Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😃😁😀😅Kalyanda Nuksi Sana Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😁😀😅Kalyanda Nuksi Sana Sana
Interest imekaaje?Got you. Mimi UTT niko Liquid fund, nilikuwaga pia na Bond. Ila Bond 10days kusubiria pesa vikanishinda, nikazitoa zote nikabaki na Liquid.
Inasaidia, kuna uhitaji mwingine wa pesa unakuwaga sio wa lazima sana, ila km pesa iko bank kuifikia ni chap sanaa.
Ila UTT kuna kauvivu flani kuifata ‘ kanasaidia
Umeikumbuka DECI Nini!!?Hisia ni lazima hasa kwa mtu kama mimi ninayezijua hisia zangu kutoka na experince. Anyways sina mpango kabisa wa kuwekeza hata senti tano huko kwa sababu sina.
MkuuIna maana kila mwezi unaweka 600k, baada ya miaka mitano mingine utakuwa mbali sana
Kusave hiyo hela sio jambo dogo kwa muajiriwa na kwa kwa hesabu za mtoa mada anatakiwaba save zaidi ya 1.2 mil kwa mwezi. Kwa maelrzo yake ana save 50% ya anachopata maana yake take home yake ni zaidi ya 2.5 mil kwa mwezi!.Mnawezaje kusave 600k per month..?? Mimi nilkua nasave kabla sijaoa lkn now nashindwa kabisa.
1% monthly ya pesa zako ndio faida inayoongezeka.Interest imekaaje?
Kwa kuongeza streams ndogo ndogo za income mkuu, vyuma vimekaza haswaa hiyo inaitwa usichague jembe sometime dalali, sometime mishen town, na ka ajira unakashikilia kwa umakini..vululu vululu tuMnawezaje kusave 600k per month..?? Mimi nilkua nasave kabla sijaoa lkn now nashindwa kabisa.
Unaweza kuzitoa any time unataka au
Ndio wanafaidika sana ila UTT kwa sasa hata serikali inapromote kwa sana ,inawasaidia kuchukua pesa miradi ila wanarudisha.Mkuu kwani mimi napinga uwepo wake? Wala sipingi kuwa kuna watu wameshaweka fedha na kutoa. Nimesema tu kwangu mimi, ningekuwa na fedha siwezi kuweka sehemu kama hiyo.
KenyaUna maana ya government? Ya nchi gani?
Okay mkuu.. it depends n take-home wengine salary sleep zimetoboka.Kusave hiyo hela sio jambo dogo kwa muajiriwa na kwa kwa hesabu za mtoa mada anatakiwaba save zaidi ya 1.2 mil kwa mwezi. Kwa maelrzo yake ana save 50% ya anachopata maana yake take home yake ni zaidi ya 2.5 mil kwa mwezi!.
Unaelewa hata maana ya mutual fund?Ukiona kitu kinapigiwa sana promo kuwa makini sana
Mifuko ya pension UTT Amis vyote viko chini ya serikali. Na mbaya hiyo mifuko ya pension inalindwa na sheria na ni lazima kwa mfanyakazi kuingia huko. Hivyo haiwezi kupoteza maana. Labda sheria ibadilishwe wafanyakazi wachagueSema serikali inahitaji juhudi binafsi kweny kuwasaidia wastaafu haswa kuwapa elimu ya Utt Amis.
Sambamba na hili ,naona watu wakipata uelewa sana ile mifuko ya pension inaenda kukosa maana labda wajiongeze.
Serikali wanachukua pesa kweny hiyo mifumo ndio njia wameona sahihi ,hiyo ya pension Magufuli aliifilisia ila serikali inalinda wachangia wao japo wanachelewa kuwalipa .Mifuko ya pension UTT Amis vyote viko chini ya serikali. Na mbaya hiyo mifuko ya pension inalindwa na sheria na ni lazima kwa mfanyakazi kuingia huko. Hivyo haiwezi kupoteza maana. Labda sheria ibadilishwe wafanyakazi wachague
Kwa Mfano kwa hyo 50M, gawio halisi ni kiasi gani kwa Mwezi ?Habari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
kama unaiamin BOT basi iamin na UTTUkiona kitu kinapigiwa sana promo kuwa makini sana
Hongera Mkuu UTT is the best kwa ambaye hawezi mikiki ya biasharaHabari,
Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.
Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond