Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Hatimae utabir umetimiaMsimu ujao naiona ligi ikiisha Yanga itaishia nafasi ya tatu,Azam wa pili na Simba bingwa,Ukibisha bisha tu ila ukweli ndio huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimae utabir umetimiaMsimu ujao naiona ligi ikiisha Yanga itaishia nafasi ya tatu,Azam wa pili na Simba bingwa,Ukibisha bisha tu ila ukweli ndio huo
NakaziaYupo sahihi
Maneno yake yanaishiNakazia
Subiria povu kutoka kwa wanga [emoji1787][emoji1787]
Eti nayeye sasahivi ana goli 10 kwenye ligiUkiachwa achika,kayaona hayo baada ya kupigwa chini
Dua la kukuAwe na akiba ya maneno.furaha yake itamponza
Uzi wa lini mkuu?Awe na akiba ya maneno.furaha yake itamponza