maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Aliescreenshort hii ni Nani? Senzo au Nuhu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliescreenshort hii ni Nani? Senzo au Nuhu?
Huyu ni mdau aliamua kuzana kwenye DM ya Senzo kule twitter,alipojibiwa ndio akascreenshootAliescreenshort hii ni Nani? Senzo au Nuhu?
Dah!...ilisemekana angeongezewa mkataba abakie jangwani.amewaambia kama alikuwa Uto kwa mkopo?
hahahahaha,wamewageuza watanzania mtaji wa kupata wafuasi mtandaoni,hahahahaNuhu anajua Watz wengi ni mazuzu na mapoyoyo,na wengine ni mambumbumbu kabisaView attachment 2277275
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kuchukua kombe la Mpole Cup
mkataba wake una kipengele km ana baki yanga ,basi wana top up usd laki 2.ama aondokeDah!...ilisemekana angeongezewa mkataba abakie jangwani.
Daah wabongo wanajua kila kitumkataba wake una kipengele km ana baki yanga ,basi wana top up usd laki 2.ama aondoke
Unapenda sana habari za Yanga kukopeshwa wachezaji. Ulishikilia bango suala la Shanban Djuma hadi ulipoumbuka. Leo tena umeibuka. Nakushauri kwasasa endelea kufurahia kiatu cha dhahabu kwa Mpoleanayeuza ni mkopeshaji AS Vita, Yanga anapewa taarifa tu
Yes najua bt si kila kituDaah wabongo wanajua kila kitu
Watanzania wengi wanapenda umbea umbea 🤣🤣hahahahaha,wamewageuza watanzania mtaji wa kupata wafuasi mtandaoni,hahahaha
dah jamaa ana akili sana,ni mwandishi km wa bongo tu, amejua akili zenu dah
Ww ndio uteletee hiyo reply ya mwisho ya Nuhu
Wewe pesa ya bwalya umeiona? Ya chama je, ya miquissone jeKisinda aliuzwa pesa yake mliiona ..? [emoji23][emoji23][emoji23]
IpoWewe pesa ya bwalya umeiona? Ya chama je, ya miquissone je
Iyo ssMtu aliyefunga magoli 16 dhidi ya timu kama polisi, jkt ruvu, Dodoma Jiji, Biashara, nk apewe contract miaka 3 Kaiser Chiefs?
Naungana na Senzo kusema it's a stupid joke...
Kesho ndio itakuwa anamalizia malizia