Ntibanzokinza: Yanga ni klabu ya kienyeji

Ntibanzokinza: Yanga ni klabu ya kienyeji

Aliondoka calinhos, kaondoka lamine, sasa ni saydou. Ukiangalia quality ya wachezaji walioondoka utagundua kuna shida mahali yanga
Tuambie na quality za wanaokuja. Huyu jamaa alifika sehemu akijiona father sana mara afunge atoke uwanjani, sasa Yanga ina pesa na inasajili wachezaji wanaojitambua.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Msimu wa nne huu mmetoka patupu mnkazana tu mtajuta mtajuta uto bna yule mbelgiji hakukosea kuwaita manyani mbwaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga ilipitia kipindi kigumu baada ya genge lililoongozwa na makonda kuhakikisha Manji anakimbia nchi, sasa tuko kamili.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Sijaona popote kwenye ukurasa rasmi wa yanga walipotoa taarifa ya kuachana na ntibanzokiza, mambo ya ovyo ovyo ya kuwalisha maneno wachezaji ambayo awajatamka ni upuuzi mwingine unaofanywa na watu wasiojielewa, mchezaji yuko zake mapumziko kwao lakini kuna wajinga wajinga wanatunga habari wao kisha wanajijibu wao ni utahaira wa akili!
Kunywa maji kwanza
 
Msimu ujao naiona ligi ikiisha Yanga itaishia nafasi ya tatu,Azam wa pili na Simba bingwa,Ukibisha bisha tu ila ukweli ndio huo
 
Kasema kweli,ushaona wapi timu yenye malengo inasajili timu mpya kila mwaka?
hapo kwa kweli yanga ndipo inapofeli.

Kupata timu nzuri siyo kuleta gathering ya wachezaji tu kila kukicha.hatakama ni wazuri.

Kikosi cha yanga kinatakiwa kibaki kama kilivyo kwa misimu mingne miwili.

Hata kama watapangua, basi 80% ya squad isitoke.

Unakumbuka yanga ile ya kina canavaro, nsajigwa, juma abdul,twite,niyonzima,ngasa ,msuva, osca jushua nk ilikaa misim mingap?

Wachezaji wanatakiwa wapewe nafasi tena.huyu msuva alikuwa anazomewa na mashabk mwanzoni.ila alipewa mda
 
Ntibazonkiza akiwa ameibeba timu yake manyani fc

9948A75A-A1C6-44B8-86D5-D213DC01B3F7.jpeg
 
Huyu mswahili wa Burimdi ni shida, hana tofauti na BM3
 
Back
Top Bottom