Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
We are proudKAZI ni kipimo cha utu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are proudKAZI ni kipimo cha utu
Ni kweli km ni mfanyabiashara, ila siyo watu wote tunaweza kuwa wafanyabiashara.Ukiweka hela UTT hujawekeza bali umehifadhi.Yani uweke M100 mahali upate faida 1m useme ni uwekezaji?
Mimi kama mfanyibiashara naona ni upuuzi mkubwa.Hii wanaweza waajiriwa maana hawazi kuwa tajiri
Ipo hivi kuna funds za aina tatu katika uwekezaji....Kuna external traded fund mfano NICOL (hii kampuni kubwa tu hapa nchini,google it),Kuna Index fund mfano DSE Index na kuna mutual fund mfano UTT...Leta shule kuhusu hizi funds, maana wengine bado tupo gizani
Sasa Ndugu hapa watu ni wanajuzana juu ya mambo uwekezaji tu mbona.SI kama hivi... Au we huoni kama ni promo hii
Je ninkweli serikali Ina Nia ya dhati kuwainua wananchi was chini kiuchumi!!?au kuwafanya mateka ili watawaliwe kirahisi!!?
Au tunakusanya mitaji Kwa ajili ya manufaa ya watu wachache!!?
Hai utt nitawatafuta ili nijifunze Kwa kina !!
Hasa Nia ya serikali kwa wananchi wa chini!!
Mkuu,samahani naomba nikuulize,Duuh mna mioyo yani kwenye mil 7 apate 70 kwa mwezi...!!?
Kwa mwaka 840....hapana aisee
Bado ni ndogo apo ni kwenye laki 7 na kituMkuu,samahani naomba nikuulize,
Kwasasa benki ya Posta,TPL inatoa riba ya 11% kwenye fixed deposit yao...Je,ukiweka million 7,utapata kiasi gani baada ya mwaka...?
Na hiyo ishu ya benki ya posta wala sijatunga, nenda uwaulize...
Sasa hapo hiyo faida si umepata kwa kuiweka fixed, ambapo benki huitumia kukopesha watu ....Bado ni ndogo apo ni kwenye laki 7 na kitu
Maarifa yanatafutwa mkuu.Kwa wengi ambao wanahofia juu ya masomo ya mitaji na uwekezaji hawana makosa.Wengi wa vijana iwe wasomi au sio wasomi,bado hawana elimu juu ya masomo ya mitaji na uwekezaji.
Hii kitu ilikuwa na umuhimu wa kuwekwa kwenye mitaala ya shule japo kwa kugusia tu.
Kama ingefanyika hivyo basi hata maneno kama Hisa,Hati fungani na Mirabaha isingekuwa misamiati migumu kwa watanzania.
Kwa hiyo sisi tufanyaje? 🙂Habari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Wastani kwa mwezi wanakupatia sh.ngapi?Kila kipato nipatacho natenga more za 50% nilianza miaka mitano nyuma
PoleKajinyonge
How possible is this???mie nilidunduliza nikafika mil 22,nikaenda bank nikachukua loan ya 40m nikaweka kwenye ujenzi.
hujaelewa wapi boss?How possible is this???
Hongera mkuu. Pia ukipata pesa jaribu kujazia kiasi flan kutunisha mfukoBaada ya kuufuatilia huu uzi kwa ukaribu. Nimejilipua, nilikua na kaakiba bank kama 20M hakazai chochote, nimekatoa nimekaweka pale UTT kwenye mfuko wa Ukwasi, ngoja tuone itakuaje.
Kwahiyo mkuu ukiweka hela UTT mil 1 unapata faida ya elfu 10k per month naomba ufafanuzi nahitaji kuweka PESA ukoPesa unazoweka NSSF, ni uwekezaji au sio?
Uwekezaji una vyanzo mbali mbali depends na morali ya mtu.
Mwingine anaona hawezi tunza kwenye Acc ya kawaida ya CRDB ambapo kila mwezi watakuwa wanamkata maintanance fee.
Heri aweke UTT aokote hata hiyo faida ya 1% monthly.
Mwingine anajitunzia kwenye kibubu ndani, mwingine anatunza kwenywe M pesa nk
70k ni kwa mwaka mkuuAnza kuweka hiyo 7M utt mapema na kuendelea kuwekeza kila unapopata hela kwani hapo kwenye 7m kuna faida ya kila mwezi 70k kuliko hela ikae benki
Mkuu Kafanye basi due delligence uje kutuambia,maana hutusaidii kitu kwa kubisha,kama kuna kitu unajua jamvi lipo waziSijui hata unajaribu kuelezea nini kwa sababu huenda hata neno research hujui nimelitumia kwa muktadha gani. My dear, nazungumzia fact check na due deligence inayofanyika mara zote mtu anapotaka ku-invest sehemu yoyote. Huamki na kwenda kama umekatwa kichwa, kuna a, b, c za kufanya kwanza kujiridhisha ndiyo unawekeza. Shule za kukariri hizi!
Hakuna kitu chochote ninachojua, usiwe na wasiwasi. Niliulizia juu ya hii UTT, jamaa akawa analeta za kuleta.Mkuu Kafanye basi due delligence uje kutuambia,maana hutusaidii kitu kwa kubisha,kama kuna kitu unajua jamvi lipo wazi