Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Li

Ctrl V hapa
Ukiambiwa Warumi jua hapo umetegwa ni Sawa na wale Wezi wa usiku waporaji wakitaka kujua Wewe ni mwenzao wanasema "Usiku" na Wewe unatakiwa useme "Mchana" sasa wakisema Usiku alafu na Wewe unasema Usiku wanajua huyu sio mwenzetu wanakuvamia na kukupora kila kitu ndio hio Warumi akikwambia Warumi inabidi uitike ki-code ndio anajua Wewe mwenzake ukishindwa basi Wewe sio mwenzake haupo kwenye Chama Chao cha Warumi
 
Amini amini nakuambia hapatokucha kabla hujampata mke mwema...Ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza ....
Ikawe kheir kwako mkuu sijui kwanini watu tulioushiaga o level tunanyoosha maelezo namna hii! Ningekua mwalimu ningekuandikia Exellent !!
 
Habari naitwa steven kwasasa nipo dar kimara korogwe nimekuja kwenu natafuta mwenza ambae akiwa tayari aje kuwa mke.
Umri wangu miaka :30
Kabila :mngoni
Dini:mkristo
Elimu yangu kidato channe
:shughuli mjasiliamali
Sijawahi kuoa pia bado sina mtoto
Rangi maji ta kunde
Urefu futi 5:9

SIFA ZA NINAEMTAFUTA
umri miaka isizidi 33 isipungue 25
Kabila lolote
Dini yoyote
Kama ana mtoto wasizidi wawili
Asiwe mfupi sana asiwe mnene
Elimu yoyote
Awe anajishughulisha
Awe tayari kuwa mke na kuwa mama watoto wangu

ALIYE KIDHI VIGEZO ANITUMIE UJUMBE 0713861567

MUNGU AWABARIKI
KAMA SIO BIKRA USIOE!! HATA KAMA ANA MTOTO BASI AWE AMEFANYIWA OPERATION!!! NA MBEGU WALIMWINGIZIAGA KWA MRIJA!!!
CC : Captain Fire
 
Mleta uzi chonde chonde usije anzisha uzi hapa kulalamika kuliwa kwa mkeo na mzazi mwenzake.
Tunawajua single Maza wengi akili zao ni fyatu..))
 
Back
Top Bottom