Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wewe tena kwa kugawa Namba tu haujambo hivi wangapi tumeshakupitia mpaka sasa?ngoja nitadondosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tena kwa kugawa Namba tu haujambo hivi wangapi tumeshakupitia mpaka sasa?ngoja nitadondosha
yani ni straightNjoo pm
Hamna mda wa kupotezayani ni straight
Ni woteNi kweli ila sio wote
Nikuanzishie thread ya nini wewe fungua PM tuyajengeunantongoza kwenye uzi wawatu,, anzisha wako😂😂😂
umefunga mbonHamna mda wa kupoteza
Mfungulie pm Manyanzaumefunga mbon
Kwa hyo unatukusanya pm chalianguwoooiii huyu ninae kitambo pm,,sema anazuga tu🤣
mi ni jirani yako!!!we nawe umetokea wapi tena
Ongea na wakulungwa kijanaNikuanzishie thread ya nini wewe fungua PM tuyajenge
Hahahaha nmecheka jamani 😂😂😂😂 acha ujinga wewKwa hyo unatukusanya pm chaliangu
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 Daaaah ila watumi ni jirani yako!!!
Mungu ameniamuru nije kukusaidia kuficha aibu yako mrembo!!!
Habari naitwa steven kwasasa nipo dar kimara korogwe nimekuja kwenu natafuta mwenza ambae akiwa tayari aje kuwa mke.
Umri wangu miaka :30
Kabila :mngoni
Dini:mkristo
Elimu yangu kidato channe
:shughuli mjasiliamali
Sijawahi kuoa pia bado sina mtoto
Rangi maji ta kunde
Urefu futi 5:9
SIFA ZA NINAEMTAFUTA
umri miaka isizidi 33 isipungue 25
Kabila lolote
Dini yoyote
Mwanaume unaanzaje kulea mabao ya wenzako?Kama ana mtoto wasizidi wawili
Asiwe mfupi sana asiwe mnene
Elimu yoyote
Awe anajishughulisha
Awe tayari kuwa mke na kuwa mama watoto wangu
ALIYE KIDHI VIGEZO ANITUMIE UJUMBE 0713861567
MUNGU AWABARIKI
Sema hili nalo neno ,Je akiwa na hera😢Mwanaume unaanzaje kulea mabao ya wenzako?
Hebu acha ujinga, Achana na Single Maza.
Ninyi ndio mnakuja kutia tia huruma humu kuanza kuomba ushauri mkisha yakanyaga.
Tunasisitiza na tutazidi kusisitiza.
Kataa single maza.
Single Maza ni mke wa mtu.
Huwezi kulea wake za watu..!!!
Wake up Gentleman!!
Hatutaki uje ulie lie humu kuomba ushauri
Warumi 5:8,,tuharibu uzi wa wenyeweKwa hyo unatukusanya pm chaliangu
Acha miyeyusho wewe 😆😆😆woooiii huyu ninae kitambo pm,,sema anazuga tu🤣