digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu nawewe hujui lengo la hii kitu Hadi useme lissu anafanyiw timing? Elewa kuwa chadema Sasa imegawinyika kikanda na kikabila ila kundi la lissu linaonekana kuwa NA NGUVU kuliko la mboweUnaweza kuta wanaandaa mazingira ya kuja kutaka kumvua Lissu uanachama. Tuwe makini sana.