Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Habari,

Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.

Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Leta shule kuhusu hizi funds, maana wengine bado tupo gizani
 
Sawa Mkuu ..Safi Sababu umeishasema Hautaki Risk za Biashara. Ila 50M Kwa profit ya 450 monthly, Kwa Mjasiliamali halisi asee is not Good Move!! Endelea kufikiri vema! Hizi ni Investiment Wanazofanya wastaafu baada ya kUchukua Mafao.....
😅😅😅😅
 
Habari,

Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.

Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
From an investment perspective, we call you a risk-averse investor who is always compensated for a risk-free return. Because you have run away from risks you are not entitled to additional returns which are to be born from risk investment. i.e E.(R) = RF + B(RF + MR). Hence, risk-takers are more compensated in terms of return on investment as compared to risk-averse investors.
 
Kabla hujafanya investiment popote pale, ni lazima ufanye research ya kutosha na siyo tu mtu anakupa ushuhuda eti ''niliweka fedha na nimeshapata faida''.
Imepita miaka zaidi ya 40 toka ugonjwa wa ukimwi umegundulika, toka kipindi hicho zimeshafanyika research za kutosha na bado nyingine zinaendelea kufanyika na hazitoisha kufanyika hata itokee ugonjwa umeisha kabisa. Ninachotaka kusema ni kwamba siku zote research haziishi kwa hiyo katika hili swala ni uamuzi wako aidha uwe mkusanya data au mtoa data. That is up to you
 
Imepita miaka zaidi ya 40 toka ugonjwa wa ukimwi umegundulika, toka kipindi hicho zimeshafanyika research za kutosha na bado nyingine zinaendelea kufanyika na hazitoisha kufanyika hata itokee ugonjwa umeisha kabisa. Ninachotaka kusema ni kwamba siku zote research haziishi kwa hiyo katika hili swala ni uamuzi wako aidha uwe mkusanya data au mtoa data. That is up to you
OP! Yaani Out of Point! Mfanano haufanani! Mawazo yako yamejaa ujivuni wa kutaka kila mtu afuate unachotaka wewe!
 
Niliuliza kwenye Uzi flani je kiwango cha kuwekeza huko utt ni shingapi ikawa kama fumbo!

Ukipita hapo kwenye tovuti yao naamini utapata maelezo yote, pia mawasiliano yao kwa ufafanuzi zaidi.
 
Hisia ni lazima hasa kwa mtu kama mimi ninayezijua hisia zangu kutoka na experince. Anyways sina mpango kabisa wa kuwekeza hata senti tano huko kwa sababu sina.
Mkuu ni vizuri ujitahidi kupata taarifa sahihi mapema ili siku ukipata senti tano, ujue pa salama pa kuwekeza.
 
Back
Top Bottom