Pre GE2025 NTOBI atengwa na Mkoa wake Wajumbe wa Mkutano Mkuu kutoka Shinyanga wafanya maamuzi na wameamua kumchagua Lissu kwenye Uchaguzi wa Januari wa Chama

Pre GE2025 NTOBI atengwa na Mkoa wake Wajumbe wa Mkutano Mkuu kutoka Shinyanga wafanya maamuzi na wameamua kumchagua Lissu kwenye Uchaguzi wa Januari wa Chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haha huyo wa Ccm atakuwa anawashwashwa. Waachwe wachague wampendae. Huyo mwenyekiti angeitwa kwenye kikao kwani angemshikilia au kumnyima yeyote kupenda na kuchagua kadri ya utashi wake? Hao walioita kikao cha siri ni woga. Hawafai ktk chama chochote. Matumbo yanawasumbua wanaogopa kupiteza kula.
20241226_132152.jpg
 
hivi huu uchaguzi hadi position kama za kina ntobi zinahusika? maana ameprove failure
Uchaguzi wao si walishafanya baadae ndo ikaja ya KANDA sasa Ni ngazi ya Taifa..
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ikiwa Imebaki siku Chache tu au Wiki kadhaa Kwenye Chama cha Siasa Cha CHADEMA kuingia kwenye Uchaguzi Wa Viongozi Wa Juu sana..

Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..

Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu


View: https://x.com/frediejustine/status/1872202214539976722?t=Yz3H2t5e0Yb2e_SKdrNi4w&s=09

Sijamaliza kuisikiliza yote, lakini niulize, hicho kikao ni halali kwa mujibu wa Katiba ya Chadema? Kwamba wajumbe wanaitana, wanakaa kikao bila Mwenyekiti kujua wala Katibu halafu maamuzi halali yanatoka!🙄🙄🙄🙄

Kama yatakuwa maamuzi halali, basi Chadema mtakuwa mna demokrasia ya hali ya juu kuzidi maana halisi ya demokrasia! Hongereni sana!
 
Ikiwa Imebaki siku Chache tu au Wiki kadhaa Kwenye Chama cha Siasa Cha CHADEMA kuingia kwenye Uchaguzi Wa Viongozi Wa Juu sana..

Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..

Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu


View: https://x.com/frediejustine/status/1872202214539976722?t=Yz3H2t5e0Yb2e_SKdrNi4w&s=09

Hivi huyo jamaa mnamuita Mtobi alipataje Uenyekiti wa mkoa.

........Jamaa ni Mpuuzi sana.
 
Sijamaliza kuisikiliza yote, lakini niulize, hicho kikao ni halali kwa mujibu wa Katiba ya Chadema? Kwamba wajumbe wanaitana, wanakaa kikao bila Mwenyekiti kujua wala Katibu halafu maamuzi halali yanatoka!🙄🙄🙄🙄

Kama yatakuwa maamuzi halali, basi Chadema mtakuwa mna demokrasia ya hali ya juu kuzidi maana halisi ya demokrasia! Hongereni sana!
Katibu Si ndo anayeongea Boss..
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema ya Mwaka 2006
Toleo la Mwaka 2016 ibara ya 6.2 ibara ndogo ya 6.2.1 na 6.2.2 inaelekeza Akidi ya jinsi ya Uendeshaji wa Vikao..

Kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo ya (a) Imetaja Kuwa wakifika Asilimia 50 kikao kinaweza Kuendeshwa Ila kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo kabisa ya (b) na (d) inaelekeza Kuwa Kama ni kikao cha Maamuzi kama Hicho kinahitaji akidi ya wajumbe wasiopungua 75%..

Ila kwa Mujibu wa Katibu Aliyekuwa Akiongea Walikuwa wamezidi 80% so jibu lako ni kikao halalin kabisa
Screenshot_20241226_143526_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20241226_143546_Adobe Acrobat.jpg
 
Katibu Si ndo anayeongea Boss..
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema ya Mwaka 2006
Toleo la Mwaka 2016 ibara ya 6.2 ibara ndogo ya 6.2.1 na 6.2.2 inaelekeza Akidi ya jinsi ya Uendeshaji wa Vikao..

Kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo ya (a) Imetaja Kuwa wakifika Asilimia 50 kikao kinaweza Kuendeshwa Ila kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo kabisa ya (b) na (d) inaelekeza Kuwa Kama ni kikao cha Maamuzi kama Hicho kinahitaji akidi ya wajumbe wasiopungua 75%..

Ila kwa Mujibu wa Katibu Aliyekuwa Akiongea Walikuwa wamezidi 80% so jibu lako ni kikao halalin kabisa
View attachment 3185530
View attachment 3185531
Huyo anayeongea ndio Katibu wa Mkoa Agatha Mamuya? Ahahahahaha!!!
 
Ningeshangaa sana wajumbe wamchague mbowe kwa kipi kizuri kipi alichofanya.
Kitendo cha lisu kusema kuwa ruzuku itapelekwa mashinani ndiyo ilikuwa kaburi la mbowe.
Huku mashinani chama kiko hoi wakati kuna watu huko juu wanatafuna ruzuku.
Na wakiyatekeleza maamuzi yao kwa kuzingatia maoni ya watanzania (kumchagua Lisu), chama kitaendelea kustawi.
 
Back
Top Bottom