Shida ya Africa kakikundi Cha watu wachache wanaweza amua kwa maslai Yao kuumiza wengine, angalia mifuko ya hifadhiSio uvivu mkuu biashara imewahi nochapa Hadi nikachanganyikiwa nilipoteza mtaji wangu kama 7m now sina hamu nayo Bora UTT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya Africa kakikundi Cha watu wachache wanaweza amua kwa maslai Yao kuumiza wengine, angalia mifuko ya hifadhiSio uvivu mkuu biashara imewahi nochapa Hadi nikachanganyikiwa nilipoteza mtaji wangu kama 7m now sina hamu nayo Bora UTT
Hongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.Habari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Nikweli kabisa ..usije ukashangaa utt mbeleni wakaikopesha selikari ikawa ndo bas tenaShida ya Africa kakikundi Cha watu wachache wanaweza amua kwa maslai Yao kuumiza wengine, angalia mifuko ya hifadhi
Mkuu naona ulianza hiyo 2015 na 100m sirahis kufikisha 200m kama uliweka 50mHongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.
Kuna miezi nilikuwa nje ya ajira lakini sikutoa hela yangu UTT. Mwishoni wa mwaka 2023, nilikuwa na milioni 200 kwenye account yangu ya Liquid fund.
January 2024 nikatoa milioni 70 nikanunua kiwanja cha square meter 1900 bunju B chenye foundation ya ujenzi tayari.
Malengo yangu ifikapo mwaka 2030 niwe na hela isiyopungua milioni 700 kwenye account yangu ya UTT liquid + hela yangu ya nssf nitakuwa na kama milioni 800 hivi.
Then nimepanga baada ya hapo kutoa milioni 200 nijenge kwenye hicho kiwanja na hela inayobaki nahamishia mfuko wa bond ili niweze kupata mshahara wangu wa kila mwezi from UTT bila jasho. I want to retire at age 42. Tuendelee kufukuzia malengo mkuu...
Biashara Gani iliwahi kukuchakazaHabari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Kwa mda wamiaka mingap ulidunduliza ikafika ukomie nilidunduliza nikafika mil 22,nikaenda bank nikachukua loan ya 40m nikaweka kwenye ujenzi.
Asilimia 70 ya mshahara wako ilikuwa kias gani mana hesabu zinasoma ulilupwa kama million 4.3+. Na ndo ajira yako ya kwanza hiyoHongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.
Kuna miezi nilikuwa nje ya ajira lakini sikutoa hela yangu UTT. Mwishoni wa mwaka 2023, nilikuwa na milioni 200 kwenye account yangu ya Liquid fund.
January 2024 nikatoa milioni 70 nikanunua kiwanja cha square meter 1900 bunju B chenye foundation ya ujenzi tayari.
Malengo yangu ifikapo mwaka 2030 niwe na hela isiyopungua milioni 700 kwenye account yangu ya UTT liquid + hela yangu ya nssf nitakuwa na kama milioni 800 hivi.
Then nimepanga baada ya hapo kutoa milioni 200 nijenge kwenye hicho kiwanja na hela inayobaki nahamishia mfuko wa bond ili niweze kupata mshahara wangu wa kila mwezi from UTT bila jasho. I want to retire at age 42. Tuendelee kufukuzia malengo mkuu...
SahihiInategemea Na mfuko
Mkuu mwaka 2015 sikuanza na amount yoyote kubwa. Nakumbuka take home yangu ilikuwa around 900,000 kwa mwezi. Kila mwezi nilijitahidi sana kuweka UTT kati ya 600,000 mpaka 700,000 kila mwezi. Tangu mwaka 2015 hadi sasa nimeshafanya kazi kwenye taasisi tatu tofauti na mshahara umekuwa ukiongezeka kulingana na uzoefu. Mshahara ukiongezeka na deposit yangu to UTT naongeza pia. Discipline ya frugality/ubahili kwa kiasi flani ilinisaidia sana...Mkuu naona ulianza hiyo 2015 na 100m sirahis kufikisha 200m kama uliweka 50m
Enzi zile ilikuwa zaidi ya 600,000 wakati naanza kuwekezaAsilimia 70 ya mshahara wako ilikuwa kias gani mana hesabu zinasoma ulilupwa kama million 4.3+. Na ndo ajira yako ya kwanza hiyo
Hua muda mnaotumia kumuelimisha huyo jamaa mngekua mmepiga hata nyeto unapata bao lako la kibabe kabisaa.Huyo jamaa ni mpingaji,utamkuta kwenye kila uzi wa UTT anapinga..hayupo tayari kutaka kujielimisha wala kuelekezwa.
Mm nikiweka million 2 napata gawio kias gan na kwa muda gani kwa uzoefu wakoEnzi zile ilikuwa zaidi ya 600,000 wakati naanza kuwekeza
Hesabu kwa hiyo hela zinakataa. Haiwez kufika mkuu mana uhalisia unakataa. Hiyo pesa ni nyingi sana mkuu sio kitoto ndani ya miaka 7 upate million 200 kwa mana kila mwaka million 30. Je kwenye hii 30 kwa mwez ilikuwa unaweka kias gani na ongezeko lilikuwaje kwa mwaka mzima ifike 30milionMkuu mwaka 2015 sikuanza na amount yoyote kubwa. Nakumbuka take home yangu ilikuwa around 900,000 kwa mwezi. Kila mwezi nilijitahidi sana kuweka UTT kati ya 600,000 mpaka 700,000 kila mwezi. Tangu mwaka 2015 hadi sasa nimeshafanya kazi kwenye taasisi tatu tofauti na mshahara umekuwa ukiongezeka kulingana na uzoefu. Mshahara ukiongezeka na deposit yangu to UTT naongeza pia. Discipline ya frugality/ubahili kwa kiasi flani ilinisaidia sana...
Kwa nini usikuze mtaji? Badala ya kupokea gawio kila mwezi,ungechagua option ya kukuza mtaji (re investment program)Mimi nataka nizitoe huko faida ndogo haitoshi hata kununua hennesy xo ya 500,000
Niliweka 50m UTT BOND gawio nalopata kwa mwezi ni hili[emoji116]
Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 436,160.48 katika akaunti yako nambari: 015*******00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 071*197700
Hata mimi moyo wangu haujawahi kuwa tayari, sijui kwanini.Sijui ni kwa nini, lakini kuna kitu ndani ya roho yangu kinaniambia hapa siyo sehemu salama sana ya kuwekeza. Ila naweza kuwa siko sahihi hata kidogo.