Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Maana halisi ya depression, Huyu bwana mdogo psychological hayuko sawa kabisa, kuna vitu vingi anaona ameshafeli, afu akiangalia madogo wa 2000 kina Ibra wa konde gang wanatamba mjini
Akubaliane na ukweli kwamba ameshafeli, pombe haitamsaidia zaidi itaendelea kumuangamiza
Afanye ibada Mungu atamfungulia njia
Atleast wewe umemake sense kwenue comment yako
 
Asipuuzwe asikilizwe na asaidiwe...
Vijana mnapitia stress nyingi sana ktk maisha... Hata humu JF mpo wengi wenye shida ya kiakili, kiafya, kifamilia, kimahusiano, kiuchumi na kiroho...
Unasumbuliwaje kiroho wakt jf iko full of wizards
 
Nadhani gavoo ingetunga sheria ya kuruhusu mtu kujiua anapopitia magumu ili nuhu mziwanda ajiue na tumzike bila shida yoyote tule ubwabwa tumsahau.

Kwasababu kwenye posti yake katualika mashabiki tuje tumzike na tutamzika kweli, kwani kumzika sh ngapi wanangu?

Mimi huyu mwamba kabisa ntagombana na watu wote hapa duniani lakini siyo "MAMA YANGU" MAMA ntamuheshimu siku zote na nitampenda siku zote till i say goodbye, MAMA ni mboni yangu, mama ni jicho langu linalonifanya nione mbele nisitumbukie shimoni.
 
Kosa alilofanya halisameheki: kutembea na mama yake (shishi baby).
Maana halisi ya depression, Huyu bwana mdogo psychological hayuko sawa kabisa, kuna vitu vingi anaona ameshafeli, afu akiangalia madogo wa 2000 kina Ibra wa konde gang wanatamba mjini
Akubaliane na ukweli kwamba ameshafeli, pombe haitamsaidia zaidi itaendelea kumuangamiza
Afanye ibada Mungu atamfungulia njia
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

Huko ndio kuchanganyikiwa kwenyewe. Muwahisheni mirembe maoema apate tiba sahihi. Waganga washamvuruga hakuna mtu hapo
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

Hakuna hata mmoja ataenda kumzika, Wala asihangaike, kwanza aache pombe, atoe mahereni hayo, aache muziki na aanze kufanya Ibada, inaonekana familia yake inajielewa, washindwe kishirikiana na wewe mzima watakufata ukiwa umekufa? Waulize tatizo ni nini? Sio uishi unavyotaka alafu wote tukusapoti hapana, Mungu hataki mwanaume avae hayo mahereni ulio vaa kavue kwanza alafu ndo umtaje, baada ya hapo ulete changamoto zako hapa tujue kwa nini wamekutenga sio kulalamika tu, na mihereni Yako hiyo hata kwangu marufuku kuja.
 
Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.

Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.

Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.​
Kujiua haisaidii chochote
 
Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.

Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.

Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.​
Wewe ni nguvu kazi ya taifa, Hauruhusiwi kujiua mpaka utumike kwanza
 
Wewe ni nguvu kazi ya taifa, Hauruhusiwi kujiua mpaka utumike kwanza
Mimi hapana kwa vile nina mambo mengi ya kufanya , kwa ujumla mambo yangu yanaenda sawa ila kama ningekuwa maskini kabisa nina shida , sioni mwelekeo
 
Hayo mambo yako ndio yanatakiwa ili juu ya mwamba huu uitwe Tanzania.
Nyuma yako kuna serikali, ndugu, familia, ombaomba na wengine wengi.
Hivyo jichunge sana utunze na afya yako sababu wewe, mimi na yule ndio tunakamilisha jambo moja.
Mimi hapana kwa vile nina mambo mengi ya kufanya , kwa ujumla mambo yangu yanaenda sawa ila kama ningekuwa maskini kabisa nina shida , sioni mwelekeo
 
Back
Top Bottom