Richie Mavoko na Rayvanny walitumbuiza..Sasa hilo bifu sijui limetoka wapi eti...
Labda anahis sie wa KOLOMIJE
 
Yani niende kwenye tamasha la bure nirudi na ngeu???? kwa sisi wapenda burudani na starehe tunapendelea matamasha yenye viingilio tena ikiwezekana bei ikiwa kubwa mana ustaarabu unakuwepo, tunahangaika kutafuta pesa haipaswi kupata mateso wakati wa kuitumia.....wahenga wanasema "bure gharama"
Ushawahi kwenda fiesta? Hilo tamasha ndio linaongoza kwa wizi na ukabaji sehem zote kuanzia linapowekwa.
 
Kati yao Hawa Nani bado ana beef na clouds nowadays
Umebadili swali tena?..Swali la msingi lilikuwa msanii kuwa na beef na Clouds na kuendelea kutamba...Hao waliotajwa pamoja na kwamba walikuwa na beef waliendelea kutamba (jibu la swali lako la msingi)..Pamoja na beef kuisha mpaka sasa Clouds hawachezi nyimbo za Jide na bado anatamba...
 
ni msanii gani aliewahi kuwa na bifu na clouds afu akaendlea kutamba?
Swali lako nilishakujibu,nimekutajia waliowah kuwa na beef na wametamba.
Sasa ulitaka waendelee kugombana milele?Then?What next.
Nimekwambia Jay,Sugu na JIDE.
Na hata leo JIDE hana mahusiano mazur na clouds ukicompare na miaka 5 nyuma
Kati yao Hawa Nani bado ana beef na clouds nowadays
 
Umebadili swali tena?..Swali la msingi lilikuwa msanii kuwa na beef na Clouds na kuendelea kutamba...Hao waliotajwa pamoja na kwamba walikuwa na beef waliendelea kutamba (jibu la swali lako la msingi)..Pamoja na beef kuisha mpaka sasa Clouds hawachezi nyimbo za Jide na bado anatamba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda wewe atakuelewa.
Kina Dr Shika wamejaa
 
leo sebo mwenyew anakuambia iyo show mdhamini ni paul makonda na ni show ya wanavyuo kiingilio ni kitambulisho chako
 
Umebadili swali tena?..Swali la msingi lilikuwa msanii kuwa na beef na Clouds na kuendelea kutamba...Hao waliotajwa pamoja na kwamba walikuwa na beef waliendelea kutamba (jibu la swali lako la msingi)..Pamoja na beef kuisha mpaka sasa Clouds hawachezi nyimbo za Jide na bado anatamba...
Jamaa anaamisha magoli, atakuwa wa mikoani huyu siyo bure[emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom