DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #21
Haha huyo wa Ccm atakuwa anawashwashwa. Waachwe wachague wampendae. Huyo mwenyekiti angeitwa kwenye kikao kwani angemshikilia au kumnyima yeyote kupenda na kuchagua kadri ya utashi wake? Hao walioita kikao cha siri ni woga. Hawafai ktk chama chochote. Matumbo yanawasumbua wanaogopa kupiteza kula.
Uchaguzi wao si walishafanya baadae ndo ikaja ya KANDA sasa Ni ngazi ya Taifa..hivi huu uchaguzi hadi position kama za kina ntobi zinahusika? maana ameprove failure
Kwamba wao hawajui uamuzi sahihi ukoje ?Hamna Nimeamua Kuwaonyesha Uamuzi sahihi ni Upi
Sijamaliza kuisikiliza yote, lakini niulize, hicho kikao ni halali kwa mujibu wa Katiba ya Chadema? Kwamba wajumbe wanaitana, wanakaa kikao bila Mwenyekiti kujua wala Katibu halafu maamuzi halali yanatoka!🙄🙄🙄🙄Ikiwa Imebaki siku Chache tu au Wiki kadhaa Kwenye Chama cha Siasa Cha CHADEMA kuingia kwenye Uchaguzi Wa Viongozi Wa Juu sana..
Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..
Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu
View: https://x.com/frediejustine/status/1872202214539976722?t=Yz3H2t5e0Yb2e_SKdrNi4w&s=09
Kwa Sasa Hivi hawajua hhata Neno sahihi Ni nini 🤣🤣🤣Kwamba wao hawajui uamuzi sahihi ukoje ?
Hivi huyo jamaa mnamuita Mtobi alipataje Uenyekiti wa mkoa.Ikiwa Imebaki siku Chache tu au Wiki kadhaa Kwenye Chama cha Siasa Cha CHADEMA kuingia kwenye Uchaguzi Wa Viongozi Wa Juu sana..
Viongozi waandamizi kutoka Chama cha Demokrasia kutoka shinyanga wameamua Kutoa Msimamo wao Ambao unapingana na Mwenyekiti wa Mkoa Huo hivyo hawakumshirkisha Kwenye Kikao wala Kumuita kikaoni Japo walifaniliwa Kutimiza Akidi ya Kikao Hivyo ni kikao Halali cha Mkoa..
Wametoa maamuzi ya Kumuunga Mkono Lissu Huku wakimtuhumu mwenyekiti wa Mkoa Huo Kulalia Upande wa FAM huku akitukana upande wa Lissu
View: https://x.com/frediejustine/status/1872202214539976722?t=Yz3H2t5e0Yb2e_SKdrNi4w&s=09
Katibu Si ndo anayeongea Boss..Sijamaliza kuisikiliza yote, lakini niulize, hicho kikao ni halali kwa mujibu wa Katiba ya Chadema? Kwamba wajumbe wanaitana, wanakaa kikao bila Mwenyekiti kujua wala Katibu halafu maamuzi halali yanatoka!🙄🙄🙄🙄
Kama yatakuwa maamuzi halali, basi Chadema mtakuwa mna demokrasia ya hali ya juu kuzidi maana halisi ya demokrasia! Hongereni sana!
Si uenyekiti wa Kugaiwa na FAM ili wawe ChawaHivi huyo jamaa mnamuita Mtobi alipataje Uenyekiti wa mkoa.
........Jamaa ni Mpuuzi sana.
DUh, anaongea kama yupo jf sports, wamekula loss paleUchaguzi wao si walishafanya baadae ndo ikaja ya KANDA sasa Ni ngazi ya Taifa..
Na hilo ndo bomu walilolitengeneza Na Ipo siku litamlipua hata anayelituma..DUh, anaongea kama yupo jf sports, wamekula loss pale
Huyo anayeongea ndio Katibu wa Mkoa Agatha Mamuya? Ahahahahaha!!!Katibu Si ndo anayeongea Boss..
Kwa Mujibu wa Katiba ya Chadema ya Mwaka 2006
Toleo la Mwaka 2016 ibara ya 6.2 ibara ndogo ya 6.2.1 na 6.2.2 inaelekeza Akidi ya jinsi ya Uendeshaji wa Vikao..
Kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo ya (a) Imetaja Kuwa wakifika Asilimia 50 kikao kinaweza Kuendeshwa Ila kwenye Ibara ya 6.2.2 ibara ndogo kabisa ya (b) na (d) inaelekeza Kuwa Kama ni kikao cha Maamuzi kama Hicho kinahitaji akidi ya wajumbe wasiopungua 75%..
Ila kwa Mujibu wa Katibu Aliyekuwa Akiongea Walikuwa wamezidi 80% so jibu lako ni kikao halalin kabisa
View attachment 3185530
View attachment 3185531
Aibu sana.Si uenyekiti wa Kugaiwa na FAM ili wawe Chawa
HUyu hadi sasa analipua chama chenyeweNa hilo ndo bomu walilolitengeneza Na Ipo siku litamlipua hata anayelituma..
We mwache walichekee tu 🤣
Na wakiyatekeleza maamuzi yao kwa kuzingatia maoni ya watanzania (kumchagua Lisu), chama kitaendelea kustawi.Ningeshangaa sana wajumbe wamchague mbowe kwa kipi kizuri kipi alichofanya.
Kitendo cha lisu kusema kuwa ruzuku itapelekwa mashinani ndiyo ilikuwa kaburi la mbowe.
Huku mashinani chama kiko hoi wakati kuna watu huko juu wanatafuna ruzuku.
anategemea backup ya Abduli na mama yake(mfumo)Mbowe atadhalilika sana kuanzia January 2025.
Katibu Msaidizi..Huyo anayeongea ndio Katibu wa Mkoa Agatha Mamuya? Ahahahahaha!!!
Ahahahahaha! Haya bwana!!!Katibu Msaidizi..
🤣🤣
Hatma ya kutumia dola kukipata kiti cha uenyekiti ni kifo cha kikoba chake.anategemea backup ya Abduli na mama yake(mfumo)