DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Ikiwa Imebaki siku Chache tu au Wiki kadhaa Kwenye Chama cha Siasa Cha CHADEMA kuingia kwenye Uchaguzi Wa Viongozi Wa Juu sana..
Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..
Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu
Pia sikiliza Video Hii Kwa Ukamilifu wake wote..
View: https://youtu.be/O5YL7J9dW5I?si=TQe3Tu5s1yNI0NYq
Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..
Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu
Pia sikiliza Video Hii Kwa Ukamilifu wake wote..
View: https://youtu.be/O5YL7J9dW5I?si=TQe3Tu5s1yNI0NYq