Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Nianze dayati maana wachumba hawataki matukunyema😂😂😂
 
Habari naitwa steven kwasasa nipo dar kimara korogwe nimekuja kwenu natafuta mwenza ambae akiwa tayari aje kuwa mke.
Umri wangu miaka :30
Kabila :mngoni
Dini:mkristo
Elimu yangu kidato channe
:shughuli mjasiliamali
Sijawahi kuoa pia bado sina mtoto
Rangi maji ta kunde
Urefu futi 5:9

SIFA ZA NINAEMTAFUTA
umri miaka isizidi 33 isipungue 25
Kabila lolote
Dini yoyote

Kama ana mtoto wasizidi wawili
Mwanaume unaanzaje kulea mabao ya wenzako?

Hebu acha ujinga, Achana na Single Maza.

Ninyi ndio mnakuja kutia tia huruma humu kuanza kuomba ushauri mkisha yakanyaga.

Tunasisitiza na tutazidi kusisitiza.

Kataa single maza.

Single Maza ni mke wa mtu.

Huwezi kulea wake za watu..!!!

Wake up Gentleman!!

Hatutaki uje ulie lie humu kuomba ushauri
Asiwe mfupi sana asiwe mnene
Elimu yoyote
Awe anajishughulisha
Awe tayari kuwa mke na kuwa mama watoto wangu

ALIYE KIDHI VIGEZO ANITUMIE UJUMBE 0713861567

MUNGU AWABARIKI
 
30 unatafuta mke mtandaoni, Tanzania, mjasiriamali, tena upo korogwe,,,aaaanh ndugu yangu. Jambo la kheri kutafuta mke mwema. Ila unampata kwa characters zako chache tu ulizozitaja, huku tutakukatisha tamaa.
 
Mwanaume unaanzaje kulea mabao ya wenzako?

Hebu acha ujinga, Achana na Single Maza.

Ninyi ndio mnakuja kutia tia huruma humu kuanza kuomba ushauri mkisha yakanyaga.

Tunasisitiza na tutazidi kusisitiza.

Kataa single maza.

Single Maza ni mke wa mtu.

Huwezi kulea wake za watu..!!!

Wake up Gentleman!!

Hatutaki uje ulie lie humu kuomba ushauri
Sema hili nalo neno ,Je akiwa na hera😢
 
Back
Top Bottom