Sasa timu badala ya kuwategemea wachezaji wake kwa kuwapa morali na motisha yenyewe iko bize na mzee Mpili unategemea nini?Mwamba kafunguka mara baada ya kutemana na Yanga, Wana Yanga msijifiche kwenye stori za Bilioni 20 za Mo, kwanini klabu yenu inaendeshwa kienyeji?
View attachment 1875332
View attachment 1875333
Umewahi kuona official press ya Yanga wanaizungumzia Simba? Msikilize jana mwamedi utaona unavyokula matapishi yako.Yupo sahihi, yanga hawana tofauti na bakafila fc, kutwa kuzungumzia ya mo wakati yao yanawashinda, kinachonifurahisha zaidi ni kitendo cha kutokata tamaa ya ubingwa eti simba watapokonywa makombe yote mawili wapewe wao [emoji1787]
Unafikiri wanakuelewa basi wako busy na 20B za Mo 🤣🤣Wanaendesha timu kienyeji, wanachojua wao ni kusajili kwa kelele tu, baada ya hapo kimya, utasikia mchezaji fulani hajalipwa mshahara, mara wengine wanalalamika wamesuswa hawalishwi vinono kama wachezaji wanaotoka nje.
Yanga waache wenge la kulazimisha kufanana na Simba, watulie wapange mambo yao klabuni kwanza, baada ya hapo ndio wajiulize kwanini Simba iko nafasi ya 12 Afrika wakati wao wako nafasi ya 88.
Leo yamekuwa hayo😂Akalime tu,umri umemtupa mkono.....trip shamba trip garage
Yule ni mswahili wa MpalangeUmewahi kuona official press ya Yanga wanaizungumzia Simba? Msikilize jana mwamedi utaona unavyokula matapishi yako.
Huyo hata gwambina hawampokeiMchukueni.
Ongeza kagereTulieni vyuma vinakuja vya hali mpya, ngyvu mpya na kasi mpya.Usajili wa maana ndiyo maana wameamua kuachana nae huyu vifaa vinakuja si masihara.Nyie pigeni kelele haitokuwa kama ilivyokuwa.Nyie bakini na wazee Mfano Onyango,Wawa,Nyoni,Mzamiru,Mkude n.k Mtajuta msimu ujao
Tulieni vyuma vinakuja vya hali mpya, ngyvu mpya na kasi mpya.Usajili wa maana ndiyo maana wameamua kuachana nae huyu vifaa vinakuja si masihara.Nyie pigeni kelele haitokuwa kama ilivyokuwa.Nyie bakini na wazee Mfano Onyango,Wawa,Nyoni,Mzamiru,Mkude n.k Mtajuta msimu ujao
Rejea press zote mwakalebela afu rudi hapa useme anawazungumzia faru dume,, jana mo katia mpunga hao yanga ndo wamekuwa wachambuzi wa hizo hela badala ya kushughulika na usajiliUmewahi kuona official press ya Yanga wanaizungumzia Simba? Msikilize jana mwamedi utaona unavyokula matapishi yako.
Daah mwanangu kila ninapo enda unanifata, mbona mnaumia sna na kuteseka sisi kumuacha mchezajiACHA kujizima data wewe, ulikua unapayuka sana jana kuhusu 20B za mo .. leo hii mchezaji wenu mwenyewe kawaumbua kuwa hamna uongozi unaoeleweka .. tulieni dawa iwaingie ..
Bora umeweka wazi kumbe na wewe ulikua unaumia mo kuweka 20B ..Daah mwanangu kila ninapo enda unanifata, mbona mnaumia sna na kuteseka sisi kumuacha mchezaji
Mjadala ni utopolo kuwa ya kienyeji, na kama sio ya kienyeji taja uwanja utopolo inapofanyia training.Daah mwanangu kila ninapo enda unanifata, mbona mnaumia sna na kuteseka sisi kumuacha mchezaji